Pre GE2025 INEC yafafanua hoja ya TAMISEMI kusimamia Uchaguzi Serikali za Mitaa

Pre GE2025 INEC yafafanua hoja ya TAMISEMI kusimamia Uchaguzi Serikali za Mitaa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Nimelia sana, nilipoiona hii taarifa.
---

Kuna upotoshaji umeenea kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi ndiyo ina wajibu wa kuendesha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Ukisoma Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ibara ya Tano Ibara ya Tano, ibara ndogo ya tatu D, inasema, Bunge litatunga Sheria ya Uchaguzi na kuweka masharti yafuatayo:

Ukienda D pale inasema kutaja kazi ya Tume za Sheria ya Uchaguzi kwa utaratibu wa kila Uchaguzi ambao utaendeshwa chini ya Uongozi na usimamizi wa Tume ya Uchaguzi.

Ukienda ibara ya 74 ibara ndogo ya 6(e) inasema Tume itatekeleza majukumu yote kwa mujibu wa Sheria iliyotungwa na Bunge. Sasa ukienda kwenye kifungu cha kumi cha Sheria ambayo Tume inatakiwa itekeleze kifungu cha 1(c) kinasema kusimamia na kuratibu utaratibu wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji Tanzania Bara utazingatia taratibu wa Sheria iliyotungwa na Bunge.

Kwahiyo, hawa wapotoshaji wanafahamu Sheria hiyo haijatungwa lakini bado wanatumia Vyombo vya Habari kuweka upotoshaji huo.
 

Attachments

  • doc 1.jpg
    doc 1.jpg
    83.4 KB · Views: 7
  • doc2.jpg
    doc2.jpg
    166.3 KB · Views: 10
Mkwe kama mkwe anaenda kusimamia uchaguzi, imagine.

Lissu alionya akina Zitto na Mbowe hawakutaka kusikia baada ya kunogewa na asali.

Hakuna mabadiliko ni hadaa tupu.
 
Kuna watu bado mna imani na chaguzi za nchi hii? Ili chaguzi za nchi hii zirudi kwenye heshima yake, ni lazima yatokee machafuko ama mapinduzi ya kijeshi. Lakini kushiriki chaguzi ambazo mwenyekiti wa ccm na genge lake ndio wanaamua nani atagazwe mshindi, ni matumizi mabaya ya muda.
 
CCM kweli wamepania hasa kulitumbukiza taifa hili kwenye matatizo.
Sina shaka mwishowe watafanikiwa lengo lao hili.
 
Kuna watu bado mna imani na chaguzi za nchi hii? Ili chaguzi za nchi hii zirudi kwenye heshima yake, ni lazima yatokee machafuko ama mapinduzi ya kijeshi. Lakini kushiriki chaguzi ambazo mwenyekiti wa ccm na genge lake ndio wanaamua nani atagazwe mshindi, ni matumizi mabaya ya muda.
Hebu ngoja kwanza.

Hivi haiwezekani haya wanayotaka CCM ndiyo yakawa chachu ya kuwaangamiza badala ya kusubili hayo unayoyaamini wewe?

Nina maana ya kwamba, watu wajitokeze kwa wingi kupiga kura, na kukataa kura zao zisichezewe. Hii ndiyo iwe njia ya kuwatia adabu hao CCM. Kwa nini haiwezekani?

Machafuko huanzia kwenye jambo, na hapa yatakuwa chanzo chake ni kuharibiwa kura za wapiga kura wenyewe.

Vinginevyo, hayo machafuko yataanzia wapi na kwa sababu zipi?
Mimi naona hii ndiyo sababu nzuri kabisa, hata ikibidi kuwahusisha hao wana jeshi; kama Omar Bongo alivyokataliwa upumbavu wake huko Gabon.

katika mawazo yangu, hapajawahi kuwepo na nafasi nzuri kama iliyopo sasa ya kuwaondoa CCM kupitia kupiga kura kama iliyopo sasa; hata kwa mazingira wanayodhani wao wanayamudu. Wananchi ni muhimu wajitokeze kwa wingi kabisa kupiga kura, na kuhakikisha kuwa kura zao hazichezewi na mtu yeyote; hata polisi.
 
Hebu ngoja kwanza.

Hivi haiwezekani haya wanayotaka CCM ndiyo yakawa chachu ya kuwaangamiza badala ya kusubili hayo unayoyaamini wewe...
Siamini unachoamini, mapinduzi huko Egypt enzi za Mubarak, Sudan enzi za Elbashir, Zimbabwe enzi za Mugabe hayakuanza wakati au baada ya uchaguzi.
 
Siamini unachoamini, mapinduzi huko Egypt enzi za Mubarak, Sudan enzi za Elbashir, Zimbabwe enzi za Mugabe hayakuanza wakati au baada ya uchaguzi.
Cha kushangaza,ni kwamba wala huoni kuwa kuna fursa ya hayo unayoyahimiza kutokana na uchaguzi ulioharibiwa!
Hii ina maana hata hayo unayo yategemea yatokee, mapinduzi na machafuko huamini kuwa yanawezekana.

Wewe unasubiri tu, yatokee kwa muujiza fulani, ambao hata kuueleza huuelezi!
 
Kuna watu bado mna imani na chaguzi za nchi hii? Ili chaguzi za nchi hii zirudi kwenye heshima yake, ni lazima yatokee machafuko ama mapinduzi ya kijeshi. Lakini kushiriki chaguzi ambazo mwenyekiti wa ccm na genge lake ndio wanaamua nani atagazwe mshindi, ni matumizi mabaya ya muda.
Naunga mkono hoja. Yafaa tuchapane na tuuane.
 
Back
Top Bottom