Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,551
- 9,522
😅😅😅😅 issa piece of advice , he can take it or leave it sir.We mbona umesoma advance ukaweza kuja hapo kwenye ardhi ni azina ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅 issa piece of advice , he can take it or leave it sir.We mbona umesoma advance ukaweza kuja hapo kwenye ardhi ni azina ?
Aende chuo au aombe kubadilishwa chuo na tamisemi wenyewe na wanapataga punguzo la ada hata malazi sio kama walio omba wenyeweHabari zenu wakuu!
Kuna dogo alipata division 2 form 4 lkn post zilizotoka leo amepangiwa kujiumga na chuo cha CBE kozi ya Marketing. Dogo hataki kwenda huko chuo, anataka kwenda advance akapige PCM. Je inawezekana serikali kumbadilishia post akapige hiyo PCM au ni mpaka aende private school?
Matokeo yake form 4 yapo hivi: CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'C' E/D/KIISLAMU - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'D' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'C'
Call me KM miss [emoji39][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] issa piece of advice , he can take it or leave it sir.
Ufaulu wako ukoje? Hivi mnadhani Tamisemi ni wajinga kukupanga chuo na sio advance?mim pia ninashida hiyo hiyo nimepelekwa chuo huasibu arusha ila mim nilitaka kwenda advance
Na comb gan unataka? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ufaulu wako ukoje? Hivi mnadhani Tamisemi ni wajinga kukupanga chuo na sio advance?Nina two ya point 19
Hapana chakula unajitegemea hostel pamoja na adaHivi naomba kuuliza kwa waliopangwa chuo na serikali, ada zao zinakuaje ni nafuu au? Na je chakula wanalipiwa na serekali au