We demu ukiona mtu anasema anakuelewa wakati hajawah hata kukuona, ujue hizo ni ndoano tu, ukinasa umeliwa😋Habarini wanajamvi.
Inatokea unatumia mtandao wa kijamii kama JamiiForums,Instagram,WhatsApp ama X
...
-kwenye moja na mbili mtu anasema kakuelewa au wewe unamwambia umemuelewa hata kabla hujamuona hata kwa picha, hii huwa ni tamaa au mapenzi?
-Me naona kama mapenzi ya kweli yameambatana na tamaa fulani hivi, ndio maana tunasema natamani kuwa na yule mtu.
-Swali langu ni unaweza kumpenda mtu bila kumtamani?
NB: Hayana muongozo, tunaambizana tu.
Ngoja siku nishushe siliiiiiiidii mkuu 🙂🙂si umtaje ili waungwana wakuambie kama ni Ke
Maoni yako muhimu waje tena kina nani
Habarini wanajamvi.
Inatokea unatumia mtandao wa kijamii kama JamiiForums,Instagram,WhatsApp ama X
...
-kwenye moja na mbili mtu anasema kakuelewa au wewe unamwambia umemuelewa hata kabla hujamuona hata kwa picha, hii huwa ni tamaa au mapenzi?
-Me naona kama mapenzi ya kweli yameambatana na tamaa fulani hivi, ndio maana tunasema natamani kuwa na yule mtu.
-Swali langu ni unaweza kumpenda mtu bila kumtamani?
NB: Hayana muongozo, tunaambizana tu.
Unatoa Siri za area 51We demu ukiona mtu anasema anakuelewa wakati hajawah hata kukuona, ujue hizo ni ndoano tu, ukinasa umeliwa😋
Abeee, nimefika.haha 😀 basi niitie ndugu yako Theresa49
Inawezekana kumpenda mtu bila kumtamani kama nafsi yako. Lakini ukipenda kitu alichonacho huko ni kutamani na nidhambi.Ukimpenda mtu kwa sababu ya kitu alichonacho;swali je kesho hicho alichonacho kikipotea utampenda?Lakini ukimpenda mtu kama nafsi yako hata akiwa masikini upendo upo pale paleHabarini wanajamvi.
Inatokea unatumia mtandao wa kijamii kama JamiiForums,Instagram,WhatsApp ama X
...
-kwenye moja na mbili mtu anasema kakuelewa au wewe unamwambia umemuelewa hata kabla hujamuona hata kwa picha, hii huwa ni tamaa au mapenzi?
-Me naona kama mapenzi ya kweli yameambatana na tamaa fulani hivi, ndio maana tunasema natamani kuwa na yule mtu.
-Swali langu ni unaweza kumpenda mtu bila kumtamani?
NB: Hayana muongozo, tunaambizana tu.
Sahihi mkuu umenena vyema kumpenda mtu kama nafsi yakoInawezekana kumpenda mtu bila kumtamani kama nafsi yako. Lakini ukipenda kitu alichonacho huko ni kutamani na nidhambi.Ukimpenda mtu kwa sababu ya kitu alichonacho;swali je kesho hicho alichonacho kikipotea utampenda?Lakini ukimpenda mtu kama nafsi yako hata akiwa masikini upendo upo pale pale
Mama yako au baba yako unawapenda? Je, unawatamani?Habarini wanajamvi.
Inatokea unatumia mtandao wa kijamii kama JamiiForums,Instagram,WhatsApp ama X
...
-kwenye moja na mbili mtu anasema kakuelewa au wewe unamwambia umemuelewa hata kabla hujamuona hata kwa picha, hii huwa ni tamaa au mapenzi?
-Me naona kama mapenzi ya kweli yameambatana na tamaa fulani hivi, ndio maana tunasema natamani kuwa na yule mtu.
-Swali langu ni unaweza kumpenda mtu bila kumtamani?
NB: Hayana muongozo, tunaambizana tu.
Nasubiri To yeye .Nadhani amekusikia anakuja