Inawezekana vipi Taifa linampata Rais kama huyu?

Inawezekana vipi Taifa linampata Rais kama huyu?

Samia awe na msimamo. Asiruhusu mikutano ya vyama vya siasa majukwaani maana vyama vingine vimo kazini kwa kutumiwa kuvunja umoja na amani ya watanzania. Vyama vyote ikwemo chama tawala viendeshe siasa za majukwaani kipindi cha kampeni za uchaguzi tu. Chama tawala na serikali yake vipewe muda kutekeleza ahadi zake bila vurugu. Ufanyaji siasa baada ya uchaguzi uhamie bungeni na kwenye mabaraza ya serikali za mitaa.
Siku hizi zipo aina za mawasiliano chungu nzima chama kuendesha shughuli zake za kisiasa bila ya lazima kuitisha mikutano ya hadhara. Mikutano ya hadhara au maandamano vinahusika kukwaza shughuli za kazi hasa mijini. Vinaweza ingiliana na usafiri na kukwaza watu hawahusiki na shughuli za chama husika.
Samia hana mamlaka ya kuruhusu au kukataza mikutano ya vyama vya siasa.Mikutano kwa vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa katiba yetu na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Samia.
 
Mkuu wa nchi ambae ameingizwa madarakani na mapolisi hafai kuheshimiwa.Anapaswa atukanwe sana.

Rais wa nchi ambae ameingizwa madarakani na mapolisi ni Rais wa aibu,hapaswi kuheshimiwa hata kidogo.

Rais ambae hana kibali cha wananchi ni Rais Kokoro,anapaswa kupuuzwa kila wakati na kila mtu.
View attachment 2045816View attachment 2045818View attachment 2045821
Raia Kama wewe anayemkashifu, kumtukana na kumdhihaki Rais was nchi hapaswi kuheshimiwa na kwa kweli anapaswa kushughulikiwa na vyombo vya dola vya nchi yetu kwa mujibu wa taratibu zilizopo....
 
Raia Kama wewe anayemkashifu, kumtukana na kumdhihaki Rais was nchi hapaswi kuheshimiwa na kwa kweli anapaswa kushughulikiwa na vyombo vya dola vya nchi yetu kwa mujibu wa taratibu zilizopo....
Rais yupi?Kwani Tanzania ina Rais?Umechanganyikiwa?Rais aliewekwa madarakani na mapolisi ndiye unamwita kuwa ni Rais wa nchi?
 
Kwani uongo ? Wapinzani wa Tanzania Wana vurugu hatari na matusi Yaani dizaini ya mdude nyangali . Jazba kibao hawana ustaarabu.

Alafu mbona kaongea kawaida tu kuelezea hali inavyokuwa 🤣 . Yaani ulivyoongea kwa jazba sipati picha ndio upo barabarani kwenye maandamano yenu yale si utatuvunjia magari wewe ? 😃

Mimi Sina chama.
Shahahahahahahahahaha yaani nimecheka sana kidogo nipaliwe..

Nahisi huyu mama akipelekwa vzr hana tabu sana sema wapinzani hawajamjulia! Yaani anahitaji timing Fulani hata jana CHADEMA ilibidi tu wawepo ili wapate kumleta taratibu sema tatizo siasa za jazba ndo zinawakost
 
We chama unacho bhana,mahabba hayajawahi kujificha
Kwani uongo ? Wapinzani wa Tanzania Wana vurugu hatari na matusi Yaani dizaini ya mdude nyangali . Jazba kibao hawana ustaarabu.

Alafu mbona kaongea kawaida tu kuelezea hali inavyokuwa [emoji1787] . Yaani ulivyoongea kwa jazba sipati picha ndio upo barabarani kwenye maandamano yenu yale si utatuvunjia magari wewe ? [emoji2]

Mimi Sina chama.
 
Hv ww mtaalamu feki wa kiswahili "kibari"ndyo nn???,
Nadhani hujamsikiliza uzuri Mhe. Rais mama yetu. Hakuna sehemu amesema Rais akitoa kibari. Tusimlishe maneno. Kauli nayo isikia hapo katika clip uloweka kasema "Unatoa kibari kafanyeni Mikutano..." Turudi darasani neno Unatoa... ni nafsi ya ngapi? Inawakilisha nini? Angetumia neno..."ninatoa kibari"....hapo sawa ni nafsi ya kwanza.
Hivyo Rais ametumia neno "Unatoa kibari..." kama nafsi ya pili, ambayo inawakilisha mtoa kibari!
Sikiliza kwa umakini, utaelewa.
 
