Inawezekanaje mtumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa kujihusisha na ufisadi?

Ni binadamu ana matamanio kama binadamu mwingine!
 
ACHA KELELE WEW CCM KUKUJENGEA BARA BARA , HOSPITAL ,SGR, BOMBA LA MAFUTA, MADARASA , ELIMU KIMARIKA MAJI UMEME, NK NDIO UFISADI
 
ACHA KELELE WEW CCM KUKUJENGEA BARA BARA , HOSPITAL ,SGR, BOMBA LA MAFUTA, MADARASA , ELIMU KIMARIKA MAJI UMEME, NK NDIO UFISADI
CCM haijawahi kufanya hayo mambo mbuzi wewe. Kodi za wananchi ndio zinafanya hizo kazi nyambaff
 
Huo usalama wengi ni watu wao.

Yule mwendazake alikuwa na mwanaye anazunguka na mfuko wa hela utakuta naye ni wa kitengo.

Mtaani pia wapo wahuni wanaojiita usalama na ndo hao mafisadi
 
Mtoa mada una viashiria vyote vya kuwa kada wa Chama Cha Masela au chawa mwandamizi wa Bi'mkubwa.
#Enewei wasalimie mitaa ya Lumumba.
 
ACHA KELELE WEW CCM KUKUJENGEA BARA BARA , HOSPITAL ,SGR, BOMBA LA MAFUTA, MADARASA , ELIMU KIMARIKA MAJI UMEME, NK NDIO UFISADI
Unachukua posho shingapi mkuu?😂
#Just joking
 

Aisee hao ni wazamani hawa wasasa ni wapigaj sana ebu angalia uko SGR wapo kibao lkn madudu na upigaj kama kawa
 
Aisee hao ni wazamani hawa wasasa ni wapigaj sana ebu angalia uko SGR wapo kibao lkn madudu na upigaj kama kawa
Achilia mbali mradi wa SGR nenda hata pale bandarini wamejazana kibao lakini ndiko kunaongoza Kwa upigaji wa kutisha na hapa ndipo napata walakini kuhusu hii idara yetu
 
Na weee ukipata upenyo pigaa

Usione huruma

Ova
 
Nafasi watu wanapeana peana unategemea nini..
Nchi imeoza kila mahali hii, kila mtu mwizi, kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.
 
 

Attachments

  • 5117362-148efa178040dfcd6b51b581965e1bf3.mp4
    25.4 MB
Uzalendo ilikua ni zamani siku hizi ni connection tu
 
Mkuu pole sana kama unaamini katika usalama wa taifa,wale watu wanapokea rushwa tena live,nina mifano mingi sana,japo na mimi ni mnufaika wa utoaji rushwa hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…