India: Wanafunzi washambuliwa wakiwa katika sala

India: Wanafunzi washambuliwa wakiwa katika sala

Mfano hai huo wapo kwenye video ya maandamano ya pemba
Halafu wewe jamaa una utindi wa ubongo.
UNATAKA KUNAMBIA PEMBA NZIMA HAINA MAKANISA??
UNATAKA KUSEMA HAKUNA KANISA LILILOJENGWA PEMBA??
YANI UNAPIGIA MFANO WA WETE TU HUKO CHAKECHAKE NA MAENEO MENGINE JE MAKANISA HAYAJAJENGWA??
 
Uhuru wa kuabudu ni jambo muhimu sana, kila mmoja aachiwe aabudu mambo yake, nafikiri hadi hapo mumeona jinsi wengine hupata kero mnapowazuia kuabudu mambo yao, Wakristo huteswa sana kwenye nchi za Kiislamu, mkuki kwa nguruwe.

Tuheshimiane kwenye imani zetu maana wewe hapo huna uwezo wa kunidhihirishia uwepo wa unayemuabudu hivyo usilazimishe wengine.

Watu wazima wanaandamana kupinga ujenzi wa kanisa.


View: https://www.youtube.com/watch?v=pcwvILodCKM

Labda itangazwe kuwa Pemba au Zanzibar yote ni ardhi ya Kiislamu. Lakini ikumbukwe kuna mahoteli ya kitalii ufukweni Pemba ambayo kiitikadi ya Kiislamu ni bora hata Kanisa..!
 
Ndio maana Pakawa na masheikh waliojitolea kuwapa mawaidha waislam wenzio. Roho ni roho inapenda kufanya mabaya. Mawaidha ya kuwambusha ubaya wanaofanya na athari
Kama mnayajua hayo kwanini huwa mnawaonyoshea kidole watu ambao siyo dini yenu na kuwaona wana dhambi sana?
 
na wa hindu wanapinga kuharibiwa tamaduni zao huoni wote wapo sawa ni kama China tu serekali ilianza kuwafyeka waislam kwa sababu wanaharibu tamaduni zao

nimetuma point yako
Yani hii dunia inashangaza sana aisee.
Dini zingine zikijinasibu kulinda identity yao zinapongezwa.
Ila uislam ukijaribu kulinda identity yao utaskia UGAIDI NA KUPLAY VICTIM.
 
Wasikuwa waislam moja kwa moja kwa mujibu wa uislam wamepotea.
Nyie ambao hamjapotea. Kwanini 98% mnatumia vitu / bidhaa za waliopotea? Nyie hamjavumbua chochote
Mfano mdogo. Haupo mtandao wa kiislamu hata coding (computer language) wamevumbua waliopotea.
1. Jamii forum
2. Pinterest
3. Facebook
4. X
5. Telegram
6. WhatsApp
 
Nyie ambao hamjapotea. Kwanini 98% mnatumia vitu / bidhaa za waliopotea? Nyie hamjavumbua chochote
Mfano mdogo. Haupo mtandao wa kiislamu hata coding (computer language) wamevumbua waliopotea.
1. Jamii forum
2. Pinterest
3. Facebook
4. X
5. Telegram
6. WhatsApp
😂😂😂😂😂😂😂😂Aisee
Kasome kuhusu wavumbuzi wa kituruki na kihajemi(kiiran) walivyovumbua kuhusu vifaa tiba vya upasuaji na kemikali muhimu katika chemistry ambayo vinatumika hadi leo.
Acha kukariri wewe jamaa.
Pia usisahau pia kuna wanahisabati wengi katika hiyo jamii.
 
1. Ingekuwa hivyo dini ya kiislamu ingekuwa ni dini yenye waumini wengi duniani.
2. Nchi za kiislamu zenye kufuata sharia zingekuwa ndiyo mfano wa kuigwa na watu wengi wangekuwa huko bila kujali rangi na wanaishi huko.
3. Kwenye dini kiislamu kusingekuwa na mahakama ya kadhi maana wote wangekuwa wema
4. Kusingekuwa na mahakama yoyote kwenye nchi za kiislamu, hata ungedondosha hela ungeikuta wamekuhifadhia.

Tunaongelea kanisa la mashoga la kipentekoste kule Mbeya , uliingia google ?
 
Hili taifa la hovyo sana.
Mwaka jana wameanza na operation ya kuua YEYOTE ANAYEKULA NYAMA YA NG'OMBE.
UKIONEKANA UNATAKA KUMCHINJA NG'OMBE KAZI UNAYO.
ETI WAKIDAI HUYO NI MNYAMA WA KIUNGU ANAPASWA HESHIMIWA.
Ni sawa sawa kabisa na mavijana ya hovyo ya kisiwa Fulani ambao hutembea na magimbo kuwapiga watu wanaokula hadharani kipindi Cha mfungo bila kujali Imani Yao ni ipi
 
Ni sawa sawa kabisa na mavijana ya hovyo ya kisiwa Fulani ambao hutembea na magimbo kuwapiga watu wanaokula hadharani kipindi Cha mfungo bila kujali Imani Yao ni ipi
Makanisa yalianza kwanza Zanzibar , kabla huko Tanganyika, na hawa wakristo wa Zanzibar ambao wengi ni magoa kutoka India wanaheshimu tamaduni za kiislamu na kuheshimu sheria za kiislamu na hawajapatapo tokea miaka hiyo huko nyuma kula mchana mbele za Waislamu hapa Zanzibar wakati wa Ramadhani .. Tatizo ni hii miafrika koko kutoka West Afrika iliyokuja kuvamia East Afrika , ndio inayopenda ugomvi na kuudhi watu na imekosa heshima zote na haina dini ndio inayotuletea matatizo na kuleta vijikanisa vya mashoga
 
Daaah.... Hawa Wahindi katika Uislamu wameona hilo tu ndo la maana kuiga? Kushambulia imani za wenzao? Kuwaona wenzao ni Makafir? Hii dunia malipo ni hapa hapa.
Nenda Nchi ya kiarabu. Uonekane umevaa msalaba au umebeba biblia au unafundisha mafundisho ya Kikristu adhabu yake ni KIFO. Mbona hilo hulisemi? Au hulijui?
 
