Inawezekanaje nchi ndogo ya Denmark kuipa misaada nchi kuubwa Tanzania?

Gari halijiamulii mwelekeo na Kasi ya kukimbia. Ukiona gari linaenda kwa mwendokasi wowote Ule, ujue halijajiamulia. Sifa na lawama hazipaswi kuelekezwa kwa gari wala abiria.

Tanzania ni kama gari, wananchi ni abiria.

Nani alaumiwe au kupongezwa kwa sababu ya mwendokasi wa Tanzania?
 
Gari halijiamulii mwelekeo na Kasi ya kukimbia. Ukiona gari linaenda kwa mwendokasi wowote Ule, ujue halijajiamulia. Sifa na lawama hazipaswi kuelekezwa kwa gari wala abiria.

Tanzania ni kama gari, wananchi ni abiria.

Nani alaumiwe au kupongezwa kwa sababu ya mwendokasi wa Tanzania?
 
Umemaliza kila kitu hapa
Utajiri na rasilimali muhimu ni watu watu wenye akili ya kuchanganua mambo na kutatua changamoto zinazowazunguka
Mafanikio ya mtu yanaamuliwa na kiwango cha uwezo wake wa kuyatawala mazingira yake.
 
Hakukuwa na makosa yoyote maana nchi haikuwa tayari kuingia kwenye Ubepari
Kusema haikuwa tayari kuingia kwenye ubeparie, ni sawa na kusema haikuwa tayari kujitawala.

Kwani kabla ya hapo ilikuwa inatawaliwa na nani kama siyo Mbepari?

Ubepari usingekuwa mpya kwa Tanganyika, Ujamaa ndiyo uliyokuwa ngeni. Pengine, ndiyo maana sera ya ujamaa ilifeli pakubwa, ilikuwa ngeni Tanganyika.
 

Ukubwa wa bure tu
 
Tufanyeje ili na sisi tuwe kama wao?
 
Huku ukimfungulia tu mashtaka kiongozi mkubwa ambaye amekula rushwa kubwa kubwa kama makamba ,ridhiwani mwigulu ,nape utaambiwa unafanya siasa za visasi
 
Ni kweli. Nini kifanyike kubadili huo mwelekeo?
Sidhani kama hiyo Hali itawahi kubadilika kwa sababu hii tabia watoto Wana rithi kutoka kwa wazazi na wanakua wanajifunza kutoka kwa jamii inayo wazunguka, akiwa mtu mzima na yeye anarithisha wanae, ni circle ambayo Iko hivyo tuu, kwa kifupi tutabaki kua hivi hadi mwisho, haijalishi katiba itashuka kutoka mawinguni
 
Wao mipango Yao ya maendeleo inagusa wananchi sisi ni kwa ajili ya kuwafungashia viongozi.
Sijui ikulu mpya,sijui Dodoma,sijui Chato,Mara ma v8 Mara posho nk hivi havina manufaa na mwananchi.
 
Waafrika tulifanya kosa kubwa sana kudai Uhuru hauna msaada kwetu
 
Waafrika tulifanya kosa kubwa sana kudai Uhuru hauna msaada kwetu
Tulipewa uhuru tukiwa bado hatuko tayali kua huru, yani watu walitaka kua huru tuu basi sio zaidi ya hapo, ilibidi mkoloni angeendelea kutawala hadi mwaka 2000 angalau ange tuachia nchi iliyopiga hatua kubwa sana kimaendeleo
 
Wao mipango Yao ya maendeleo inagusa wananchi sisi ni kwa ajili ya kuwafungashia viongozi.
Sijui ikulu mpya,sijui Dodoma,sijui Chato,Mara ma v8 Mara posho nk hivi havina manufaa na mwananchi.
Hayo yote, na hata zaidi ya hayo, ni mazuri, lakini Tanzania haijafikia kipindi cha kufanya hayo. Tungeyafanya hayo "baadaye", tutakapokuwa tumeshatajirika!
 
Tafadhali mkuu, usimfananishe mtu mweusi na nyani, tafadhali!

Ni kweli ujinga bado upo, lakini unaweza kutokomezwa ikiadhimiwa.
Sawa mkuu sitamfananisha tena mtu mweusi na nyani.

Kama una maoni ya jinsi ujinga kwenye ubongo wa mtu mweusi unaweza kutokomezwa tukiadhimia naomba uyaandike hapa.
 
Hapana, mimi siamini itakuwa hivyo milele!

Mbona mambo yashaanza kubadilika, japo ni taratibu sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…