Wanafunga gazeti lako, wanavunja ukumbi wako, wanafunga account zako, wanakuvunja mguu wako, wanakunyang'anya ubunge wako, wakishamaliza wanakupa kesi ya Ugaidi halafu wanataka uwaombe msamaha. Wajue mbinguni hawataenda kwa vyeo vyao bali matendo waliyoyafanya walipokuwa na vyeo
Magu lazima Yuko motoni
 
Labda uko sahihi...

Hata hivyo ni sheria gani inataka anayetaka kufanya mkutano wa kisiàsa "apewe kibali...?"

Huyu mama hajui hata sheria zinazoongoza masuala mbalimbali ya nchi yake...

Unakwenda kuongea na umma lakini hujui taratibu za kisheria zinazoongoza unachokwenda kukizungumza, kwanini usipotoshe watu na umma kwa jumla...!

Sheria ya vyama vya siasa katika eneo la mikutano ya kisiasa ya vyama, haisemi chama kiombe kibali bali kitoe taarifa kwa mkuu wa polisi [OCD] wa eneo unakofanyikia huo mkutano ingalau masaa 48 kabla...

Na huyo OCD hatoi kibali bali atawajibika kupeleka polisi ili kutoa ulinzi kwenye mkutano huo au kama hana askari wa kutosha sheria inamtaka afanye mawili kati ya haya..;

1. Kuomba askari toka kwa kiongozi wa polisi wa eneo la kipolisi la jirani yake, AU

2. Wajadiliane na kukubaliana na chama husika ili wafanye mkutano wao siku au wakati mwingine kukiwa na ulinzi...

Wewe hii yako na huyo Rais wako ni sheria ya wapi...?

Let's be honest. Rais Samia Suluhu ana mapungufu makubwa kwenye ufahamu wa kiuongozi ktk nchi. Afadhali ya Magufuli. Huyu mama kazidi. Nadhani uongozi wa nchi kwake ni mzigo asiouweza...!
Ndugu yangu sheria uwa haisomwi moja ukang'ang'ana na hiyo hiyo. Soma walau Sheria za jeshi la Polisi, elewa wajibu wajeshi hilo. Soma katiba ya nchi. Na sheria zingine za usalama wa nchi. Ndipo utaelewa taratibu jeshi la polisi kuwa na mamlaka hayo unayosema.
Hv ww mtaalamu feki wa kiswahili "kibari"ndyo nn???,
Uelewe kuna typing error! Maake hata weye hizo abbreviation ulizotumia si halali katika kiswahili. Hilo tu ndo umeona! Ha ha ha! Ok sema jingine.
 
Au huwa unaandika bila kusoma????
Ndugu yangu sheria uwa haisomwi moja ukang'ang'ana na hiyo hiyo. Soma walau Sheria za jeshi la Polisi, elewa wajibu wajeshi hilo. Soma katiba ya nchi. Na sheria zingine za usalama wa nchi. Ndipo utaelewa taratibu jeshi la polisi kuwa na mamlaka hayo unayosema.

Uelewe kuna typing error! Maake hata weye hizo abbreviation ulizotumia si halali katika kiswahili. Hilo tu ndo umeona! Ha ha ha! Ok sema jingine.
 
Katika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.

Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutano😂😂😂

Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?Hata kama ni kweli kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhara vinafanya fujo na kuharibu mali za uma,sheria za kuwadhibiti si zipo?

Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!!😂😂😂

Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za umma😂😂😂

Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?

Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.View attachment 2045213View attachment 2045284
Onyesheni ukomavu wa kisiasa, ustaarabu. Mikutano ni haki yenu. Hayo ni maneno ya msingi yaliyobeba maudhui ktk hotuba ya Rais. #Political maturity, haki na wajibu (Ustaarabu wa kutumia na kutii sheria na taratibu). Litarature hiyo ukisikiliza au kusoma lazima utulize kichwa.

Hayo yako mengine ndiyo uthibitisho wa kukosa ustaarabu kwenyewe.
 
Au huwa unaandika bila kusoma????
Tambua kuwa kiswahili kina rahaja karibu 8. Na zote uongewa Tanzania hii,Kenya , Uganda, na hata Congo. Sidhani nikosa kubwa kiasi hicho ulivalie njuga.

Pia katika lugha yoyote ulimwenguni kuna kitu kinaitwa common mistakes. Kuna makosa ya kawaida ktk uongeaji au uandishi wa lugha yoyote. Makosa hayo hayapotoshi maana, ila yaweza tokana na mazoea au rahaja kutoka maeneo tofauti.

Pia katika uandishi wa kiswahili hatuna alama za kuuliza zaidi ya moja unapoandika kiswahili. Hivyo ulichoandika hapo na kuweka alama ya kuuliza zaidi ya moja ni kosa kiuandishi. Au unazipenda hizo alama?
Nimecheka sana alama za kuuliza....kuwa zaidi ya moja. Language error.
 
