Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Hao waliovikataa ama kuvilalamikia angalia uhusiano wao nahao mabeberu wauaji ukojeNa hili suala si india pekee waliolalamika,ni mataifa mengi tu
Atakuja kupoteza endeleeni tu kupiga ramli angalia top10 ya simu zinazouzwa sana ulimwenguni halaf uangalie MCHINA anaendeleaje ?!China anapoteza soko la bihashara kutokana na uhongo uhongo alio nao ktk vifaaa vingi, uwa anadanganya sana. Mfano simu za kichina akikuandikia RAM, Speed na memory ni kiasi fulani ujue sio kweli ni nusu yake. Naona Chinese anakuja kupoteza Goodwill katika bihashara
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani India ashinikizwe kukataa vifaa na USA halafu USA ndiyo atampa?
Propaganda zipi na wakati wamekataa kuvitumia unajua maana ya propaganda
Hakuna mtu mwenye akili timamu atakuambia ule maviMzungu akisema kula mavi utakula? Waswahili sijui lini mtaelimika
Hakuna mtu mwenye akili timamu atakuambia ule mavi
India naye ni mzungu kumbeNdio hayo sasa mnaambiwa kila kitu mnaamini kwakuwa aliesema ni mzungu. Mzungu ni nani?? akisema hivi nanyi mnaunga tera 😁😁
Hivi mzungu ni yupi mkuu? nauliza tu nijueIndia naye ni mzungu kumbe
Hiyo dunia ya kila mtu ajitengenezee kitu chake haipo, hata huyo mchina hajitengenezei kila kitu. Sio kila kitu lazima utetee sheikh.ili kuepukana na yote hayo inatakiwa ubuni ama utengeneze vyakwako mwenyewe unahisi UCHINA anavyotumia yeye mwenyewe anatumia feki kama anavyowaletea nyie ?!
Tatizo lenu mnashindwa kujiongeza mnakalia lawama na halafu mkiyaona mataifa yawatu yanayojitahidi kujipenda nakujiendeleza yenyewe kama IRAN mnawaandama kwavikwazo nakuwasimanga
Nasema vp muuziwe tu hata memory za GB 60 nje ila ndani ziwe KB1 Ili Mnyooke
UCHINA kapambana kufika pale alipo nyie mnangojea nn kila kitu mnataka USAID waje wawape mwisho wanawauwa kwamaradhi namasharti yakipuuzi
Mpaka Mnyooke [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using My COVID-19
India naye ni mzungu kumbe
Uzi ulikua unahusu india na sio Afrika, ni vizuri unaanzisha uzi wa afrikaKufata tera waafrika ni too much ukilinganisha na weupe,,,
MKUU sio kama kila kitu natetea nasawa hakuna anaetengeneza kila kitu ila ukitengeneza baadhi ya vitu unajipa heshma flaniHiyo dunia ya kila mtu ajitengenezee kitu chake haipo, hata huyo mchina hajitengenezei kila kitu. Sio kila kitu lazima utetee sheikh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona India inatengeneza vitu kibao tu! Au hujui hilo?MKUU sio kama kila kitu natetea nasawa hakuna anaetengeneza kila kitu ila ukitengeneza baadhi ya vitu unajipa heshma flani
sasa unatakiwa ujiulize wewe unatengeneza nini mpaka watu wakuheshimu ?!
Dunia yasasa imebadilika imekua watu wanathamini sana kitu kuliko utu kama huwez zalisha hata barakoa heshma utaisikia kwamajirani zako tu MKUU
Unaweza usiwe na vitu vyote ila uwa nabaadhi ya vitu ambavyo vita itetea na kuiheshimisha hadhi yako ulonayo.....
Sent using My COVID-19