Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
kidini
Kidini , kwani hupendi ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kidini
Aise mkuu wewe too much comment basi hata kwenye issue zingineKidini , kwani hupendi ??
Unaandika mihemko na mipasho.Maandishi yako tuu yanaonyesha ujinga uliyokariri kwenye kichwa chako. Sio wote wenye vipara wamejaza kichwani material ya maana wengine wamejaza mautopolo kichwani
Achana nae.Mbona hujatuambia huo ujinga , ni upi ??
Modi hata sehemu alikotoka amepaneemesha sana na kuongeza kila kitu katika bajeti zoteNdugu, umeisoma taarifa?
Uzi umeelezea kuwa Chuoni hapo hakuna msikiti. Sasa inakuwaje unauliza swali ambalo jawabu lake lilishawekwa?
Ndugu, umeisoma tena taarifa? Wapi maudhui yamesema wamelazimisha hicho chumba kuwa msikiti kwa nguvu?
Narendra Modi hufahamu kuwa chama Chao cha Bharatiya Janata ni chama cha wahafidhina chenye msimamo mkali wa kihindu?
Angalia uongozi wa Modi na PM aliyepita kabla yake mbona hizo jamii ziliishi vizuri misuguano haikuwepo kama Modi na chama Chao kiliposhika madaraka?
Inakubidi ufahamu siasa ya India inavyokwenda ndugu mtanzania.
Aise mkuu wewe too much comment basi hata kwenye issue zingine
Hata kidogoUlishasilimu ??
Hata kidogo
Uarabuni wahindi wanaruhusiwa kujenga mahekalu Yao na wakristu wanaruhusiwa kujenga makanisa? Nani mbaguzi na nani sii mbaguzi?
Kwa hiyo dini yenu inampa haki mzawa kumbagua Mgeni asiye dini yake kwa kumuwekea vikwazo asiabudu kwa mujibu wa dini yake na asiwe huru kueneza dini yake, na wakati huo huo inawapa ninyi haki zote za kuabudu na kueneza dini yenu ugenini?unachotakiwa kutofautisha ni kuwa Uarabuni wahindu na wageni, India Wasilamu ni wazawa. Unambaguaje raia wako sababu tu ya dini yake? Hata ajira waislamu kupata ni shida sana
Kwa hiyo dini yenu inampa haki mzawa kumbagua Mgeni asiye dini yake kwa kumuwekea vikwazo asiabudu kwa mujibu wa dini yake na asiwe huru kueneza dini yake, na wakati huo huo inawapa ninyi haki zote za kuabudu na kueneza dini yenu ugenini?
IF YOU NEED EQUITY DO EQUITY
Wewe naona unahitilafu kwenye UBONGO. Kujenga nyumba za ibada kiholela kukoje?Hilo ni suala la dini? kwani ni waislamu pekee wanaokataa dini z kigeni kwenye miji yao? TZ ingelikuwa 99.9% Wagalatia, je mungeridhia wahamiaji wakigeni waislamu wajijengee tu nyumba zao za ibada kiholela?
HADITHI YA AL BUDANOVA
ROHO MTAKATIFU WAKO KAISHIWA ; KABAKI KUKUONGOZA KWENYE MATUSI TU WAKATI WOTE
Quran hadithi 16245
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😝😝😝😝😝😝
Kwani amekwambia anashida ya kufanya ngono peponi bila kuchoka na bikra 72 kama mtume alivyoahidi?Kwanini hutaki kuwafuata Mitume , unataka ukachomwe ?
Na allah alikuahidi kweli utatafuna bikra 72 bila kuchoka na kunywa pombe isiyo chungu 🤣Roho Mtakatifu wako anajua kukuongoza kwenye hadithi hiyo iliyoandikwa na kanisa lako hana jingine
Roho Mtakatifu wako anajua kukuongoza kwenye hadithi hiyo iliyoandikwa na kanisa lako hana jingineNa allah alikuahidi kweli utatafuna bikra 72 bila kuchoka na kunywa pombe isiyo chungu 🤣
yaani mud mfuate yesu ndio uzima wako wa milele huyo mtume wenu anakupeleka jahanamKwanini hutaki kuwafuata Mitume , unataka ukachomwe ?
yaani mud mfuate yesu ndio uzima wako wa milele huyo mtume wenu anakupeleka jahanam