Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Mtanzania Kill Paul ambaye amejizolea mashabiki na umaarufu katika mtandao wa TikTok na Instagram haswa kwa kucheza na kuigiza nyimbo za kihindi akiwa amevalia vazi la kimasai pamoja na mdogo wake wa kike.
Amepata mwaliko katika ubalozi wa India Nchini na kukutana na Balozi wa nchi hiyo.
Amepata mwaliko katika ubalozi wa India Nchini na kukutana na Balozi wa nchi hiyo.