Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
- #81
😅😅😅Lea mimba, hata Kama know uongo, then unajiteteaje na wewe umelala naye?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅Lea mimba, hata Kama know uongo, then unajiteteaje na wewe umelala naye?
Kabla hatujakushauri cha kufanya, umeshapima UKIMWI? Maana mwenzako kapima mimba na anayoWanangu hivi mdada ambae unadate nae japo sio mara nyingi na wala amuishi pamoja akikwambia ana ujauzito wako huwa mnachukua hatua gani.
NOTE: huyu mdada mara ya mwisho nimesex nae mwezi wa kwanza sikutumia kinga haswa haswa jana kanitumia vipimo kwa njia ya watsapp anasema tayari ana ujauzito wangu wa mwezi mmoja ila pia sijaamini kama kweli huo ujauzito ni wangu maana atuishi pamoja so vp hapa nichukue hatua gani kwa wajuzi wa haya mambo kingine mimi sikatai ujauzito but sipendi kulea mimba isiyo yangu
Kama ni yangu bac huyu alidhamiriaKama umebeba wewe hiyo mimba ni yako. Kama hujabeba wewe mwache mwenye nayo atakujulisha. Muwe mnaangalia siku zenu mkiwa period.
Hahahahah ni mwendo wa kusopekana tu😄Ukisikia kwamba nime date naye mara mbili
Unajiuliza how😂😂😂😂😂???
Au mtu anakuambia anaomba mdate wewe unadhani anaomba muwe karibu mfahamiane kumbe mwenzako anamaanisha kupigana miti.
Alikataa condomBei ya condom ni rahisi kulilko pampers
Tutajua huko hukoKabla hatujakushauri cha kufanya, umeshapima UKIMWI? Maana mwenzako kapima mimba na anayo
Hapa ndio unadhihirisha ujinga ulionao.Alikataa condom
Hiyo ndio yenyewe mkuu, hizo za maabara lolote linaweza kutokea, all in all wanaume wengi tunalea hawa watoto kwa imani tu, kwa maana tulio wengi huwa tunajiridhisha kwenye kadi ya clinic ya kwamba anatumia majina yangu so ni wangu😅😅Hiyo ya kimila ndio naitaka mimi
nyege zikipanda kichwani ni hatari sanaHapa ndio unadhihirisha ujinga ulionao.
Maamuzi yako anakufanyia mwanamke?
Kama ana maradhi unakuwa tayari kuyabeba kisa yeye kakataa kutumia kinga?
NB: Mchuma janga hula na wa kwao
Wewe bado unaona siku zako?au huzioni?Kama ni yangu bac huyu alidhamiria
Kutoishi nae sio shida,shida ni Yako hiyo mimba?!Wanangu hivi mdada ambae unadate nae japo sio mara nyingi na wala amuishi pamoja akikwambia ana ujauzito wako huwa mnachukua hatua gani.
NOTE: huyu mdada mara ya mwisho nimesex nae mwezi wa kwanza sikutumia kinga haswa haswa jana kanitumia vipimo kwa njia ya watsapp anasema tayari ana ujauzito wangu wa mwezi mmoja ila pia sijaamini kama kweli huo ujauzito ni wangu maana atuishi pamoja so vp hapa nichukue hatua gani kwa wajuzi wa haya mambo kingine mimi sikatai ujauzito but sipendi kulea mimba isiyo yangu
Hongera sana baba kijacho, wewe hakika ni shapu shuta. Anza sasa, baba, kutuma matumizi kwa kuwa hiyo mimba ni yako pasi na shaka yaani, 100% ni yako.Wanangu hivi mdada ambae unadate nae japo sio mara nyingi na wala amuishi pamoja akikwambia ana ujauzito wako huwa mnachukua hatua gani.
NOTE: huyu mdada mara ya mwisho nimesex nae mwezi wa kwanza sikutumia kinga haswa haswa jana kanitumia vipimo kwa njia ya watsapp anasema tayari ana ujauzito wangu wa mwezi mmoja ila pia sijaamini kama kweli huo ujauzito ni wangu maana atuishi pamoja so vp hapa nichukue hatua gani kwa wajuzi wa haya mambo kingine mimi sikatai ujauzito but sipendi kulea mimba isiyo yangu
Mkuu ni sahihi ila lazima kujiwekea mipaka binafsi.nyege zikipanda kichwani ni hatari sana
Ok sawaMguu chaga na mguu neti ni "kuzini"
Mkuu mpaka kukubali kutotumia kinga nilishajihakikishia usalama wangu kuhusu magonjwaHapa ndio unadhihirisha ujinga ulionao.
Maamuzi yako anakufanyia mwanamke?
Kama ana maradhi unakuwa tayari kuyabeba kisa yeye kakataa kutumia kinga?
NB: Mchuma janga hula na wa kwao
Una watoto wangapoMkuu mpaka kukubali kutotumia kinga nilishajihakikishia usalama wangu kuhusu magonjwa
Kwani mimi ni mwanamkeWewe bado unaona siku zako?au huzioni?