GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #421
Naamini hata sasa kuna unachokifanya kimya kimya kwa manufaa ya nchi. Kama ilivyo ada ya wenye akili, huwa hawapigi kelele wanapofanya mambo ya muhimu. Wao hukaa kimya huku kazi zao nzuri zikipaza sauti.Sifa ulizonimwagia ni mtego mkuuš¤£.
Anyways nina akili za kutosha kuvukia barabara ila hazifikii za wazunguš¤£.
Ningekua nina akili kama.za wazungu ningefanya jambo nchi yangu iwe kama Denmark.
Asante kwa pongezi lakini
šššššMagufuli alipotaka kuigeuza Tanzania iwe sawa na nchi za Ulaya mlimfanyaje? Mnataka maendeleo lakini hamtaki namna ya kuyafikia hayo maendeleo. Maendeleo ni malengo, nidhamu, kujitoa mhanga (self sacrifice), bidii ya kazi, uadilifu na kutambua vipaji na ubunifu na kuvitumia ipasavyo. Ulaya wameweza kuviunganisha hivyo vyote kufikia hapo walipo. Sisi hapa bado tunajitafta na akija mwenye mawazo kama hayo bado hatumwelewi. Tutachelewa sana.
Hii ni mbaya zaidi!Naked truth
Yaani itokee tuhamishwe waafrika tupelekwe ulaya na marekani halafu wazungu wake Africa, wakati wa kuhama hamna unachochukua zaidi ya nguo ulizovaa
Baada ya miaka mitano,ni sisi ambalo tutaomba viza na kulia ubarozini ili tukubaliwe kuingia tena Afrika
Upo sahihi naunga mkono hojaUkiwaweka hawa viongozi wa Tanzania Denmark au Korea na Viongozi wa Korea / Denmark kila kitu kitakuwa vice versa.
Uzuri wa wananchi wa nchi hizo hawatachukua muda mrefu viongozi wabovu wataondolewa madarakani na kuishia jela.
Kwa wenzetu kuna uwajibikaji, seriousness, wako serious na maisha.
Singapore na Korea kusini zina miaka mingapi?Nchi Ina miaka 60 ila mnataka maajabu ya kiuchumi?
NASISITIZAMagufuli alipotaka kuigeuza Tanzania iwe sawa na nchi za Ulaya mlimfanyaje? Mnataka maendeleo lakini hamtaki namna ya kuyafikia hayo maendeleo. Maendeleo ni malengo, nidhamu, kujitoa mhanga (self sacrifice), bidii ya kazi, uadilifu na kutambua vipaji na ubunifu na kuvitumia ipasavyo. Ulaya wameweza kuviunganisha hivyo vyote kufikia hapo walipo. Sisi hapa bado tunajitafta na akija mwenye mawazo kama hayo bado hatumwelewi. Tutachelewa sana.
Kwa hiyo wa kwetu hawana akili au!Utajiri mkubwa hapa Ulimwenguni ni akili, wala siyo idadi kubwa ya fisi na pundamilia, siyo dhahabu na gas, ardhi nzuri ya kilimo, maziwa, bahari au hali nzuri ya hewa.
Na hata peponi hatufai kuingia tutahatibu mambo tuu.Kosa kubwa alilofanya Muumba ni kuwaumba watu weusi ie waafrika
Nani anayeupika huo ujinga?Hapana mkuu, naamini MUNGU hakukosea kumuumba mtu mweusi, tatizo kubwa lililopo kwa weusi japo si wote, ni tabia ya kulishana ujinga, nafikiri.
Ni rika moja moja na TanganyikaSingapore na Korea kusini zina miaka mingapi?
--short and clear hapo ulipo unawaza upate majumba makubwa na maghorofa ikibidi, ununue nyumba dubai, and alike, na hufikirii upate pesa uboreshe hata kipande kidogo cha barabara mtaani kwako!, ndivyo viongozi wa kiafrika walivyo!Denmark inatarajia kuufunga ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024. Ni kati ya nchi ambazo zimekuwa zikiipa Tanzania misaada, tokea ikiitwa Tanganyika hadi sasa ikiwa inajulikana kwa jina adhimu, Tanzania.
Lakini Denmark ni nchi ya namna gani?
Ukifanya ulinganisho, Tanzania imeizidi kwa mambo mengi isipokuwa ujinga na umaskini. Ina rasilimali nyingi sana kuizidi, na hata idadi ya watu tumeipita mbali sana.
