Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Tusilalamike sana, TAMISEMI inauzowefu sana na maswala ya uchaguzi. Kuna watalaamu kule wenye ujuzi wa kitaifa na ki mataifa. Watasimamia uchaguzi kwa haki na usawa kama uchaguzi uliopita ulivyokuwa huru na usawa.