Influencers wetu na wataalamu wetu wa kilimo pengine kuna mengi hawajui

Influencers wetu na wataalamu wetu wa kilimo pengine kuna mengi hawajui

Hata likikusanya maji ya siku moja mkuu ni mengi sana.. Imagine watu kumi wakiwa na bati kumi watakusanya kiasi gani?
Tusichukulie bati moja na mtu mmoja tuu.. Chukua bati moja mtu mmoja, kaya nzima, kijiji kizima, tarafa nzima , wilaya nzima, mkoa mzima.. Nchi nzima.. Ni maji kiasi gani yatakusanywa
Dhana ya ubunifu... Marejeo ya semi za wahenga wetu.. Haba na haba...
Dhana ya CHADEMA .. TONE.. TONE..👌🏿
Tuwe watu wa tafakuri maana picha ya pili ndio imezua mjadala ,😀
Ahsante sana kwa kuwasaidia watu namna ya kujiongeza, badala ya kukomaa na bati moja. Kumbe mkiwa wengi si bati moja tena, na pengine ni ujazo wa kutosheleza kiangazi chote. Aidha, huenda ndio ubunifu mujarabu wa nchi kukabiliana na ukame.
 
Ahsante sana kwa kuwasaidia watu namna ya kujiongeza, badala ya kukomaa na bati moja. Kumbe mkiwa wengi si bati moja tena, na pengine ni ujazo wa kutosheleza kiangazi chote. Aidha, huenda ndio ubunifu mujarabu wa nchi kukabiliana na ukame.
Na wa gharama sawa na bure
 
Watu wa naoshughulikia kilimo na afya zetu.... Wapo huko maofisini na mashambani hya ndio yanayojiri.... Haya yanafanyika kwa faida ya kizazi chetu kweli??
Hapa sasa ndiyo unaona umuhimu wa Mshana ku share huu ubunifu, ukijfanyia mwenyewe bustani yako nyumbani au shambani kwako unakuwa Salama zaidi. Halafu nchi yetu bado inayo mapori mengi haishindikani ni uamuzi tu
 
Kuna kitu kimenifikirisha kwenye reply yake..
1. Ndio asilimia 90 tulivyo.. Hatujiongezi hata kidogo
2. Imagine kawaza watoto 16 wategemee bati moja na dumu moja tena kwa hizi mvua za msimu🥺
Nimejiuliza hao watoto ni wadogo kiasi gani mpaka wamtegemee mtu mmoja tu kufanya hiyo kazi
Kwanini asione ni wazo bora na akawaza kuwakatia watoto kitu kama majani ya migomba au kupachua migomba na kupata makinga maji? Tumelemazwa na akili za kukakiriri. Hatuwezi kujiongeza kamwe
Nami najiuliza, watoto 16 bado wote ni wadogo? Na kama wote ni wachanga, je walizaliwa mapacha? Nijuavyo ukifikisha watoto 16, zaidi ya 10 watakuwa watu wazima na pengine wanajitegemea.

Kama bado wapo nyumbani, tayari kuna mabati zaidi ya 10. La sivyo, wanaopiga hatua za kimaendeleo watasalia wachache sana - daima!
 
Na hapa ndipo unapogundua watanzania wanataka kila kitu umtafunie yeye abaki kumeza tu na ndio maana inapokuja pesa ya kudownload wanakimbilia.
Hapo ni umepewa wazo ukalifanyie kazi kwa kuliboresha kulingana na mazingira yako kwa mfano kwa watu baadhi ya kanda ya ziwa wanaweza kunufaika sana kwa ubunifu huu kwa maana wana mvua kuanzia mwezi wa nane mpka mwezi wa sita ndio hukata kwa maana wanakuwa na kiangaz miez miwil tu
Umenena vema kabisa!
 
KUDHIBITI MATUMIZI ya kila ulichokitafuta kwa jasho lako. Hata maji utumie kwa uangalifu sio kufuja, hata chakula hata nguo.

Don't abuse the funds you have today by spending wherever you want because its yours, you have to RESPECT your funds and it(funds) will RESPECT you back, na itakuheshimisha kweli kweli.🙏🏿🙏🏿🙏🏿💪🏿💪🏿💪🏿📌🔨🔨💗💗💗
Nimenikuta nabubujikwa na machozi kama lucas


Aaahahahhaaa Mshana usinichekeshe, Lucas Who..!! Lucas What...! Lucas Where...!!? 😄😄😄.
Na yawe machozi ya furaha na faraja, ni mwendo kusonga mbele kwa mbele hakuna kurudi nyuma.
 
Hapa sasa ndiyo unaona umuhimu wa Mshana ku share huu ubunifu, ukijfanyia mwenyewe bustani yako nyumbani au shambani kwako unakuwa Salama zaidi. Halafu nchi yetu bado inayo mapori mengi haishindikani ni uamuzi tu
1741800696080.jpg
 
Mvua za masika sio hizi za joto likipanda.. By the way huo ni mfano tuu unaweza kuongeza.. Na hapa ndio ubunifu ulipo sio kuchukua kama ilivyo bali kukupa kichocheo cha kuboresha zaidi
Anayebeza bati moja kujaza pipa, mwambie atengeneze gata fupi urefu huo wa hilo bati moja aliseti akinge kwenye paa la nyumba ashuhudie miujiza.

Kama itanyesha mvua kubwa sawa sawa, mbona pipa hilo litafurika hata kabla mvua hiyo haijakatika!
 
Fanya wewe mkuu sio kazi jukumu la wengine kufanya kila kitu exclusively.
 
Back
Top Bottom