Denmark, ni kanchi kadoogo, kenye ukubwa wa kilomita za mraba 42,920 lakini inaizidi kiuchumi Tanzania, nchi Kuubwa kieneo, yenye kilomita za mraba 945,087.
Denmark, ni kanchi kadoogo kenye watu milioni tano lakini inaipa misaada nchi kuubwa, Tanzania, yenye watu milioni sitini na moja.
Ni nini siri ya kanchi kadogo kuizidi nchi kubwa kama Tanzania? Imekuwa ikiisadia Tanzania tokea 1963, enzi hizo ikiitwa Tanganyika, lakini hakuna taarifa ya Tanzania ambayo ni nchi kubwa kuisaidia Denmark kanchi kadogo.
Imewezekanaje kwao lakini kwetu ikashindikana?
Mwingine anaweza kusema ni kwa sababu ya ukoloni, lakini hilo halina mashiko. Hata Korea Kusini ilishawahi kuwa koloni la Japan, lakini kwa sasa wanatukimbiza kiuchumi.
Ni nini walichogundua hao watu weupe ambao weusi wa Tanganyika na Zanzibar hawajagundua?
Angalia, hata eneo la Korea Kusini ni dogo sana ukililinganisha na ukubwa wa Tanzania. Ina kilomita za mraba 100,210 na watu milioni hamsini na moja.
Inawezekanaje kanchi kadoogo, Denmark, kuipa misaada nchi kuubwa, Tanzania?
Mkuu acha basi!Ukiwaweka hawa viongozi wa Tanzania Denmark au Korea na Viongozi wa Korea / Denmark kila kitu kitakuwa vice versa.
Uzuri wa wananchi wa nchi hizo hawatachukua muda mrefu viongozi wabovu wataondolewa madarakani na kuishia jela.
Kwa wenzetu kuna uwajibikaji, seriousness, wako serious na maisha.
Vyote hivyo vinahitaji akili.Kwa hiyo wa kwetu hawana akili au!
Semq wa kwetu changamoto nyingi ila pia kushindwa kusimamia uchumi vyema na rushwa juu!
Halafu hatuna vipaumbele vya kudumu kama Taifa, kila anaekuja anakuja na malengo yake.
Duuh, .Kosa kubwa alilofanya Muumba ni kuwaumba watu weusi ie waafrika
Tukiendelea na hiki kizazi Cha chawa wanaokula kwq kusigia badala ya kufanya kazi wallah vile tutapewa msaada mpaka na Burundi.Denmark inatarajia kuufunga ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo 2024. Ni kati ya nchi ambazo zimekuwa zikiipa Tanzania misaada, tokea ikiitwa Tanganyika hadi sasa ikiwa inajulikana kwa jina adhimu, Tanzania.
Lakini Denmark ni nchi ya namna gani?
Ukifanya ulinganisho, Tanzania imeizidi kwa mambo mengi isipokuwa ujinga na umaskini. Ina rasilimali nyingi sana kuizidi, na hata idadi ya watu tumeipita mbali sana.
Denmark, ni kanchi kadoogo, kenye ukubwa wa kilomita za mraba 42,920 lakini inaizidi kiuchumi Tanzania, nchi Kuubwa kieneo, yenye kilomita za mraba 945,087.
Denmark, ni kanchi kadoogo kenye watu milioni tano lakini inaipa misaada nchi kuubwa, Tanzania, yenye watu milioni sitini na moja.
Ni nini siri ya kanchi kadogo kuizidi nchi kubwa kama Tanzania? Imekuwa ikiisadia Tanzania tokea 1963, enzi hizo ikiitwa Tanganyika, lakini hakuna taarifa ya Tanzania ambayo ni nchi kubwa kuisaidia Denmark kanchi kadogo.
Imewezekanaje kwao lakini kwetu ikashindikana?
Mwingine anaweza kusema ni kwa sababu ya ukoloni, lakini hilo halina mashiko. Hata Korea Kusini ilishawahi kuwa koloni la Japan, lakini kwa sasa wanatukimbiza kiuchumi.
Ni nini walichogundua hao watu weupe ambao weusi wa Tanganyika na Zanzibar hawajagundua?
Angalia, hata eneo la Korea Kusini ni dogo sana ukililinganisha na ukubwa wa Tanzania. Ina kilomita za mraba 100,210 na watu milioni hamsini na moja.
Inawezekanaje kanchi kadoogo, Denmark, kuipa misaada nchi kuubwa, Tanzania?