Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana kwa hiki kikokotoo hakishindikani kitu.Habari wakuu. Naomba niende kwenye mada, kwa wenye uelewa na hili naomba kufahamu zaidi.
Ni sahihi au kuna upigaji kwenye hili?
Miaka 39 kazini serikalini.
Mafao hayazidi 10Million
Mshahara aliostaafia Laki 6(miaka 7)
Kabla alikua akilipwa 250K-450K
Asante
Mimi kuna ndugu yangu kastaafu ualimu wa shule ya msingi grade IIIA mwaka jana kapata kiinua mgongo 34 milioni kafundisha zaidi ya miaka 38.Habari wakuu. Naomba niende kwenye mada, kwa wenye uelewa na hili naomba kufahamu zaidi.
Ni sahihi au kuna upigaji kwenye hili?
Miaka 39 kazini serikalini.
Mafao hayazidi 10Million
Mshahara aliostaafia Laki 6(miaka 7)
Kabla alikua akilipwa 250K-450K
Asante
Cha zamani ni kipi jombaaa?!!Inawezekana kwa sababu kwa kikotoo cha zamani angepata kama 48M
Kweli Mkuu Tena Kwa Ukweli Mifumo Yetu Ya Ajira Na Kujari Wastaafu Ni Mibovu Mno Tanzania Shida Mpaka Kwa Hao Wasomi Wanaopewa VyeoKwa Tanzania hio ni kawaida 🤣
Cha kabla ya 01/07/2022Cha zamani ni kipi jombaaa?!!
Kwamba kila mwezi aliofundisha kalipwa 100,000Mimi kuna ndugu yangu kastaafu ualimu wa shule ya msingi grade IIIA mwaka jana kapata kiinua mgongo 34 milioni kafundisha zaidi ya miaka zaidi ya miaka 38.
Inasikitisha sana kwa kweli.
Labda private hukooo..lkn Kwa serikali big noIdara Gani mkuu, Kuna mtu analipwa 700,000 kama mshara wake wa juu? Andika ukweli chief