Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bati moja tu maji ya kutosha? Kweli kuna mengi hayajulikani!Kuweza kuokoa maji na kujiwekea hifadhi ya maji ya mvua huhitaji kuwa na nyumba.. La hasha bati moja tu linaweza kukukusanyia maji ya kutosha kabisaView attachment 3266014
Mvua za masika sio hizi za joto likipanda.. By the way huo ni mfano tuu unaweza kuongeza.. Na hapa ndio ubunifu ulipo sio kuchukua kama ilivyo bali kukupa kichocheo cha kuboresha zaidiBati moja tu maji ya kutosha? Kweli kuna mengi hayajulikani!
ujuaji ukizid unakuwaga ujingaBati moja tu maji ya kutosha? Kweli kuna mengi hayajulikani!
Ishi maisha yako. Haya ni Europe huko. Watoto 16 then maji Bati moja kweli brother?Kuweza kuokoa maji na kujiwekea hifadhi ya maji ya mvua huhitaji kuwa na nyumba.. La hasha bati moja tu linaweza kukukusanyia maji ya kutosha kabisaView attachment 3266014
Kiongozi; sehemu kama Dodoma mvua zikikata Aprili ni hakika halitaonekana tone la mvua tena hadi Desemba. Bati moja likusanye maji ya miezi 8 na kilimo cha kisasa juu! I doubt!Mvua za masika sio hizi za joto likipqnda.. By the way huo ni mfano tuu unaweza kuongeza.. Na hapa ndio ubunifu ulipo sio kuchukua kama ilivyo bali kukupa kichocheo cha kuboresha zaidi
Hayo yako shambani kwangu hapa Tanganyika.. Karibu kesho ujionee mvua ya leo nimepata lita 12Ishi maisha yako. Haya ni Europe huko. Watoto 16 then maji Bati moja kweli brother?
Hata likikusanya maji ya siku moja mkuu ni mengi sana.. Imagine watu kumi wakiwa na bati kumi watakusanya kiasi gani?Kiongozi; sehemu kama Dodoma mvua zikikata Aprili ni hakika halitaonekana tone la mvua tena hadi Desemba. Bati moja likusanye maji ya miezi 8 na kilimo cha kisasa juu! I doubt!
Ishi maisha yako. Haya ni Europe huko. Watoto 16 then maji Bati moja kweli brother?
Hata likikusanya maji ya siku moja mkuu ni mengi sana.. Imagine watu kumi wakiwa na bati kumi watakusanya kiasi gani?
Tusichukulie bati moja na mtu mmoja tuu.. Chukua bati moja mtu mmoja, kaya nzima, kijiji kizima, tarafa nzima , wilaya nzima, mkoa mzima.. Nchi nzima.. Ni maji kiasi gani yatakusanywa
Dhana ya ubunifu... Marejeo ya semi za wahenga wetu.. Haba na haba...
Dhana ya CHADEMA .. TONE.. TONE..👌🏿
Tuwe watu wa tafakuri maana picha ya pili ndio imezua mjadala ,😀
Kuna kitu kimenifikirisha kwenye reply yake..Nimecheka sana kwa muktadha wa sentensi ilivyoandikwa.
Kwa uhalisia wa maisha ya tunaoishi kipato cha kati na chini bati moja halitoshi kwa idadi ya watoto uliotaja, badala yake imeibua mjadala mkubwa kichwani....
Kwanini utotoe watoto 16 ilhali kujikwamua kiuchumi ni ngumu?
Naamini mtoa mada amelenga kuelimisha watu wajiongeze kipato ama namna ya kupunguza gharama za maisha.... kuna atayesema hiyo hela ya bati song ugali mle halafu.... mkoshaenda chooni mlale njaa tena?
Mimi nimependa hilo wazo, wengi wetu mvua zikinyesha huwa tunakinga maji ili kuhifadhi maji ya kutumia baadae. Bila bati au paa la nyumba unakingaje maji ya mvua?
Tujiongeze tuberose maisha yetu.
Atakuja mvimba macho atafanya hivyo kisha tutamsifu.. Ila kwa Jr anaonekana mjuaji😂😂😂😂Picha ya kwanza imenifanya nifikirie wale wauza madafu kigamboni badala ya kwenda kutupa yale mabaki wayauze kwa watu wapande mbogamboga hata mahindi. Ama watu wayaokote wajitengenezee kilimo kisichohitaji jembe.
Hizo ni illusions ndoto za alinacha. Bati moja hadi kwenye kilimo! Hakuna kitu kama hicho.Nimecheka sana kwa muktadha wa sentensi ilivyoandikwa.
Kwa uhalisia wa maisha ya tunaoishi kipato cha kati na chini bati moja halitoshi kwa idadi ya watoto uliotaja, badala yake imeibua mjadala mkubwa kichwani....
Kwanini utotoe watoto 16 ilhali kujikwamua kiuchumi ni ngumu?
Naamini mtoa mada amelenga kuelimisha watu wajiongeze kipato ama namna ya kupunguza gharama za maisha.... kuna atayesema hiyo hela ya bati song ugali mle halafu.... mkoshaenda chooni mlale njaa tena?
Mimi nimependa hilo wazo, wengi wetu mvua zikinyesha huwa tunakinga maji ili kuhifadhi maji ya kutumia baadae. Bila bati au paa la nyumba unakingaje maji ya mvua?
Tujiongeze tuberose maisha yetu.
Then uniambie "Tajiri ni ngumu kuona ufalme wa Mungu" masikini watachomwa sana kwakutotumia akili wakizopewa.Picha ya kwanza imenifanya nifikirie wale wauza madafu kigamboni badala ya kwenda kutupa yale mabaki wayauze kwa watu wapande mbogamboga hata mahindi. Ama watu wayaokote wajitengenezee kilimo kisichohitaji jembe.
Hizo ni illusions ndoto za alinacha. Bati moja hadi kwenye kilimo! Hakuna kitu kama hicho.