wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Huyo Mwendakuzimu ndio alianzishaga haya mambo,kwa hio huu Ni mwendelezo wa legacy yake mbovuKwa sasa watu kama mtoa mada wanataka Mwendakuzimu arudi, wanamuona ni bora mara 100 zaidi ya Samia
Hafai kabisaHatoshi
Naunga mkono hojaMkuu mimi si shabiki wa huyu mama lakini ukweli lazima usemwe.
Umemlisha maneno.
Hakuna mahali amesema yeye kama raisi anatoa vibali vya mikutano.
Mkosoe kwa makosa yake si mambo ya kuzusha.
Wapinzani wa hapa bongo hawajielewi na hawaeleweki. Nimekuja kugundua Wao lengo lao hasa ni kupata mchongo na wao waingie Ikulu waitafune injii ๐Kwa sasa watu kama mtoa mada wanataka Mwendakuzimu arudi, wanamuona ni bora mara 100 zaidi ya Samia
Hicho ulichokiandika kinahusiana nini na mikutano ya Hadhara?Mh. Rais wetu Samia hana shida tatizo ni Sisi kujaribu kumpima kwa kumlinganisha na Hayati Magufuli.Isitoshe ni muda mfupi sana kusema kitu kwani pia ni nafasi aliyoshtukiziwa sana, tuwe na subira angalau baada ya miaka miwili tunaweza kuongea kitu. TUMPE MUDA SAMIA SULUHU HASSAN, MHE. RAIS WA JMT
SureHatuwezi kumpa muda zaidi Rais ambae anavunja sheria za nchi yetu pendwa kila kukicha.
Leo anatamba mbele ya uma kuwa ni mtoa vibali vya mikutano ya vyama vya siasa. Pia anadanganya uma kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhari vinaenda kuvunja vunja magari pamoja na mali nyingine za uma badala ya kufanya mikutano na ndiyo maana hatoi vibali hivyo.
Hii maana yake ni kwamba tukiendelea kumchekea chekea kesho ataamka na kubwa zaidi la kuiangamiza nchi yetu pendwa.
Kama CCM mmebadilika kuwa matahira pisheni wenye uwezo wa kuongoza waongoze nchi yetu pendwa.
Machowkor mtalia na kusaga MenoHatuwezi kumpa muda zaidi Rais ambae anavunja sheria za nchi yetu pendwa kila kukicha.
Leo anatamba mbele ya uma kuwa ni mtoa vibali vya mikutano ya vyama vya siasa. Pia anadanganya uma kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhari vinaenda kuvunja vunja magari pamoja na mali nyingine za uma badala ya kufanya mikutano na ndiyo maana hatoi vibali hivyo.
Hii maana yake ni kwamba tukiendelea kumchekea chekea kesho ataamka na kubwa zaidi la kuiangamiza nchi yetu pendwa.
Kama CCM mmebadilika kuwa matahira pisheni wenye uwezo wa kuongoza waongoze nchi yetu pendwa.
Lengo la chama chohote ni kuingia ikuluWapinzani wa hapa bongo hawajielewi na hawaeleweki. Nimekuja kugundua Wao lengo lao hasa ni kupata mchongo na wao waingie Ikulu waitafune injii ๐
Mara kikwete anachekacheka wanataka rais dikteta akaja Magu wakaanza kuomboleza ๐คฃ๐คฃ
Mara Lowassa fisadi hafai kabisa kwenye injii hii maraa heee ndio mgombea wao wa urais wakaanza kumtakasa loh . Hawasomeki kabisaa. Na walivyo na njaa hivi wakikamata nchi itakuaje ๐คฃ
Tumeshtukaaa
Lile kichaa lenu mbona lilikuwa linaongea pumba tupu na mitusi juu,sijui lilikuwa linavuta bange lile shetani maluuniKatika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.
Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutano๐๐๐
Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?
Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!!๐๐๐
Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za umma๐๐๐
Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?
Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.
View attachment 2045187
Mkuu mimi si shabiki wa huyu mama lakini ukweli lazima usemwe.
Umemlisha maneno.
Hakuna mahali amesema yeye kama raisi anatoa vibali vya mikutano.
Mkosoe kwa makosa yake si mambo ya kuzusha.
Kwaiyo Bora dikteta magufuliHatoshi
Hatuwezi kumpa muda zaidi Rais ambae anavunja sheria za nchi yetu pendwa kila kukicha.
Leo anatamba mbele ya uma kuwa ni mtoa vibali vya mikutano ya vyama vya siasa. Pia anadanganya uma kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhari vinaenda kuvunja vunja magari pamoja na mali nyingine za uma badala ya kufanya mikutano na ndiyo maana hatoi vibali hivyo.
Hii maana yake ni kwamba tukiendelea kumchekea chekea kesho ataamka na kubwa zaidi la kuiangamiza nchi yetu pendwa.
Kama CCM mmebadilika kuwa matahira pisheni wenye uwezo wa kuongoza waongoze nchi yetu pendwa.
Msikilize hapo mwanzo.Anasema "anaeongoza nchi"Nadhani hujamsikiliza uzuri Mhe. Rais mama yetu. Hakuna sehemu amesema Rais akitoa kibari. Tusimlishe maneno. Kauli nayo isikia hapo katika clip uloweka kasema "Unatoa kibari kafanyeni Mikutano..." Turudi darasani neno Unatoa... ni nafsi ya ngapi? Inawakilisha nini? Angetumia neno..."ninatoa kibari"....hapo sawa ni nafsi ya kwanza.
Hivyo Rais ametumia neno "Unatoa kibari..." kama nafsi ya pili, ambayo inawakilisha mtoa kibari!
Sikiliza kwa umakini, utaelewa.
Nikisikiliza hotuba zake nataman tuanzishe chuo cha urais, ok hata Kama wanavunja magari sheria si zipo wakamatwe washtakiwe lakini kupoka haki za msingi kwa hoja mfu Kama hizo hapo ndo anasababisha tudai katiba mpya kwa nguvuKatika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.
Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutano[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?
Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!![emoji23][emoji23][emoji23]
Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za umma[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?
Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.
View attachment 2045187
Lile chizi lenu ndio lilidataAmeanza kudata ...
Huyu hayupo vizuri ..sio bureKatika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.
Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutano๐๐๐
Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?
Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!!๐๐๐
Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za umma๐๐๐
Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?
Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.View attachment 2045213
Mpuuz wewe, mjinga Kama wewe ni wakuzimwa milele
Ufirisike una Nini wewe..upo na makalio tu๐ฎ๐ฎ๐ฎChadema mwaka 2010 walinifirisi,nilikuwa na biashara yangu pale Arusha kipindi docta slaa na mke wake wanaleta vurugu biashara yangu ilivurugwa Sana na kikawa chanzo Cha Mimi kufirisika.
Naunga hoja ya rais,ashikilie hapo hapo! Pamoja Sana mama,here we go.
Chadema hawafai