Inawezekana simba ikatangaza ticket Sold out siku 2 kabla

Inawezekana simba ikatangaza ticket Sold out siku 2 kabla

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
Kwa mwendo WA ukataji ticket wa mashabiki wa simbasc ulivyokua na Kasi wanaeza kuuza ticket zote siku mbili kabla ya Tamasha, kwasasa bado 15% tuu wauze ticket zote, wakati kule upande wa Yangasc bado mambo magumu! Tena sanaaaa

Mimi Kwanza naona kinqchowaponza zaidi yanga kuna mvutano kwa wahamasishaji wao, Haji na Allykamwe hawapo pamoja, pia inaonekana kama Yanga wamempotezea Haji Manara.

Jana Haji Manara kapiga interview wasafifm lakini ukiingia kwenye page za Yanga hawajapost kitu NI kama hawamtambui zungu, Leo wapo temeke hospital wanajitolea kufanya usafi NI alikamwe yupo mstari wa mbele haijulikani zungu yupo wapi, na kinachofanyika temeke Leo ndio wanakipost Sana hata kwenye page zao za mitandao, inamaana NI kama wamemlia wa mbuzi zungu😅😅😅

Naskia hata Ile press ya Kwanza aliyokuwepo Allykamwe na zungu ilikua isipostiwe kwenye page za club kwa sababu ya uwepo wa zungu, ila naskia zungu akafosi akachukua simu ya mtu wa digital akapost mwenyewe.

Hii vita NI Kali Sana sijui Nani atashinda

Simba wanakwamisha UBAYA UBWELA

Wakati Yangasc wao wanasema Wehuogopi?? Wakati huo huo Manara yeye anasema udugu umala, Yani wao kwa wao wanavutana
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-31-11-59-18-955_com.instagram.android-edit.jpg
    Screenshot_2024-07-31-11-59-18-955_com.instagram.android-edit.jpg
    857.9 KB · Views: 2
Comrade kipepe umepotelea wapi? siku hizi hauna amsha amsha tena
 
Simba nguvu moja .

Natamani Ali Kiba atunge wimbo unaoitwa Simba nguvu moja .

Viongozi wa Simba mliopo humu mfikishieni habari Ali Kiba . Hili jina " Simba nguvu moja" lina vibe sana .
 
Mm sikuona ata umuhimu wa Yanga Day maana sisi yakwetu tuliializia south ila kwasababu wananchi wanataka wawaone live wachezaji wao basi mwororo.
 
Makolo kwa kujaza uwanja tu shikamooni.
Sisi yetu makombe🖐️😅
 
Idara ya habari Simba ina utoto mwingi, porojo nyingi kwa ground vitu haviendi! hakuna cha sold out wala nini🤣🤣
 
Kwa mwendo WA ukataji ticket wa mashabiki wa simbasc ulivyokua na Kasi wanaeza kuuza ticket zote siku mbili kabla ya Tamasha, kwasasa bado 15% tuu wauze ticket zote, wakati kule upande wa Yangasc bado mambo magumu! Tena sanaaaa

Mimi Kwanza naona kinqchowaponza zaidi yanga kuna mvutano kwa wahamasishaji wao, Haji na Allykamwe hawapo pamoja, pia inaonekana kama Yanga wamempotezea Haji Manara.

Jana Haji Manara kapiga interview wasafifm lakini ukiingia kwenye page za Yanga hawajapost kitu NI kama hawamtambui zungu, Leo wapo temeke hospital wanajitolea kufanya usafi NI alikamwe yupo mstari wa mbele haijulikani zungu yupo wapi, na kinachofanyika temeke Leo ndio wanakipost Sana hata kwenye page zao za mitandao, inamaana NI kama wamemlia wa mbuzi zungu😅😅😅

Naskia hata Ile press ya Kwanza aliyokuwepo Allykamwe na zungu ilikua isipostiwe kwenye page za club kwa sababu ya uwepo wa zungu, ila naskia zungu akafosi akachukua simu ya mtu wa digital akapost mwenyewe.

Hii vita NI Kali Sana sijui Nani atashinda

Simba wanakwamisha UBAYA UBWELA

Wakati Yangasc wao wanasema Wehuogopi?? Wakati huo huo Manara yeye anasema udugu umala, Yani wao kwa wao wanavutana
Izo sababu ulizozitaja azina mashiko Wala akuna hoja apo zaidi ya chuki na wivu, Kinachopelekea kusuasua kwa ticket za yanga kuisha ni sababu kuu mbili ama Tatu, sababu ya kwanza mashabiki na wanachama wa yanga tiyali washaiona timu yao live katika mechi 3 kule south Africa ivyo Awana matamanio makubwa na ya haraka yanayoweza kupelekea wakate ticket kwa haraka namna iyo, sababu ya pili tiyali timu yao wanaijua ni Ile Ile aijabadilika na maingizo ya wachezaji wapya washawaona tiyali ivyo Awana haraka ya ticket Wala hamu kubwa kiivyo!

Makolo wao ni halali ticket zao ziishe kwa wakati kwa kuwa Cha kwanza awajaiona timu yao na Wala awajui inachezaje kwa kuwa ilikuwa imefichwa Kama biashara haramu ya bangi walikuwa wanapewa matokeo tu basi, Cha pili awajawaona wachezaji wao waliosajiliwa zaidi ya kupewa sifa kwenye mitandao tu na wakina Ahmed Aly ivyo wanayo hamu kubwa sana kuwaona, vitu ivyo ndio hoja za msingi zinazopelekea upande mmoja ticket zitembee kwa haraka na upande mwingine kusuasua na sio hoja mfu izo ulizozitoa hapo juu ukiwaatack kina Manara!
 
Back
Top Bottom