HeavyWeight Mdedili
Member
- Dec 9, 2024
- 21
- 34
Kuna kijana mwenzetu anaish nyumba moja na mwanamke walietengana! Hv najiuliza inawezeka hulo kwel?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee sas kama hamna mpango kwa kuendelea na vip kama mmoj akimtaman mwenzie?Ina wezekana, tena huo ni mzani mzuri wa kupima Kama mna weza kuendelea kuwa pamoja.
Mpango una weza usi wepo, Kama ni waislamu wame pewa zile siku 40 (Sina hakika) za matazamio.Hee sas kama hamna mpango kwa kuendelea na vip kama mmoj akimtaman mwenzie?
Nipe maujuz inawwzekana huyo kijana ni mimVery simpleeee
nime waza wewe ndo huyo Jamaa, bro una zingua 😆Vipi mmoja akipata mtu inakuaje hapo?? Si itakua vita huko ndani.
Kuna kijana mwenzetu anaish nyumba moja na mwanamke walietengana! Hv najiuliza inawezeka hulo kwel?
Huyo ni Poor Brain kaja na id nyingine.nime waza wewe ndo huyo Jamaa, bro una zingua 😆
Unauliza majibu,si hao wanaishi pamojaKuna kijana mwenzetu anaish nyumba moja na mwanamke walietengana! Hv najiuliza inawezeka hulo kwel?
Eda (40) imewekwa kwa sababuMpango una weza usi wepo, Kama ni waislamu wame pewa zile siku 40 (Sina hakika) za matazamio.
Muda mwingine mna gombana, mmoja ana panda juu zaidi, mki kaa mka tulia everything cools off.
mtalaka hatongozwi 🤣🤣🤣🤣Hee sas kama hamna mpango kwa kuendelea na vip kama mmoj akimtaman mwenzie?
Mbona ni kawaida sanaa watu wanakaa miaka kila mtu chumba chake mpaka kufa, ni suala la kua na msimamo pamoja na disciplineKuna kijana mwenzetu anaish nyumba moja na mwanamke walietengana! Hv najiuliza inawezeka hulo kwel?
Unasema amtimue kama ni demu umeuliza hiyo NYUMBA ni ya nani? Kama wamepanga unamtimuaje mpangaji mwenzako?Huo ni ufala. Kama ameoa na kuna watoto, aondoke akapange.
Kama hajaoa, amtimue huyo demu.
Kama ameoa na hamna mtoto, atafute Mwanasheria ila asikae hapo asepe.