Kikwete ndiye ambaye alianzisha Operation kali Sana ya kuwadhibiti Majambazi hapa Tanzania. Mara tu alipoingia madarakani Majambazi-papa wote kabisa walikamatwa na Jeshi la Polisi na kuhojiwa. Wengi wao walipewa onyo kali la mwisho la kutakiwa kuacha kabisa shughuli za ujambazi na kufanya kazi zao halali. Wale Majambazi-papa waliokaidi onyo hilo walikuwa eliminated kimya kimya.
But all in all, IGP Omar Mahita alikuwa miongoni mwa Watu vinara waliosaidia kustawisha Ujambazi hapa Tanzania hali iliyosababisha hata Bunge kumwita na kumhoji kuhusiana na utendaji kazi wake. Majambazi waliiteka nchi.