Inawezekana vipi Taifa linampata Rais kama huyu?

Inawezekana vipi Taifa linampata Rais kama huyu?

Mashoger huwa wanaishia kupiga kelele kwenye key board tu
Nakuonya tena, acha kupenda mambo ya ushoga, jua aliwazalo mtu ndilo humtokea, wew kila saa unawaza kuwa shoga aisee sijui unakwama wapi. Narudia tena, mwili ni wako wew ufanyie ujinga utajuta mwenyewe
 
Wapinzani wa hapa bongo hawajielewi na hawaeleweki. Nimekuja kugundua Wao lengo lao hasa ni kupata mchongo na wao waingie Ikulu waitafune injii [emoji2]

Mara kikwete anachekacheka wanataka rais dikteta akaja Magu wakaanza kuomboleza [emoji1787][emoji1787]

Mara Lowassa fisadi hafai kabisa kwenye injii hii maraa heee ndio mgombea wao wa urais wakaanza kumtakasa loh . Hawasomeki kabisaa. Na walivyo na njaa hivi wakikamata nchi itakuaje [emoji1787]

Tumeshtukaaa
Huna unachokijua wewe.
 
Nadhani hujamsikiliza uzuri Mhe. Rais mama yetu. Hakuna sehemu amesema Rais akitoa kibari. Tusimlishe maneno. Kauli nayo isikia hapo katika clip uloweka kasema "Unatoa kibari kafanyeni Mikutano..." Turudi darasani neno Unatoa... ni nafsi ya ngapi? Inawakilisha nini? Angetumia neno..."ninatoa kibari"....hapo sawa ni nafsi ya kwanza.
Hivyo Rais ametumia neno "Unatoa kibari..." kama nafsi ya pili, ambayo inawakilisha mtoa kibari!
Sikiliza kwa umakini, utaelewa.

Labda uko sahihi...

Hata hivyo ni sheria gani inataka anayetaka kufanya mkutano wa kisiàsa "apewe kibali...?"

Huyu mama hajui hata sheria zinazoongoza masuala mbalimbali ya nchi yake...

Unakwenda kuongea na umma lakini hujui taratibu za kisheria zinazoongoza unachokwenda kukizungumza, kwanini usipotoshe watu na umma kwa jumla...!

Sheria ya vyama vya siasa katika eneo la mikutano ya kisiasa ya vyama, haisemi chama kiombe kibali bali kitoe taarifa kwa mkuu wa polisi [OCD] wa eneo unakofanyikia huo mkutano ingalau masaa 48 kabla...

Na huyo OCD hatoi kibali bali atawajibika kupeleka polisi ili kutoa ulinzi kwenye mkutano huo au kama hana askari wa kutosha sheria inamtaka afanye mawili kati ya haya..;

1. Kuomba askari toka kwa kiongozi wa polisi wa eneo la kipolisi la jirani yake, AU

2. Wajadiliane na kukubaliana na chama husika ili wafanye mkutano wao siku au wakati mwingine kukiwa na ulinzi...

Wewe hii yako na huyo Rais wako ni sheria ya wapi...?

Let's be honest. Rais Samia Suluhu ana mapungufu makubwa kwenye ufahamu wa kiuongozi ktk nchi. Afadhali ya Magufuli. Huyu mama kazidi. Nadhani uongozi wa nchi kwake ni mzigo asiouweza...!
 
Mkuu mimi si shabiki wa huyu mama lakini ukweli lazima usemwe.
Umemlisha maneno.
Hakuna mahali amesema yeye kama raisi anatoa vibali vya mikutano.

Mkosoe kwa makosa yake si mambo ya kuzusha.
Mtoa hoja ni bingwa wa UZUSHI....

Anapenda kuhanikiza SIASA za maandamano na taharuki juu ya nchi......bahati mbaya kwake SIASA HIZO ZIMESHINDWA.....ZIMESHINDIKANA HAPA NCHINI.....WAMEFELI KWA HAYO........
 
Katika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.

Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutano[emoji23][emoji23][emoji23]

Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?Hata kama ni kweli kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhara vinafanya fujo na kuharibu mali za uma,sheria za kuwadhibiti si zipo?

Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!![emoji23][emoji23][emoji23]

Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za umma[emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?

Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.View attachment 2045213
Wait...there is more...
There are things your ears haven't heard yet in this regime.
 
Katika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.

Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutano[emoji23][emoji23][emoji23]

Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?Hata kama ni kweli kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhara vinafanya fujo na kuharibu mali za uma,sheria za kuwadhibiti si zipo?

Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!![emoji23][emoji23][emoji23]

Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za umma[emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?

Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.View attachment 2045213
Uwezo wa ke nikuongoza Mwl wake tu
 
Katika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.

Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutano😂😂😂

Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?Hata kama ni kweli kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhara vinafanya fujo na kuharibu mali za uma,sheria za kuwadhibiti si zipo?

Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!!😂😂😂

Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za umma😂😂😂

Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?

Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.View attachment 2045213
Wewe
Katika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.

Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutano😂😂😂

Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?Hata kama ni kweli kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhara vinafanya fujo na kuharibu mali za uma,sheria za kuwadhibiti si zipo?

Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!!😂😂😂

Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za umma😂😂😂

Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?

Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.View attachment 2045213
Huyu anafanya uungwana hata kuongea nao na akawasikiliza. Hayati JPM huo muda aliutoa siku moja tu pale Mwanza baada ya kumaliza hotuba yake.

Huyu hana mkono wa chuma, dialogue ndio inayopewa kipaumbele, maridhiano ndio yanayopewa kipaumbele.
 
Mkuu mimi si shabiki wa huyu mama lakini ukweli lazima usemwe.
Umemlisha maneno.
Hakuna mahali amesema yeye kama raisi anatoa vibali vya mikutano.

Mkosoe kwa makosa yake si mambo ya kuzusha.
Anajenga mazingira ya wachangiaji kujiona wapo huru kumshambulia. Ni mbinu za kiuandishi za kumtafutia ubaya Mama wa watu mbele ya jamii pana ya wasomaji na wachangiaji.
 
Labda uko sahihi...

Hata hivyo ni sheria gani inataka anayetaka kufanya mkutano wa kisiàsa "apewe kibali...?"

Huyu mama hajui hata sheria zinazoongoza masuala mbalimbali ya nchi yake...

Unakwenda kuongea na umma lakini hujui taratibu za kisheria zinazoongoza unachokwenda kukizungumza, kwanini usipotoshe watu na umma kwa jumla...!

Sheria ya vyama vya siasa katika eneo la mikutano ya kisiasa ya vyama, haisemi chama kiombe kibali bali kitoe taarifa kwa mkuu wa polisi eneo unakofanyikia mkutano ingalau masaa 48 kabla...

Wewe hii yako na huyo Rais wako umeitoa wapi...?
Ukumbuke rais kaongelea ufanyikaji wa vurugu hapo. Kama unahatarisha amani ya nchi utazuiwa tu
 
Mh. Rais wetu Samia hana shida tatizo ni Sisi kujaribu kumpima kwa kumlinganisha na Hayati Magufuli.Isitoshe ni muda mfupi sana kusema kitu kwani pia ni nafasi aliyoshtukiziwa sana, tuwe na subira angalau baada ya miaka miwili tunaweza kuongea kitu. TUMPE MUDA SAMIA SULUHU HASSAN, MHE. RAIS WA JMT
I beg to differ, Magufuli alivyofungua bunge alitoa mustakabali wa uongozi wake kuwa ni kunyoosha nchi na kutumbua majibu.

Kikwete alitoa mustakabali wake maisha bora kwa kila mtanzania.

Mkapa ukweli na uwazi na kuondoa umaskini.

Mwinyi alitoa ruksa ya watu binafsi kuingia ktk biashara.

Nyerere, alipambana na maradhi, magonjwa na umasikini. Tena msisitizo akauweka ktk kuondoa umasikini.

Tukiangalia kipaumbele cha SSH bado hatujaelewa ni nini? Je ni demokrasia kama wengi wanavyosema? Hasha, kauli ya ya leo inapingana.

Je anataka freedom of speech? Vitendo dhidi ya Polepole vinatia mashaka.

Hivyo lay man kaka mimi.naweza sema bado sijajua uelekeo hasa. Labda tuendelee kusubiri.
 
Katika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.

Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutano[emoji23][emoji23][emoji23]

Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?Hata kama ni kweli kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhara vinafanya fujo na kuharibu mali za uma,sheria za kuwadhibiti si zipo?

Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!![emoji23][emoji23][emoji23]

Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za umma[emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?

Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.View attachment 2045213
Maza ni dikteta

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Wewe

Huyu anafanya uungwana hata kuongea nao na akawasikiliza. Hayati JPM huo muda aliutoa siku moja tu pale Mwanza baada ya kumaliza hotuba yake.

Huyu hana mkono wa chuma, dialogue ndio inayopewa kipaumbele, maridhiano ndio yanayopewa kipaumbele.
Hawana dogo hao Wala shukrani Kila kitu kwao ni kupinga na kuleta vurumai.
 
Back
Top Bottom