ahmed omar
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 270
- 215
Fundi wangu kani ambia vyumba viwili na sebule kama hii million 14 inatosha na mimi naogopa hela ikatike njiani nibaki pagale ushauri wenu wadau.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoaAiseeee me Sina uhakika Sana siwezi kusema chochote
Ngoja nimtumie fundi wangu anambie Kama inatosha au inazidiFundi wangu Kani ambia vyumba viwili na sebule kama hii million 14 inatosha na mimi naogopa hela ikatike njisni nibaki pagale ushauri wenu wadauView attachment 1965447
NitashukuruNgoja nimtumie fundi wangu anambie Kama inatosha au inazidi
Aisee Raman inaitajika kujua thaman yakeFundi wangu Kani ambia vyumba viwili na sebule kama hii million 14 inatosha na mimi naogopa hela ikatike njisni nibaki pagale ushauri wenu wadauView attachment 1965447
Naogopa ikatike njiani kabla sijaingia ndaniHkama ilivyo? Hadi ripu hiyo
Haitoshi
Labda kama tofali unatengeneza mwenyewe
Kametulia haka. Huyo fundi wako yupo wapi aje anijengee mieFundi wangu Kani ambia vyumba viwili na sebule kama hii million 14 inatosha na mimi naogopa hela ikatike njisni nibaki pagale ushauri wenu wadauView attachment 1965447
Amenipa wasiwasiAnakuongepea angalia utakuja kulala na viatu.. 😀 😀 😀
Ndio nataka niweze kupaua na mlango na madirisha kwanzaLakini kweli jenga ukiwa na hakika ya kufunika na kuweka milango, usiombe kujenga halafu hela ikatike njiani.
Amenipa wasiwasi
Ndio nataka niweze kupaua na mlango na madirisha kwanza
Ni flatinategemea eneo ulilopo kama lina slope au liko flat
Nakuunga mkono punguza mbususu ujengeKametulia haka. Huyo fundi wako yupo wapi aje anijengee mie