Inawezekana kipindi cha Mkapa ndio ujambazi mkubwa ulitamalaki

Inawezekana kipindi cha Mkapa ndio ujambazi mkubwa ulitamalaki

Mkuu huko kwa hao fedha zilizopo ni kidogo tofauti na kwenye mabenki au utekaji wa magari
Kwasasa kukuta wakala wa huduma za kifedha ana mtaji wa zaidi ya milioni 20 au zaidi ni kitu cha kawaida. Hata tukisema fedha imeshuka thamani, zamani ukiwa na milioni pekee unaishi kwa kuificha.

Siku hizi hata vibaka wanaokaba watu, wanafanya kwa kujificha na sio hadharani kama zamani.
 
Kipindi cha Samia walianza Tena watu wakapaza sauti. Ndipo wazee waka copy kazi ya Sirro na JPM mambo yakapungua.
Kama kawaida zikaanza kelele, wazee wakapunguza kasi kuwapora silaha wahalifu na kuwapitia majumbani mwao hadi usiku.
Eti unafuatwa kisha kesho linafika tangazo ulijaribu kupambana na wazee wakakuzidi nguvu wakakupeleka kwa muumba haraka. Hii inaitwa Sirro & JPM style ya kuwanyang'anya silaha majambazi.
Hii ipo tangu mkapa,hasa baada ya polisi kuuawa na mbwa wao usiku kule tegeta,baada ya hapo polisi hawakuwa na mswalie mtume,ndiyo ikawa mazowea hadi tukio la zombe
 
Kikwete ndiye ambaye alianzisha Operation kali Sana ya kuwadhibiti Majambazi hapa Tanzania. Mara tu alipoingia madarakani Majambazi-papa wote kabisa walikamatwa na Jeshi la Polisi na kuhojiwa. Wengi wao walipewa onyo kali la mwisho la kutakiwa kuacha kabisa shughuli za ujambazi na kufanya kazi zao halali. Wale Majambazi-papa waliokaidi onyo hilo walikuwa eliminated kimya kimya.
But all in all, IGP Omar Mahita alikuwa miongoni mwa Watu vinara waliosaidia kustawisha Ujambazi hapa Tanzania hali iliyosababisha hata Bunge kumwita na kumhoji kuhusiana na utendaji kazi wake. Majambazi waliiteka nchi.
Kabisa,alianzisha kikosi kazi,kikajikita kahama na sehemu zingine,ujambazi wa mabenki ukaisha
 
Kwasasa kukuta wakala wa huduma za kifedha ana mtaji wa zaidi ya milioni 20 au zaidi ni kitu cha kawaida. Hata tukisema fedha imeshuka thamani, zamani ukiwa na milioni pekee unaishi kwa kuificha.

Siku hizi hata vibaka wanaokaba watu, wanafanya kwa kujificha na sio hadharani kama zamani.
Serikali haiwezi mdhibiti kibaka bali raia wenyewe,kwetu mwananyamala tulipochoka,tulienda kuwachomoa vibaka makwao mchana wakila ugali,na hawakurudi tena nyumbani
 
Back
Top Bottom