The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
Gharama ya ujenzi inategemea na aina ya kiwanja kilivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee!Kwa haraka haraka tu hizo bati ni zaidi ya 60, bati moja ni Tsh +50,000/= Halafu inategemea na eneo alilojengea, kama Ni dar msingi utajengwa kwa tofari but kama ni mikoani then msingi utajengwa kwa mawe and hence bei inaweza kua tofauti, msingi wa tofari is more expensive than mawe, kwa haraka haraka hiyo 14M haitoshi but kama una haraka sana, nakushauri achana na hizo bati almaarufu kama za Msauzi (South African ). Nunua bati za kawaida gauge 28 ambazo bati la futi 10 kwenye bando moja zipo 12 na bei yake ni chini ya Tsh laki 3, hizo za Msauzi zitumie wakati labda utakua unajenga nyumba ya pili while hauna HARAKA cause mahali pa kukaa utakua napo. Otherwise, hongera mkuu kwa plan nzuri
Weka mlango wa mbele na malizia choo cha ndani na piga rafu nyumba yote. Usisahau kuchimba shimo la majitaka moja kwanza. Baada ya hapo vingine utamalizia ukiwa ndaniFundi wangu kani ambia vyumba viwili na sebule kama hii million 14 inatosha na mimi naogopa hela ikatike njisni nibaki pagale ushauri wenu wadau.
View attachment 1965447
Umetisha engineer...u apatikana wapi nikupe m25 unijengeeMm ni Mhandisi by professional ngoja nijaribu kukupa roughly estimate ( ningeona ramani na plot yako ningekupa most accurate estimate)
Tofauli kwa kozi 14, msingi na septic 2500-3000
Gharama fundi mzuri yoyote 1.8 - 2M (boma tu)
Saruji mpaka plaster 100-150 bags
Nondo mm 10 pc 25 na mm 12 pc 30 (ukifunga tatu tatu)
Kokoto trip 2 (nzuri ni ile nyeusi chukua za size 20-25mm) Dar trip moja 300k mpka 400k
Mchanga trip 7-10
Kupaua ( fundi+mbao+bati gauge 30) 4-6 M itategemea aina ya bati unazohitaji so inaweza kuzidi or kupungua
Kuna gharama za maji, kuchimba shimo la choo, usafiri, rings, kukodi mbao, majukwaa, na mapipa ( itategemea na mahali ulipo)
Pia kuna gharama za milango, madirisha, plumbing,electrical installation, finishing ya floor, ceiling, na rangi hizo zitategemea na mahitaji yako mkuu. Na vitu vingne kama misumari, binding wire, mbao za 2x2 kwa ajili ya msingi wakt wa setting, plywood kma unahitaji arch wakat wa renta fundi atakuongoza idadi yake. All the best
Ndivyo natakaWeka mlango wa mbele na malizia choo cha ndani na piga rafu nyumba yote. Usisahau kuchimba shimo la majitaka moja kwanza. Baada ya hapo vingine utamalizia ukiwa ndani
Ahahah sisi kazi zetu za kuhama hama! Ww anza tu mkuu mwenywe tutapeana ushauri humu humu! Ujenzi ni gharama ila sio kama watu wanavyotishana also watu wengi wanaingia gharama unnecessary kwa kutoshauriwa vizuri especially kwenye ramani.Umetisha engineer...u apatikana wapi nikupe m25 unijengee
Nafikiri kingine ambacho watu hua hawashauriwi vizuri ni kuhusu bati, sasa hivi umeingia mtindo wa hizo bati almaarufu kama msauzi, hizo bati bila kujali gauge yake watu wanaweka tu kwasababu ya fashion but unaweza kuweka bati zile za kawaida/za kizamani zenye gauge 28 na nyumba/paa likaa muda hata wa 30 years but again bei yake hizo bati sio mbaya kiviile kama hizo za Msauzi ambazo zinauzwa kwa piece while hizo za kawaida inauzwa kwa bando; hili jambo mhandisi mwenzangu, hebu tuwaambie watu waelewe hasa hao wanao anza kujenga sasa hivi, i mean hawa ambao ndio wanaanza maisha.Ahahah sisi kazi zetu za kuhama hama! Ww anza tu mkuu mwenywe tutapeana ushauri humu humu! Ujenzi ni gharama ila sio kama watu wanavyotishana also watu wengi wanaingia gharama unnecessary kwa kutoshauriwa vizuri especially kwenye ramani.
Hilo bati la kwenye hiyo picha wapi linauzwa bei hiyo mkuu?Bati za 28000/ zipo kwa nini anunue bati ya 50000/
Kuna watu humu wanapenda kukatisha wenzao tamaa
Mkuu, umesoma maelezo vizuri? Inategemea na mahali, muulizaji haja specify sehemu alipo, wewe umefanya hitimisho kwamba yupo Dar right? Rudia tena nilicho andika then kosoa kistaarabu. Halafu kingine ni hiki, migongo mipana gauge ngapi???? Ubora wa bati sio aina ya mgongo, sio mwanamke huyo kwamba utaangalia kama ana tackle au laa, ubora wa bati ni gauge!Acha uongo, hizo bati migongo mipana haifiki 50000.
Hata alaf wenyewe wanauza 37,000
la Almasi au ?bati moja ni Tsh +50,000/=
Mlipe mtaalam laki tatu akutengenezee BOQ, utakuja kunishukuru.Fundi wangu kani ambia vyumba viwili na sebule kama hii million 14 inatosha na mimi naogopa hela ikatike njisni nibaki pagale ushauri wenu wadau.
View attachment 1965447
Poahahaaa haiwezekani kamwe nondo zenmyewe sasahivi 25000 badala ya 22000 au 23000 huyo jamaa anataka kukuua na presha tu hapo ilipofika kama haina blandering wala gypsum inaonekana si chini ya 25 amini maneno yangu
Hata wao bado miyeyusho nilimpata mmoja Kala laki bado haja Sema ni bei halisi ni ngapiMlipe mtaalam laki tatu akutengenezee BOQ, utakuja kunishukuru.
Zingine zote ni porojo tupu.
Acha masihara bana, BOQ hawasemi bali unaletewa in writing.Hata wao bado miyeyusho nilimpata mmoja Kala laki bado haja Sema ni bei halisi ni ngapi
No mkuu
Mimi nimeuliza kwa kuangalia hiyo nyumba ya mleta uzi unafikiri imecost kiasi gani hadi hapo ilipofikia?
Kama za chanika vile??
Oooh ok mkuu asante sanakama ni standard 15 imeondoka hapo ila kama fabrication za nyumba za chamazi basi 8.