Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
- #41
Yeah kwa huyu nimetembelea rim mara nyingi huwa ataki tutumie ndom labda alikuwa anaitegeshaKwahiyo unataka kutuelezea kuwa wewe unatembelea rim...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah kwa huyu nimetembelea rim mara nyingi huwa ataki tutumie ndom labda alikuwa anaitegeshaKwahiyo unataka kutuelezea kuwa wewe unatembelea rim...
Vyovyote tu ili mradi umeelewaKu date ndio kufanya mapenzi kumbe?
Sawa mkuuMwambie ajifungue kisha mkapime DNA. Mweleze una walakini kuhusu ujauzito kuwa wewe ndio mhusika.
Hata mara moja mkuuKwa uelewa wako unadhani mpaka ufanye mara ngapi ndio mimba iingie?
Ni kweli hamuishi pamoja, uaminifu wake ukoje? hapo hoja ni uaminifu je ulikuwa unamuamini au ulikuwa naye kwenye mahusiano ukijua ni chakula cha wana A.K.A jamvi? maana kuishi naye ndani haikupi uhakika wa uaminifu wake, na uaminifu haupokei kwa umbali au ukaribu aliyemwaminifu akiwa mbali atakuwa hivyo hata akiwa karibu atakuwa hivyo, asiyemwaminifu ndio wale mtoto wa kwanza wa kwako, wa pili ni wa Juma na unaishi naye ndaniWanangu hivi mdada ambae unadate nae japo sio mara nyingi na wala amuishi pamoja akikwambia ana ujauzito wako huwa mnachukua hatua gani.
NOTE: huyu mdada mara ya mwisho nimedate nae mwezi wa kwanza sikutumia kinga haswa haswa jana kanitumia vipimo kwa njia ya watsapp anasema tayari ana ujauzito wangu wa mwezi mmoja ila pia sijaamini kama kweli huo ujauzito ni wangu maana atuishi pamoja so vp hapa nichukue hatua gani kwa wajuzi wa haya mambo kingine mimi sikatai ujauzito but sipendi kulea mimba isiyo yangu
Yeye ndio mtu wa kwanza kukataa kinga mie mara zote huwa natumia but ukivaa tu anaanza maneno mara uniamini na braa braa nyingiKama hamtaki hizo mambo muwe mnavaa kinga jamani.
Ishu ni uaminifu tuNi kweli hamuishi pamoja, uaminifu wake ukoje? hapo hoja ni uaminifu je ulikuwa unamuamini au ulikuwa naye kwenye mahusiano ukijua ni chakula cha wana A.K.A jamvi? maana kuishi naye ndani haikupi uhakika wa uaminifu wake, na uaminifu haupokei kwa umbali au ukaribu aliyemwaminifu akiwa mbali atakuwa hivyo hata akiwa karibu atakuwa hivyo, asiyemwaminifu ndio wale mtoto wa kwanza wa kwako, wa pili ni wa Juma na unaishi naye ndani
hiyo ndio hoja kubwaIshu ni uaminifu tu
Kwa hiyo wewe huna maamuzi kila kitu akiamua yeye wewe unafata tu?Yeye ndio mtu wa kwanza kukataa kinga mie mara zote huwa natumia but ukivaa tu anaanza maneno mara uniamini na braa braa nyingi
Nawashangaaga sana wamatumbi wenzangu🤣 wanaotumia vibaya haka kamesemo ka ku date.Ku date ndio kufanya mapenzi kumbe?
Sawa mkuu nutazingatiaOya mwana fanya hivi jiridhishe kwanza kama hiyo mimba Ina muda huo,Kisha fanya mahesabu tu ya mzunguko wake ulikoma lini, baada ya hapo jakiki mwisho wenu WA kikutana ilikuwa tarehe ngapi utapata jibu kama ni yako ama umevishwa
Nilikuwa nakaza but kilichonifanya namimi kuacha kutumia ni sababu ya ndom kupasuka kati kati ya tendo kila wakati by the way hv ukishapata ujauzito inawezekana tena kuingia kwenye siku zako baada ya wiki kadhaa mbele??Kwa hiyo wewe huna maamuzi kila kitu akiamua yeye wewe unafata tu?
UKIJIFANYA MTAKATIFU, WATU WANAWEKA HADHARANI UOZO WAKO. RUGE ALIWAHI KUSEMA, HAPA DUNIANI, OGOPA MUNGU NA TEKNOLOJIAKumfuatilia mwanaume mwenzio that’s Homo bro
Mimi ni mtaalamu wa utambuzi, niruhusu nije kuliona tumbo lako kama lina mimba.Wanangu hivi mdada ambae unadate nae japo sio mara nyingi na wala amuishi pamoja akikwambia ana ujauzito wako huwa mnachukua hatua gani.
NOTE: huyu mdada mara ya mwisho nimesex nae mwezi wa kwanza sikutumia kinga haswa haswa jana kanitumia vipimo kwa njia ya watsapp anasema tayari ana ujauzito wangu wa mwezi mmoja ila pia sijaamini kama kweli huo ujauzito ni wangu maana atuishi pamoja so vp hapa nichukue hatua gani kwa wajuzi wa haya mambo kingine mimi sikatai ujauzito but sipendi kulea mimba isiyo yangu
Trump hatoi fedha kwenye PEPFAR hivyo ARV zitakuwa hazitolewi bure....Wakati huu unauza mechi ,unatembelea RIM ,kisiwa DRY Chama ,chongesha kibubu kikuwa cha chuma uwe unaweka buku buku mapene kwa ajili ya kugharamia ARV huko mbeleni.nimesex nae mwezi wa kwanza sikutumia kinga
Ukisikia kwamba nime date naye mara mbiliNawashangaaga sana wamatumbi wenzangu🤣 wanaotumia vibaya haka kamesemo ka ku date.
Dating ni meeting ya faragha ili kufahamiana kwa jinsia mbili pinzani involves eating, drinking na kustorika. Hii ni kwa mujibu wa waasisi toka huko nchi za magharibi.
Ila kwa wamatumbi wao kupunguza makali ya tendo la umalaya na kupigana mikasi wanatumia neno dating kuashiria mizagamuano😂!