Inawezekana Kikeke katumwa na kufadhiliwa kimkakati na waajiri wake wa zamani?

Inawezekana Kikeke katumwa na kufadhiliwa kimkakati na waajiri wake wa zamani?

Nchi imejaa machawa hii hadi inatia hasira...Mtu akiwa na mawazo tofauti tu na Wana kijani ni pandikizi ama muhuni na mleta fujo ...Hebu acheni upuuzi nchi haitaenda tukiwa watu wakusifu sifu tu.Kwenye kusifu tusifu penye kosa tuseme.
 
Kikeke nikimuangalia kama simuamini sana, ila muda utaongea, namuona kama pandikizi la kimkakati, ngoja tuone na chombo chake kinachofanana na kofia ya watawala wa alikotoka- I mean kwa muajiri wake wa zamani
Kwa kuwa Kikeke siyo CHAWA wa hedi kama wewe?!!

Ukute unapanga kumteka 🚮
 
Nchi imejaa machawa hii hadi inatia hasira...Mtu akiwa na mawazo tofauti tu na Wana kijani ni pandikizi ama muhuni na mleta fujo ...Hebu acheni upuuzi nchi haitaenda tukiwa watu wakusifu sifu tu.Kwenye kusifu tusifu penye kosa tuseme.
Hasa hili li gasho lililofungua uzi
 
Hahaha ndio ni majirani ndio maan tulikuona ukishuka chumbani kwa Pdiddy ukitembea umetanua miguu😂
Pdiddy aliwahi kualikwa na Hoteli za Mwenyekiti wa zungusha ngumi enzi zile, kilichofanyika, hajakisema
 
Kikeke nikimuangalia kama simuamini sana, ila muda utaongea, namuona kama pandikizi la kimkakati, ngoja tuone na chombo chake kinachofanana na kofia ya watawala wa alikotoka- I mean kwa muajiri wake wa zamani
Wewe unataka vyombo vyote vya habari, vitangaze ki-TBC-CCM??😳
 
Kafanyaje? Kaonekana na Johnson's baby oil au?
 
Kikeke nikimuangalia kama simuamini sana, ila muda utaongea, namuona kama pandikizi la kimkakati, ngoja tuone na chombo chake kinachofanana na kofia ya watawala wa alikotoka- I mean kwa muajiri wake wa zamani
Yeah..sio vibaya kumshitukia maana hao waajiri wake wa zamani wanajitahidi kua kama ni ndio radio yetu ya taifa. Ukisikiliza kile wanatuletea utajua malengo yao.
 
Kikeke nikimuangalia kama simuamini sana, ila muda utaongea, namuona kama pandikizi la kimkakati, ngoja tuone na chombo chake kinachofanana na kofia ya watawala wa alikotoka- I mean kwa muajiri wake wa zamani
Wewe ndiyo unaanza kutomuamini sasa? Sisi wengine tulishamtolea nje zamani tu, toka wakati ule yeye na Zuhura wanaendesha kampeni dhidi ya shujaa wetu.
 
Una mawazo ya kimavi sana wee mtu.
 
Back
Top Bottom