Inawezekanaje mtumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa kujihusisha na ufisadi?

Tusisahau kwamba WIZI ni TABIA kama tabia nyingine tu.Kwa hiyo haijalishi yupo idara gani au taasisi gani;kama ni mwizi ataendelea na wizi tu.
 
Umenifanya hadi nimepaliwa na maji kwa kucheka.
 
Inaonekana unawafahamu vizuri et
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…