ahmed omar
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 270
- 215
- Thread starter
- #21
PoaInatosha hiyo!!! Believ me
Kama kuna mwingine anahitaji hii anitumie ujumbe abdulazaki9@gmail.com
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoaInatosha hiyo!!! Believ me
Kama kuna mwingine anahitaji hii anitumie ujumbe abdulazaki9@gmail.com
ArushaKwan upo mkoa gan mkuu tuanzie hapo kwanza na hiyo nyumba unaijengwa mkoa gan ?
Kwa mazingira ya moshi hiyo nyumba inaisha na kuhamia +umeme na maji
Sio matofali kwanzaFedha inatosha anza kwa kununua bati na kenchi naamini fedha inayobaki inamaliza
Kwa mimi matofari hapana naona bati na kenchi ndo shida (now zinapanda sana hasa mikoani kwetu)Sio matofali kwanza
Nataka nifanye kwa mpigoKwa mimi matofari hapana naona bati na kenchi ndo shida (now zinapanda sana hasa mikoani kwetu)
Unaweza kupaua kwa bajeti hyo ukisimamia vizuri! Lakini mpka finishing aitoshi na mtu asikudanganye!Fundi wangu Kani ambia vyumba viwili na sebule kama hii million 14 inatosha na mimi naogopa hela ikatike njisni nibaki pagale ushauri wenu wadau
View attachment 1965447
Wewe jamaa bado tu...?!Kametulia haka. Huyo fundi wako yupo wapi aje anijengee mie
Mpaka hapo inavuoonekana kwenye picha ukiwa na 14m unafika. Kuanzia hapo sasa ni finishing ipi unaifanya ndio itaamua hio nyumba iwe na thamani gani.Fundi wangu Kani ambia vyumba viwili na sebule kama hii million 14 inatosha na mimi naogopa hela ikatike njisni nibaki pagale ushauri wenu wadau
View attachment 1965447
Nataka ifike hapo ndio nimalizie nikiwa ndaniMpaka hapo inavuoonekana kwenye picha ukiwa na 14m unafika. Kuanzia hapo sasa ni finishing ipi unaifanya ndio itaamua hio nyumba iwe na thamani gani.
14m unafika hapo.Nataka ifike hapo ndio nimalizie nikiwa ndani
Finishing ya ndani haina shidaUnaweza kupaua kwa bajeti hyo ukisimamia vizuri! Lakini mpka finishing aitoshi na mtu asikudanganye!
[emoji16][emoji16][emoji16]Anakuongepea angalia utakuja kulala na viatu.. 😀 😀 😀
Kwahiyo kwa nyumba kama hiyo inahitajika total figure kiasi gani Chief?Niamini mimi hauwezi kufanya hivyo vyote labda ujenge chini ya viwango...Milango uweke ya "Seplas" ,msingi usifunge mkanda,bati upige za MPESEMPESE...Ratio uweke mchanga ndoo 12 kwa mfuko na kazi umpe saidia fundi ndio ajenge.
Hasemi ni ngapi inatosha anasema yeye ni fundi tuKwahiyo kwa nyumba kama hiyo inahitajika total figure kiasi gani Chief?