CCM ni chama kikubwa bwashee...... Ni nyumbani kwa wasema ukweli!
Sasa kwa akili yako tu ya kawaida, mtu anaanzaje kuacha udiwani/ ubunge wake ambao aliupata kwa jasho na damu, aache mshahara na stahili zake zote za kustaafu?Hivi kila mpinzani anayehamia ccm kanunuliwa?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hahahaaaaa....... Utumbo ni sehemu ya siasa bwashee!
Wengine bila kupewa utumbo hawaelewagi!
Hichi kikundi chao huwa wanakodi watu ili kuleta fujoNimesikiliza kauli moja tu ya mtumishi wa Mungu Mchungaji Msigwa akikiri kuwa ana undugu na Rais Magufuli.
Na zaidi Mchungaji Msigwa akasema kama wanafamilia "wao" wana namna wanavyoshughulikia mambo yao.
Nilichojiuliza ni kwanini Mchungaji Msigwa hajawahi " Kujimwambafy" kwamba yeye ana uhusiano na Rais Magufuli?
Pale Chimala na Matamba wanajua kuwa Mchungaji Msigwa ana uhusiano na Rais Magufuli lakini jimboni Iringa wengi wamejua juzi.
Siyasemi haya kwa sababu ya Msigwa kulipiwa faini kwani hata mstaafu Kikwete aliwahi kumlipia " mahali" mwanaharakati huru na hakuna aliyehoji.
Ninachotaka kusema hapa ni ushupavu wa Dr Magufuli na Mchungaji Msigwa walivyouhifadhi uhusiano wao bila walio wengi kufahamu.
Hata juzi kama Mnikulu ndiye angeenda Segerea kumtoa Mchungaji bila shaka Msigwa angepanda gari ya serikali kurudi nyumbani tatizo ni zile sare za kijani ndio zilizoiletea shida familia hii.
Cha muhimu tumepata somo kuwa bado kuna " turufu" zimebaki pale Ufipa na huenda hawa waliohamia CCM ni magarasa matupu.
Maendeleo hayana vyama!
Hiyo sentensi ya mwisho ndio imenifurahisha!Sasa kwa akili yako tu ya kawaida, mtu anaanzaje kuacha udiwani/ ubunge wake ambao aliupata kwa jasho na damu, aache mshahara na stahili zake zote za kustaafu?
Vyote hivyo apoteze halafu eti akaunge juhudi? Juhudi zipi?
Ni mjinga tu anaeweza kuaminishwa ujinga unao uamini wewe.
Hata mitume walimuuliza Yesu "Bwana, sisi tumeacha vyote na kukufuata ww, tutapata nini basi?
Jiongeze
Sent using Jamii Forums mobile app
policcm sio watu , ni vitu.ina policcm
Yes tena cash wengine Kwa vyeoHivi kila mpinzani anayehamia ccm kanunuliwa?
Kichaka cha mafisadiCCM ni chama kikubwa bwashee...... Ni nyumbani kwa wasema ukweli!
Hebu fikiria Hamis Mgeja alijiunga Chadema kumfuata Lowassa.johnthebaptist ,
..kuwa mpinzani hapa Tz inahitaji kuwa na WITO.
..bila kuwa na wito ni vigumu kuhimili misukosuko ya CCM ikishirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama, pamoja na mahakama.
..aliyejiungia CDM kwa kufuata ubunge akiona nafasi yake iko hatarini lazima atahamia CCM.
Hebu fikiria Hamis Mgeja alijiunga Chadema kumfuata Lowassa.
Siasa za bongo ni pasua kichwa!
Wewe hunaTumuhlize Mwenyekiti wa CCM Mara,inainekana ana taarifa za kutosha!
Hichi kikundi chao huwa wanakodi watu ili kuleta fujo
Uzuri umeelewa jinsi mlivyo watupu kichwaniNaona dada umekurupushwa na cha mwisho bila kukoga umekuja dandia gari kwa mbele...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana yake eti. Hujui?Hivi kila mpinzani anayehamia ccm kanunuliwa?
Nimesikiliza kauli moja tu ya mtumishi wa Mungu Mchungaji Msigwa akikiri kuwa ana undugu na Rais Magufuli.
Na zaidi Mchungaji Msigwa akasema kama wanafamilia "wao" wana namna wanavyoshughulikia mambo yao.
Nilichojiuliza ni kwanini Mchungaji Msigwa hajawahi " Kujimwambafy" kwamba yeye ana uhusiano na Rais Magufuli?
Pale Chimala na Matamba wanajua kuwa Mchungaji Msigwa ana uhusiano na Rais Magufuli lakini jimboni Iringa wengi wamejua juzi.
Siyasemi haya kwa sababu ya Msigwa kulipiwa faini kwani hata mstaafu Kikwete aliwahi kumlipia " mahali" mwanaharakati huru na hakuna aliyehoji.
Ninachotaka kusema hapa ni ushupavu wa Dr Magufuli na Mchungaji Msigwa walivyouhifadhi uhusiano wao bila walio wengi kufahamu.
Hata juzi kama Mnikulu ndiye angeenda Segerea kumtoa Mchungaji bila shaka Msigwa angepanda gari ya serikali kurudi nyumbani tatizo ni zile sare za kijani ndio zilizoiletea shida familia hii.
Slow huwa ananunua mizoga,badala ya Kununua wapiga kura wananunua wapigiwa kura,hawa Jamaa akili zao zinafanana Na matendo yao
Cha muhimu tumepata somo kuwa bado kuna " turufu" zimebaki pale Ufipa na huenda hawa waliohamia CCM ni magarasa matupu.
Maendeleo hayana vyama!
Kumbe ikuwa hujui? Pe sanaHivi kila mpinzani anayehamia ccm kanunuliwa?
Polisi inatakiwa waanzishe chama wapambane Na chadema Na sio kujifichia mgongo wa ccmpoliccm sio watu , ni vitu.
Yaani kwa yule mlevi mbwa walibugi sana. Mtu alikuwa anakunywa hadi anajikojolea pale Banana.CCM imenunua watu wenye njaa, hawana chochote kichwani. Mwita Waitara ana nini yule mlevi? Mkamuonga na unaibu waziri kwa Lengo la kushawishi wengine wafike bei. Je kuna la maana CCM kimeongeza, zaidi ujinga na kuendelea kutumia dola kuumiza watu
Sent using Jamii Forums mobile app