GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Japo siamini kama ni wote, lakini inaonekana kama vile wanaofanikiwa kwenye siasa wana tabia za kipekee kama:
• Bingwa wa kusema uongo
• Mbabe
• Majuzi wa kuiba kura
• Mpenda ushirikina
Ni kama vile wengi wa wasema ukweli na wapenda kufuata njia halali huwa hawakubaliki. Je, ni lazima kuongopea ili kung'ara kisiasa?
Ni lazima kuwa mshirikina ili kukubaliwa na wapiga kura?
Ni lazima kuiba kura ili ushinde uchaguzi?
Ubabe ni wa lazima kwenye siasa?
Nauliza kwamba, unaweza kufanikiwa kisiasa kwa kufuata njia halali pekee bila kuwa mwongo au kucheza rafu? Inawezekana?
• Bingwa wa kusema uongo
• Mbabe
• Majuzi wa kuiba kura
• Mpenda ushirikina
Ni kama vile wengi wa wasema ukweli na wapenda kufuata njia halali huwa hawakubaliki. Je, ni lazima kuongopea ili kung'ara kisiasa?
Ni lazima kuwa mshirikina ili kukubaliwa na wapiga kura?
Ni lazima kuiba kura ili ushinde uchaguzi?
Ubabe ni wa lazima kwenye siasa?
Nauliza kwamba, unaweza kufanikiwa kisiasa kwa kufuata njia halali pekee bila kuwa mwongo au kucheza rafu? Inawezekana?