Inawezekanaje nchi ndogo ya Denmark kuipa misaada nchi kuubwa Tanzania?

Sifa ulizonimwagia ni mtego mkuu🤣.
Anyways nina akili za kutosha kuvukia barabara ila hazifikii za wazungu🤣.
Ningekua nina akili kama.za wazungu ningefanya jambo nchi yangu iwe kama Denmark.
Asante kwa pongezi lakini
Naamini hata sasa kuna unachokifanya kimya kimya kwa manufaa ya nchi. Kama ilivyo ada ya wenye akili, huwa hawapigi kelele wanapofanya mambo ya muhimu. Wao hukaa kimya huku kazi zao nzuri zikipaza sauti.

Hayo unayoyafanya yataisaidia nchi. Hata isipokuwa kama Denmark, itaifanya Tanzania kuwa bora zaidi ya ilivyo sasa.
 
šŸ‘šŸ‘šŸ‘šŸ‘šŸ‘
 
Hii ni mbaya zaidi!
 
Upo sahihi naunga mkono hoja
 
NASISITIZA
 
Utajiri mkubwa hapa Ulimwenguni ni akili, wala siyo idadi kubwa ya fisi na pundamilia, siyo dhahabu na gas, ardhi nzuri ya kilimo, maziwa, bahari au hali nzuri ya hewa.
Kwa hiyo wa kwetu hawana akili au!
Semq wa kwetu changamoto nyingi ila pia kushindwa kusimamia uchumi vyema na rushwa juu!
Halafu hatuna vipaumbele vya kudumu kama Taifa, kila anaekuja anakuja na malengo yake.
 
Akili ndo inamfanya MTU afanikiwe

Na mabadiliko huwa yanaletwa na watu wachache only few people brings changes to the masses.

Great thinkers Tz hawapewi nafasi ya Ku-shine na kutumika na mwisho wanakuwa watazamaji tu
 
Wadenish wachache waakili nyingi kuliko watanzania weeengi.

Inawezekana ugali una changamoto nyingi sana, maana huku kusini mwa jangwa la sahara tunakula sana ugali..
 
--short and clear hapo ulipo unawaza upate majumba makubwa na maghorofa ikibidi, ununue nyumba dubai, and alike, na hufikirii upate pesa uboreshe hata kipande kidogo cha barabara mtaani kwako!, ndivyo viongozi wa kiafrika walivyo!
 
Technology mkuu,kutumia akili vizuri,na ufisadi,angalia Benz ya kwanza karibu miaka 200 iliyopita, , angalia Benz Mpya toleo la kisasa,Angalia Mkwea Minazi Africa Miaka 200 iliyopita,na Mkwea Minazi mwaka 2024
 
Mkuu acha basi!
Mi roho inaniuma sana kutokana na maelezo yako yanayoanika ukweli.
Yananifanya nijute kuzaliwa katika jamii ya hovyo sana.
 
Kwa hiyo wa kwetu hawana akili au!
Semq wa kwetu changamoto nyingi ila pia kushindwa kusimamia uchumi vyema na rushwa juu!
Halafu hatuna vipaumbele vya kudumu kama Taifa, kila anaekuja anakuja na malengo yake.
Vyote hivyo vinahitaji akili.
 
Kosa kubwa alilofanya Muumba ni kuwaumba watu weusi ie waafrika
Duuh, .
Nadhani Wazungu ndio wanaompasua kichwa lakini sio waafrika.
Mana haya yanayoitwa maendeleo ya dunia ndiyo yanayoharakisha kuiangamiza dunia na watu waka.

Waafrika tumeingia tamaa kuiga mambo ya kizungu na sasa tunaelekeza uharibifu mkubwa kwetu.
 
Shida sio kuwa na watu wengi au Wachache
Je mna watu wenye akili na wenye uwezo wa kuzitumia?
Una rasilimali but huna watu wenye akili?
Wao Wana watu wenye akili so they use all of their natural resources to make their life better
Sio sis mpaka Leo tunakomaa na kampeni ya "nyumba ni choo" are you serious?
Au ndio maskini Hana ustarabu
 
Tukiendelea na hiki kizazi Cha chawa wanaokula kwq kusigia badala ya kufanya kazi wallah vile tutapewa msaada mpaka na Burundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…