Onyesheni ukomavu wa kisiasa, ustaarabu. Mikutano ni haki yenu. Hayo ni maneno ya msingi yaliyobeba maudhui ktk hotuba ya Rais. #Political maturity, haki na wajibu (Ustaarabu wa kutumia na kutii sheria na taratibu). Litarature hiyo ukisikiliza au kusoma lazima utulize kichwa.

Hayo yako mengine ndiyo uthibitisho wa kukosa ustaarabu kwenyewe.
Thank you. Umenena vyema Sana. Asipokuelewa hapa basi tena, atakua na hamu ya virungu na mabomu ya machozi.
 
Ww hakuna kitu kinachoutwa rahaja ktk kiswahili we nguchiro
Tambua kuwa kiswahili kina rahaja karibu 8. Na zote uongewa Tanzania hii,Kenya , Uganda, na hata Congo. Sidhani nikosa kubwa kiasi hicho ulivalie njuga.

Pia katika lugha yoyote ulimwenguni kuna kitu kinaitwa common mistakes. Kuna makosa ya kawaida ktk uongeaji au uandishi wa lugha yoyote. Makosa hayo hayapotoshi maana, ila yaweza tokana na mazoea au rahaja kutoka maeneo tofauti.

Pia katika uandishi wa kiswahili hatuna alama za kuuliza zaidi ya moja unapoandika kiswahili. Hivyo ulichoandika hapo na kuweka alama ya kuuliza zaidi ya moja ni kosa kiuandishi. Au unazipenda hizo alama?
Nimecheka sana alama za kuuliza....kuwa zaidi ya moja. Language error.
 
Ndugu yangu sheria uwa haisomwi moja ukang'ang'ana na hiyo hiyo. Soma walau Sheria za jeshi la Polisi, elewa wajibu wajeshi hilo. Soma katiba ya nchi. Na sheria zingine za usalama wa nchi. Ndipo utaelewa taratibu jeshi la polisi kuwa na mamlaka hayo unayosema.

Wilderness Voice sheria ya vyama vya siasa iko very clear ndugu kama nilivyofafanua kwenye hoja uliyoikwoti kwa jibu lako hili

Sheria hiyo imeeleza jukumu la polisi kwa uwazi. Sheria ya Jeshi la Polisi iko considered...

Kama Polisi wanafanya vinginevyo, wanapingana na sheria na ndiyo maana kuna mgogoro huu unaoendelea sasa kati ya Polisi vs vyama vya siasa hasa vya upinzàni vs Political Parties Registrar

In reality, ktk situation hii, tatizo wala hata siyo sheria tena. Tatizo ni UBABE WA DOLA kukibeba chama kinachoongoza serikali yaani CCM ili kising'olewe..

Swali nini hili, unadhani kwa kutupa na kukanyaga sheria, katiba na HAKI za kisheria na kikatiba za watu kutaendelea hadi lini na waovu hawa wakaendelea kuwa salama...??
Uelewe kuna typing error! Maake hata weye hizo abbreviation ulizotumia si halali katika kiswahili. Hilo tu ndo umeona! Ha ha ha! Ok sema jingine.
 
Kibibi cha kiarabu hata sijuhi CCM wamekiokota wapi, kinapuyanga tu .
Nchi ya Nyerere imepatikana

Raha ya kuvamia nchi Za watu, Mumelikoroga sasa mtalinywa

Msikilize babu yenu Laanatullahi Nyerere Na maneno yake
 

Attachments

  • VID-20211216-WA0019.mp4
    16.2 MB
Nadhani hujamsikiliza uzuri Mhe. Rais mama yetu. Hakuna sehemu amesema Rais akitoa kibari. Tusimlishe maneno. Kauli nayo isikia hapo katika clip uloweka kasema "Unatoa kibari kafanyeni Mikutano..." Turudi darasani neno Unatoa... ni nafsi ya ngapi? Inawakilisha nini? Angetumia neno..."ninatoa kibari"....hapo sawa ni nafsi ya kwanza.
Hivyo Rais ametumia neno "Unatoa kibari..." kama nafsi ya pili, ambayo inawakilisha mtoa kibari!
Sikiliza kwa umakini, utaelewa.
Kibari #### kibali.
 
Raha ya kuvamia nchi Za watu, Mumelikoroga sasa mtalinywa

Msikilize babu yenu Laanatullahi Nyerere Na maneno yake
Kumwita Nyerere laanatullah nakataa, na ukome kabisa kabisa.

Kibibi cha kiarabu ndio Laanatullah.

Nyerere alikua mtu sana, na alipenda Afrika iwe moja. Kama kuna alipokesea ni ubinadamu wakawaida,
Hizi zilizo baki huko CCM ndio MAHAYAWANI .
 
Back
Top Bottom