India yafanya jaribio la usiku la kombora la Agni II lenye uwezo wa kubeba silaha za nyuklia

India yafanya jaribio la usiku la kombora la Agni II lenye uwezo wa kubeba silaha za nyuklia

Nao wamejibu!

 
Nao wamejibu!

Na huo mgogoro wao wa Kashmir unawapa msukumo wa kuendelea na majaribio ya makombora...
 
India bado bado kidogo. Ilipaswa kuwa level moja na China. India ilikwamishwa na unafiki wa kisiasa na ufisadi chini ya chama chao cha ukombozi kilichotawala kifisadi kama CCM wanavyotawala huku.
Kwahiyo tutegemee ccm kurusha kombora karibuni !
 
Waafrika hatujawekeza kwenye tafiti mbalimbali kwa kiwango kikubwa.Tuna watu wana akili kubwa,lakini hawatumiki vizuri.Mtu anaweza kuwa mzuri kwenye teknolojia, anapewa kazi za siasa.
Dunia hii !
 
Back
Top Bottom