Inawezekana kumpenda mtu bila kumtamani

Inawezekana kumpenda mtu bila kumtamani

Mapenzi ya online/dating apps kama utapeli hivi!
Tamaa nyingi kwa mwanaume (apate kuchapa) kwa mwanamke (apate hela)
 
Nakumbuka nikiwa chuoni, kuna manzi nilikuwa namkubali sana, ni wa kawaida tu wala hakuwa mrembo. Sikuwa na mawazo ya ngono ila kiukweli kila nikikutana naye moyo ulishtuka. Alikuwa bize na mambo yake, sikuwahi kumuona ameambatana na marafiki.
Nilijisemea "that's my wife" ingawa sikuwa na ujasiri wa kumfuata
 
Habarini wanajamvi.

Inatokea unatumia mtandao wa kijamii kama JamiiForums,Instagram,WhatsApp ama X
...

Kwenye moja na mbili mtu anasema kakuelewa au wewe unamwambia umemuelewa hata kabla hujamuona hata kwa picha, hii huwa ni tamaa au mapenzi?

Me naona kama mapenzi ya kweli yameambatana na tamaa fulani hivi, ndio maana tunasema natamani kuwa na yule mtu.

Swali langu ni unaweza kumpenda mtu uliekutana nae mtandaoni bila kumtamani?

NB: Hayana muongozo, tunaambizana tu.
Kikawaida mwanadamu anaanza na kutamani kabla ya kupenda, ndio maana unaweza kuulizwa/kujiuliza swali "Hivi anampenda kweli au kamtamani tu" actually, unaanza kumtamani, then kama upendo upo ndani yake utachukua nafasi yake, na ikiwa hakuna upendo, tamaa zikikata tu huna habari naye tena.

Aidha kuhusu, ishu ya kumweleza mtu unampenda kwenye mitandao ya kijamii, yamkini hujawai hata kumuona kisura, inaweza kuchagizwa na mambo kadhaa. Kisaikolojia, inaweza kusababishwa na ile taswira ulioijenga kichwani kuhusu huyo mtu, mfano unaweza kuwa unajenga picha kuwa huyu mtu atakuwa anafanana hivi, labda white, mrefu etc. Lakini pia, inawezakuchagizwa na harakati zake kwenye mitandao husika mfano mada anazichangia, maadiko yake nk
 
Habarini wanajamvi.

Inatokea unatumia mtandao wa kijamii kama JamiiForums,Instagram,WhatsApp ama X
...

Kwenye moja na mbili mtu anasema kakuelewa au wewe unamwambia umemuelewa hata kabla hujamuona hata kwa picha, hii huwa ni tamaa au mapenzi?

Me naona kama mapenzi ya kweli yameambatana na tamaa fulani hivi, ndio maana tunasema natamani kuwa na yule mtu.

Swali langu ni unaweza kumpenda mtu uliekutana nae mtandaoni bila kumtamani?

NB: Hayana muongozo, tunaambizana tu.
Hey
 
Kikawaida mwanadamu anaanza na kutamani kabla ya kupenda, ndio maana unaweza kuulizwa/kujiuliza swali "Hivi anampenda kweli au kamtamani tu" actually, unaanza kumtamani, then kama upendo upo ndani yake utachukua nafasi yake, na ikiwa hakuna upendo, tamaa zikikata tu huna habari naye tena.

Aidha kuhusu, ishu ya kumweleza mtu unampenda kwenye mitandao ya kijamii, yamkini hujawai hata kumuona kisura, inaweza kuchagizwa na mambo kadhaa. Kisaikolojia, inaweza kusababishwa na ile taswira ulioijenga kichwani kuhusu huyo mtu, mfano unaweza kuwa unajenga picha kuwa huyu mtu atakuwa anafanana hivi, labda white, mrefu etc. Lakini pia, inawezakuchagizwa na harakati zake kwenye mitandao husika mfano mada anazichangia, maadiko yake nk
kweli kabisa nishaanza kujijengea picha ya Mallerina haha
 
Kuna huyo mmoja kaniambia ananipenda, anataka kunikojea tuzae watoto, na hajawahi kuniona. Bila shaka huyu hayuko sawa.
 
Habarini wanajamvi.

Inatokea unatumia mtandao wa kijamii kama JamiiForums,Instagram,WhatsApp ama X
...

Kwenye moja na mbili mtu anasema kakuelewa au wewe unamwambia umemuelewa hata kabla hujamuona hata kwa picha, hii huwa ni tamaa au mapenzi?

Me naona kama mapenzi ya kweli yameambatana na tamaa fulani hivi, ndio maana tunasema natamani kuwa na yule mtu.

Swali langu ni unaweza kumpenda mtu uliekutana nae mtandaoni bila kumtamani?

NB: Hayana muongozo, tunaambizana tu.
Psychologically, hiki ndicho unachotamani Kwake
"Ni ile unafeel her/his energy and presence in your life."
 
Kupenda ni mtiririko wa tamaa.. leo umetani anavyoongea. Kesho ukatamani anavyocheka. Keshokutwa ukatamani anavyotembea nk... Ndo upendo huo. Mwishowe mnagandana.

Kesho ukianza kukwazika kwa ulivyovipenda ndo chuki huanzia hapo. mwishowe kinaumana.

Ndugu Mtanzania, unangoja nini? Jitwalie kilichochema mbele ya upeo wa macho yako ili uiponye nafsi
 
Kupenda ni mtiririko wa tamaa.. leo umetani anavyoongea. Kesho ukatamani anavyocheka. Keshokutwa ukatamani anavyotembea nk... Ndo upendo huo. Mwishowe mnagandana.

Kesho ukianza kukwazika kwa ulivyovipenda ndo chuki huanzia hapo. mwishowe kinaumana.

Ndugu Mtanzania, unangoja nini? Jitwalie kilichochema mbele ya upeo wa macho yako ili uiponye nafsi
kama hadi Satan kasema hivi wakuu tunafeli wapi!
 
Back
Top Bottom