Inawezekana kuishi nyumba moja kama mmetalikiana/uhusiano kuvunjika?

Ni hedhi 3 sio siku 40... Hedhi 3 ni karibia siku 90 naa
 
Kuna kijana mwenzetu anaish nyumba moja na mwanamke walietengana! Hv najiuliza inawezeka hulo kwel?
Inategemea wameachana kwa muda gani!?. Miaka imepita au miezi!? Nani aliemuacha mwenzie!?. Je , Wana watoto!?. Hzo ni hatua za kujua kabla ushauri haujatolewa.
 
Unasema amtimue kama ni demu umeuliza hiyo NYUMBA ni ya nani? Kama wamepanga unamtimuaje mpangaji mwenzako?
Una point ya maana. Nilisahau kuna wanaume dizaini hiyo.

Kama mtu anaishi kwenye nyumba ya demu wake na wameacha kuwa na mahusiano basi aondoke na kama wamepanga pampja na demu pia aondoke.

Mwanaume usikae nyumba moja na mwanamke ambayo humlali na huna undugu naye.
 
Huyo ni Poor Brain kaja na id nyingine.
Mshangazi wake Dorry umemuacha ila bado anaishi hapohapo mbagala kwa huo mshangazi ...
Ndo anaomba ushauri
Vishu mbona upo hvo mkuu .

Kingine mi dorry ajaniacha bdo nipo nae ila kwa sasa mahusiano yetu yanayumba baada ya kuona nakataa mambo yake ya pombe...

Juzi tuu nusu aniue yaani mtu nipo nae ghetto kapulizia dawa ya mbu mazima
 
Hiyo ngumu sana, mwanamke akipata mwanaume na kutaka huyo mwanaume aje hapo patakalika?
 
Kuna kijana mwenzetu anaish nyumba moja na mwanamke walietengana! Hv najiuliza inawezeka hulo kwel?
Member!!?Magical power!!?KENZY!!? Au ndio wewe ke ulietengana na mumeo!!?

Kutengana sio ugomvi Wala kuachana sio nongwa labda kwa vijana wanao balehe!!

Kuna vitu ke anaweza Fanya usimtamani tena,hata ikisimama unakosa hisia za kuitaka!!

Inawezekana Sana !nimewahi iona sehem hiyo makitu!baadae Me akahamia nyumba ya pembeni!!

Umejuaje!!?au umehusika kuvunja uhusiano wao!!?Lazima umeambiwa na ke na huyo ke unamla au we mwenyewe!!!!natania tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…