Inawezekana kujenga nyumba hii kwa millioni 14

Inawezekana kujenga nyumba hii kwa millioni 14

Kwahiyo inatosha au haitoshi kwa mtazamo wako?
Mm ni Mhandisi by professional ngoja nijaribu kukupa roughly estimate ( ningeona ramani na plot yako ningekupa most accurate estimate)
Tofauli kwa kozi 14, msingi na septic 2500-3000
Gharama fundi mzuri yoyote 1.8 - 2M (boma tu)
Saruji mpaka plaster 100-150 bags
Nondo mm 10 pc 25 na mm 12 pc 30 (ukifunga tatu tatu)
Kokoto trip 2 (nzuri ni ile nyeusi chukua za size 20-25mm) Dar trip moja 300k mpka 400k
Mchanga trip 7-10
Kupaua ( fundi+mbao+bati gauge 30) 4-6 M itategemea aina ya bati unazohitaji so inaweza kuzidi or kupungua
Kuna gharama za maji, kuchimba shimo la choo, usafiri, rings, kukodi mbao, majukwaa, na mapipa ( itategemea na mahali ulipo)
Pia kuna gharama za milango, madirisha, plumbing,electrical installation, finishing ya floor, ceiling, na rangi hizo zitategemea na mahitaji yako mkuu. Na vitu vingne kama misumari, binding wire, mbao za 2x2 kwa ajili ya msingi wakt wa setting, plywood kma unahitaji arch wakat wa renta fundi atakuongoza idadi yake. All the best
 
Haitoshi ilo bati na mbao kununua ni 4m bado gharama ya fundi
 
Hkama ilivyo? Hadi ripu hiyo
Haitoshi
Labda kama tofali unatengeneza mwenyewe
Inatosha, abadilishe tuu hilo paa maana ni zaidi ya kula bati 100 na mbao nyingii halina faida yoyote.
 
Sio matofali kwanza
Mabati na mbao vipo kibao na bei nzuri tuu.... Nunua tofali 1500 kwanza, mchanga tripu 4, simenti mifuko 50, kokoto tripu mbili, vuta bomba la maji hapo site, zungusha fensi ya nguzo za miti na waya na geti la mabati used then anza kazi fasta mwanangu...
 
Kwa jinsi ujenzi na gharama ya vifaa vilivyopanda bei nakushauri anza kujengea kwenye karatasi kwa uhalisia wa gharama za material bila hvyo hiyo ramani kama inazidi vyumba viwili jiandae kuishia njiani
 
Mabati na mbao vipo kibao na bei nzuri tuu.... Nunua tofali 1500 kwanza, mchanga tripu 4, simenti mifuko 50, kokoto tripu mbili, vuta bomba la maji hapo site, zungusha fensi ya nguzo za miti na waya na geti la mabati used then anza kazi fasta mwanangu...
Wazi zuri
 
Kwa jinsi ujenzi na gharama ya vifaa vilivyopanda bei nakushauri anza kujengea kwenye karatasi kwa uhalisia wa gharama za material bila hvyo hiyo ramani kama inazidi vyumba viwili jiandae kuishia njiani
Vyumba viwili na sebule
 
Kwa hiyo ramani inavyoonekana bati si chini ya 100 hapo tayari 4m imeenda Mbao 1.5m tofali 2.5-3m cemen 900k kokoto inategemeana ila si chini ya 150k nondo 7-800k fundi wa kujenga 1m fundi kupaua 800k weka na mchanga madirisha na milango 1.5m weka vitu vidgo vidgo ukiona umebakiza 3M pembeni nje ya hiyo hesabu kajenge mwanangu wa faida [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
 
Kwa hiyo ramani inavyoonekana bati si chini ya 100 hapo tayari 4m imeenda Mbao 1.5m tofali 2.5-3m cemen 900k kokoto inategemeana ila si chini ya 150k nondo 7-800k fundi wa kujenga 1m fundi kupaua 800k weka na mchanga madirisha na milango 1.5m weka vitu vidgo vidgo ukiona umebakiza 3M pembeni nje ya hiyo hesabu kajenge mwanangu wa faida [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
Bati za kawaida 100 haifiki million mbili
 
Back
Top Bottom