Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Mods futeni hizi nyuzi za kijinga ,ambazo zinaandikwa na walevi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msikilize hapo mwanzo.Anasema "anaeongoza nchi"Mkuu mimi si shabiki wa huyu mama lakini ukweli lazima usemwe.
Umemlisha maneno.
Hakuna mahali amesema yeye kama raisi anatoa vibali vya mikutano.
Mkosoe kwa makosa yake si mambo ya kuzusha.
Kwani kawasingizia ? Kasema kweli tupu. Mnataka muanze kumpelekesha Kama ilivyokua kwa kikwete ?Hatuwezi kumpa muda zaidi Rais ambae anavunja sheria za nchi yetu pendwa kila kukicha.
Leo anatamba mbele ya uma kuwa ni mtoa vibali vya mikutano ya vyama vya siasa. Pia anadanganya uma kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhari vinaenda kuvunja vunja magari pamoja na mali nyingine za uma badala ya kufanya mikutano na ndiyo maana hatoi vibali hivyo.
Hii maana yake ni kwamba tukiendelea kumchekea chekea kesho ataamka na kubwa zaidi la kuiangamiza nchi yetu pendwa.
Kama CCM mmebadilika kuwa matahira pisheni wenye uwezo wa kuongoza waongoze nchi yetu pendwa.
Nadhani hujamsikiliza uzuri Mhe. Rais mama yetu. Hakuna sehemu amesema Rais akitoa kibari. Tusimlishe maneno. Kauli nayo isikia hapo katika clip uloweka kasema "Unatoa kibari kafanyeni Mikutano..." Turudi darasani neno Unatoa... ni nafsi ya ngapi? Inawakilisha nini? Angetumia neno..."ninatoa kibari"....hapo sawa ni nafsi ya kwanza.
Hivyo Rais ametumia neno "Unatoa kibari..." kama nafsi ya pili,
Shida kweli kweli hawafahamu kiswahili naoNadhani hujamsikiliza uzuri Mhe. Rais mama yetu. Hakuna sehemu amesema Rais akitoa kibari. Tusimlishe maneno. Kauli nayo isikia hapo katika clip uloweka kasema "Unatoa kibari kafanyeni Mikutano..." Turudi darasani neno Unatoa... ni nafsi ya ngapi? Inawakilisha nini? Angetumia neno..."ninatoa kibari"....hapo sawa ni nafsi ya kwanza.
Hivyo Rais ametumia neno "Unatoa kibari..." kama nafsi ya pili, ambayo inawakilisha mtoa kibari!
Sikiliza kwa umakini, utaelewa.
Nyie ndiyo mnaotafutwa na Mh. Polepole...atawadaka tu.Mashoger huwa wanaishia kupiga kelele kwenye key board tu
NDIYO YAMETOKEA.....TUMWACHIE MUNGUKatika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.
Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutano😂😂😂
Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?
Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!!😂😂😂
Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za umma😂😂😂
Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?
Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.View attachment 2045213
Msikilize hapo mwanzo.Anasema "anaeongoza nchi"Naunga mkono hoja
Bei ya gas ya kupikia,bei ya mafuta ya kupikia,bei ya sukari,bei ya bidhaa za ujenzi na kadhalika kupanda pia tumuachie Mungu?NDIYO YAMETOKEA.....TUMWACHIE MUNGU
Usimlishe maneno. Kuwa wa hovyo huyu hakuhalalishi jamaa lile kuwa boraKwaiyo Bora dikteta magufuli
Sasa ndio mvunjie watu magari na kufanya vurugu ...Lengo la chama chohote ni kuingia ikulu
🤣🤣🤣Hauna adabu