Nenda Nchi ya kiarabu. Uonekane umevaa msalaba au umebeba biblia au unafundisha mafundisho ya Kikristu adhabu yake ni KIFO. Mbona hilo hulisemi? Au hulijui?
Najua. Na kwa nini uende huko kupeleka imani yako ya masuala yenu sijui ya upendo sijui nini? Kule kazi kazi tu hakuna kuremba.
 
Nenda Nchi ya kiarabu. Uonekane umevaa msalaba au umebeba biblia au unafundisha mafundisho ya Kikristu adhabu yake ni KIFO. Mbona hilo hulisemi? Au hulijui?
Nchi ya kiarabu ipi unayoongelea ?? Mbona wakristo waarabu wamejaa ?? Hata jiografia mnasoma nyinyi ??
 
Wahindu wanachuki sana na waislamu. India waislamu wanabaguliwa mno
Uarabuni wahindi wanaruhusiwa kujenga mahekalu Yao na wakristu wanaruhusiwa kujenga makanisa? Nani mbaguzi na nani sii mbaguzi?
 
Nenda Nchi ya kiarabu. Uonekane umevaa msalaba au umebeba biblia au unafundisha mafundisho ya Kikristu adhabu yake ni KIFO. Mbona hilo hulisemi? Au hulijui?


Je ni wapi ukiachia siku ya kusulubiwa ulipoona Yesu na wanafunzi wake wakiongozana na msalaba kwenye shughuli zao za kueneza injili?

Huko Misri, Ugiriki , Syria na Karthago, Palestina na Roma msalaba ulitumika kuwaadhibia wahalifu waliokuwa wametenda maovu makubwa kama alama ya kulaaniwa kwao.

Kimsingi msalaba na matumizi yake vimepotoshwa sana kama ilivyo kwa dhana kuu ya ubaba.

Soma Matayo 23:9-11. tukiache magube ya kanisa, hili liko wazi kuwa msalaba hauna uhusiano na ukristo wala dini aliyoileta Yesu.

Huenda tukikubali kusema kuwa Ukristo siyo dini aliyoleta Yesu twaweza kuyakumbatia na kuyakubali matumizi ya msalaba kwa raha bila ubishi.

Lakini si kosa la kanisa. Kwani kama hadi leo halijamjua Yesu mwenyewe litajuaje upogo na najisi ya msalaba kwa kazi ya Mungu?
 
Kauli yako haithibitishi unachoongea.
Kumlazimisha mtu afate mila zako ni kumshinikiza azitende.
Je hao wakiristo walilazimishwa kusilimu na kuwa waislamu??
Mbona mataifa ya kizungu walisha develop islamaphobia kitambo na kuwatesa waislam je hao wana tofauti gani na waislam wa Pemba!?
Hao mapadre kumwagiwa tindikali ni political motivated,je unajua kuna masheikh na waislam wakawaida wangapi waliuawa na kumwagiwa tindikali pia!?
AU unadhani sijui hayo maandamano na umwagianaji wa tindikali ulitokea awamu gani kama sio kipindi cha Mkapa kuingia cha Kikwete??
Je masheikh wa uamsho walifanya kosa gani??
Usituchanganyie mada hapa.
Kama jinsi mataifa ya Ulaya yanavyopiga vita tamaduni za kiislam basi ni sawa na hao wazenji walivyogomea ujenzi wa kanisa.
YANI ULIMWENGUNI WAKRISTU KU DEVELOP ISLAMAPHOBIA IWE SAWA ILA MUILAM AKIFANYA NI UGAIDI NA PLAYING VICTIM!!
KAWADANGANYE MATUTUSA SIO SISI TUNAOJIELEWA.
🔹 Kuandika herufi kubwa au ku bold ni ishara ya kupayuka au pumba

🔹Jiulize kwa nini Ulaya ni ruksa kujenga misikiti , kuhubiri uislam na hawajali MKRISTU akisilimu

🔹 Kwa nini nchi zs kiarabu ni kosa la jinsi kujenga kanisa, kuhubiri ukristu, kuvaa msalaba au kubeba biblia? Ni nani mwenye chuki na mwenzake?
 
Nyie ambao hamjapotea. Kwanini 98% mnatumia vitu / bidhaa za waliopotea? Nyie hamjavumbua chochote
Mfano mdogo. Haupo mtandao wa kiislamu hata coding (computer language) wamevumbua waliopotea.
1. Jamii forum
2. Pinterest
3. Facebook
4. X
5. Telegram
6. WhatsApp
KWANI HUYO YESU NA PAULO WAKE WALIVUMBUA KITU GANI ?? Si haba makanisa mengi yamevumbua kuoana jinsia moja na pia kuoana na wanyama
 
Back
Top Bottom