HeavyWeight Mdedili
Member
- Dec 9, 2024
- 21
- 34
- Thread starter
- #21
Hapan n mke na mume wamejeng nyumbUnasema amtimue kama ni demu umeuliza hiyo NYUMBA ni ya nani? Kama wamepanga unamtimuaje mpangaji mwenzako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapan n mke na mume wamejeng nyumbUnasema amtimue kama ni demu umeuliza hiyo NYUMBA ni ya nani? Kama wamepanga unamtimuaje mpangaji mwenzako?
😆mtalaka hatongozwi 🤣🤣🤣🤣
Nlchokua nahoj kunakua na moments za furaha humo ndan?Unauliza majibu,si hao wanaishi pamoja
🤔🤔🤔 sas mbona unanitangaza bro s tulikubaliana iwe siri?Huyo ni Poor Brain kaja na id nyingine.
Mshangazi wake Dorry umemuacha ila bado anaishi hapohapo mbagala kwa huo mshangazi ...
Ndo anaomba ushauri
Huyo ni Poor Brain kaja na id nyingine.
Mshangazi wake Dorry umemuacha ila bado anaishi hapohapo mbagala kwa huo mshangazi ...
Ndo anaomba ushauri
Kama mke na mume wamejenga nyumba basi inawezekana kama mume hana pa kwenda.Hapan n mke na mume wamejeng nyumb
Hat me sielew hapoMinjunjano wanaifanyia lodge ama?
Kwa asilimia kubwa nyumba amejenga mwanaum lakn kwa sahv ameteteleka kiuchumiKama mke na mume wamejenga nyumba basi inawezekana kama mume hana pa kwenda.
Mwanaume ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.
😎😎😎 fanya sir sas sio kila mtu ajuenime waza wewe ndo huyo Jamaa, bro una zingua 😆
Ni hedhi 3 sio siku 40... Hedhi 3 ni karibia siku 90 naaEda (40) imewekwa kwa sababu
1. Matazamio ya kuachana huwenda mmoja hasila ilimtawala lakini bado mnapendana,ndio maana ndani ya hizo siku unaruhusiwa kumrudia bila ya sharti lolote.
Zikipita hizo siku 40 basi itabidi utoe tena mahali na ufungishwe upya ndoa.
2. Matazamio ya ujauzito ,hapa unawezekana umemuacha na ujauzito bila yeye au wewe kujua.
Hizo siku 40 zinaweza kugundua kama mjamzito au laa
Inategemea wameachana kwa muda gani!?. Miaka imepita au miezi!? Nani aliemuacha mwenzie!?. Je , Wana watoto!?. Hzo ni hatua za kujua kabla ushauri haujatolewa.Kuna kijana mwenzetu anaish nyumba moja na mwanamke walietengana! Hv najiuliza inawezeka hulo kwel?
Ndo maana nimekwambia mwanaume ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.Kwa asilimia kubwa nyumba amejenga mwanaum lakn kwa sahv ameteteleka kiuchumi
Sahihi mkuuNi hedhi 3 sio siku 40... Hedhi 3 ni karibia siku 90 naa
Una point ya maana. Nilisahau kuna wanaume dizaini hiyo.Unasema amtimue kama ni demu umeuliza hiyo NYUMBA ni ya nani? Kama wamepanga unamtimuaje mpangaji mwenzako?
Vishu mbona upo hvo mkuu .Huyo ni Poor Brain kaja na id nyingine.
Mshangazi wake Dorry umemuacha ila bado anaishi hapohapo mbagala kwa huo mshangazi ...
Ndo anaomba ushauri
Inawezekana na kurudiana pia kunawezekana, ulitakaje wasirudiane au wasiishi pamoja?Kuna kijana mwenzetu anaish nyumba moja na mwanamke walietengana! Hv najiuliza inawezeka hulo kwel?
Member!!?Magical power!!?KENZY!!? Au ndio wewe ke ulietengana na mumeo!!?Kuna kijana mwenzetu anaish nyumba moja na mwanamke walietengana! Hv najiuliza inawezeka hulo kwel?
Usi kurupuke, nime mquote mwingine,siyo Alie postSio yeye anamsemea jamaa yake
Inawezekana vizuri sana huku kila mtu akijipanga kimpango wakeKuna kijana mwenzetu anaish nyumba moja na mwanamke walietengana! Hv najiuliza inawezeka hulo kwel?