Inawezekana mtumishi wa Serikali kulipwa mafao Milioni 10 baada ya miaka 39 kazini?

Inawezekana mtumishi wa Serikali kulipwa mafao Milioni 10 baada ya miaka 39 kazini?

Habari wakuu,

Naomba niende kwenye mada, kwa wenye uelewa na hili naomba kufahamu zaidi.

Ni sahihi au kuna upigaji kwenye hili?

Miaka 39 kazini Serikalini.
Mafao hayazidi 10Million
Mshahara aliostaafia Laki 6 (miaka 7)
Kabla alikuwa akilipwa 250K-450K

Asante
Tatizo kubwa la Wabongo, vichwa vimejaa mende.

Wakati Sheria zinatungwa hata upihe kelele vipi hayakusikii.

Ila utekelezaji ukianza yakigonga mwamba ndio yanaanza kulia lia.
 

Attachments

  • Kikokotoo.jpeg
    Kikokotoo.jpeg
    205.6 KB · Views: 14
Habari wakuu,

Naomba niende kwenye mada, kwa wenye uelewa na hili naomba kufahamu zaidi.

Ni sahihi au kuna upigaji kwenye hili?

Miaka 39 kazini Serikalini.
Mafao hayazidi 10Million
Mshahara aliostaafia Laki 6 (miaka 7)
Kabla alikuwa akilipwa 250K-450K

Asante
😆😆😆🏃🏃🏃
 
Back
Top Bottom