Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Hao waliovikataa ama kuvilalamikia angalia uhusiano wao nahao mabeberu wauaji ukojeNa hili suala si india pekee waliolalamika,ni mataifa mengi tu
Hilo nisuala zima la KIUCHUMI hatakama ni ukweli usiopingika yakwamba UCHINA anatengeneza vitu feki ila asingekua na akili mbovu yakwenda kuviuza vitu hvyo ULAYA ama INDIA angekuja kukutupeini huko jalalani AFRIKA ila Sio ULAYA hilo nisuala zima la PROPAGANDA na VITA ya UCHUMI no More.
Sent using My COVID-19