Inawezekana kujenga nyumba hii kwa millioni 14

Amenipa wasiwasi

Mimi ni fundi, baadhi ya mafundi wasio na weledi huwa wanamtajia Boss gharama za chini ili aingie kichwa kichwa apate kazi,akishaanza kuchimba msingi na kuleta cement na tofali hapo ndio fundi ataanza nunua hiki mara nunua hiki ambavyo ndivyo vinakuja kukutoa nje ya reli na kulala na viatu huku pagale hata kuezeka bado achilia mbali grill/plasta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…