Inawezekana vipi Taifa linampata Rais kama huyu?

Inawezekana vipi Taifa linampata Rais kama huyu?

Wilderness Voice sheria ya vyama vya siasa iko very clear ndugu kama nilivyofafanua kwenye hoja uliyoikwoti kwa jibu lako hili

Sheria hiyo imeeleza jukumu la polisi kwa uwazi. Sheria ya Jeshi la Polisi iko considered...

Kama Polisi wanafanya vinginevyo, wanapingana na sheria na ndiyo maana kuna mgogoro huu unaoendelea sasa kati ya Polisi vs vyama vya siasa hasa vya upinzàni vs Political Parties Registrar

In reality, ktk situation hii, tatizo wala hata siyo sheria tena. Tatizo ni UBABE WA DOLA kukibeba chama kinachoongoza serikali yaani CCM ili kising'olewe..

Swali nini hili, unadhani kwa kutupa na kukanyaga sheria, katiba na HAKI za kisheria na kikatiba za watu kutaendelea hadi lini na waovu hawa wakaendelea kuwa salama...??
Nikuombe kama unania dhahiri za kujifunza na kuielewa nchi yako hasa ktk maswala ya usalama. Nenda kwa mwanasheria ambaye hana ushabiki wa chama.Atakufafanulia sheria za usalama. Atakueleza unaposoma sheria, kuna kanuni zake na miongozo. Usishikirie kitu kimoja na kung'ang'ania.

Pia mtafute mtu mwenye uzoefu serikalini, ambae anajua utendaji kazi na taratibu za maswala ya usalama. Fika ofisi za Mkuu wa Mkoa, au kwa DC au ofisi za usalama. Wambie unahitaji kufahamu abc za maswala ya usalama hasa linapokuja suala la vyama vingi na mikutano.
Kuna vitu vingine havihitaji kubishana. Ni kufanyia utafiti ili kujua kipi ni kipi. Shida Tanzania tunapenda kubishana mtandaoni lkn tafiti hatutaki fanya.
Kubishana hapa haita tusaidia. Kila mtu atajifanya anajua. Ha ha ha!
 
Katika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.

Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutano[emoji23][emoji23][emoji23]

Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?Hata kama ni kweli kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhara vinafanya fujo na kuharibu mali za uma,sheria za kuwadhibiti si zipo?

Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!![emoji23][emoji23][emoji23]

Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za umma[emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?

Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.View attachment 2045213View attachment 2045284
Ni michongo tu

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kana sheria za Tanzania zinaruhusu mikutano bas mkafanye iyo mikutano sasa unaongea pumba gan apa

Au aujui nn unaongea mnajifanya wababe mmevulugwa wakat mlikaa zaid ya 6 miaka bira mikutano ya hazala
 
Utawala wa huyu Mzanzibar utasababisha hata ccm wenyewe waone umuhimu wa katiba mpya. Wasipofanya hivyo Zanzibar wana njia rahisi sana ya kutawala Tanzania. Wataacha Mtanganyika ashinde uchaguzi then akifa wao wanamalizia awamu
jinga wewe. kama hutaki jamhuri ya muungano nenda burundi.
 
Katika kipande kifupi cha video hapo chini Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika Mkutano na wadau wa Demokrasia hivi leo ametoa hotuba inayoshangaza sana.

Anasema kuwa Rais akitoa kibali cha mikutano ya hadhara, Chadema wanaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za uma ndiyo maana hatoi vibali vya Mikutano[emoji23][emoji23][emoji23]

Nimejiuliza maswali mengi sana.Tokea lini Rais akawa na haki au wajibu wa kutoa vibali vya Mikutano kwa vyama vya siasa?Hata kama ni kweli kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya mikutano ya hadhara vinafanya fujo na kuharibu mali za uma,sheria za kuwadhibiti si zipo?

Mikutano ya vyama vya siasa ipo kwa mujibu wa Katiba na sheria zetu na wala siyo kwa mujibu wa Rais.Sasa leo Rais anadai kuwa yeye ndiye mtoa vibali.WTF!!![emoji23][emoji23][emoji23]

Ameenda mbali zaidi na kudai kuwa vyama vya siasa vikipewa vibali vya Mikutano vinaenda kuvunja vunja Magari pamoja na mali nyingine za umma[emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna mtu yeyote hapa ambae ana ushahidi wa Chadema au chama chochote cha upinzani kuharibu mali za uma katika mikutano yake ya kisiasa kama anavyodai Rais?

Haya mambo yamenishangaza sana.Ni maajabu makubwa kwangu mimi.Yanafikirisha pia, lakini cha zaidi ni kwamba yanachekesha sana.View attachment 2045213View attachment 2045284
Huko CCM huwa hakuna mwenye akili,wote ni Ntabani tu .Wakitoka madarakani ndo akili huwarudia kama maji kijijini kwa akina Kirikouu.Pinda Sasa anafuata nyayo za Mkapa akidai katiba mpya.Yeye Pinda anadai time huru ya Uchaguzi.
 
Jamaa wanosimama nyuma yake wanamrisha ugoro bi mkubwa. Maskini anajua yeye ndio mtoa vibali, Dah.
 
Back
Top Bottom