Influencers wetu na wataalamu wetu wa kilimo pengine kuna mengi hawajui

Influencers wetu na wataalamu wetu wa kilimo pengine kuna mengi hawajui

Kwa wenzetu wenye kujua thamani ya maji hutumia kila nyenzo kuhifadhi kila tone la maji
Unaingia hotel zile za kuanzia nyota 2 .. Bafuni kuna maji bwerere lakini pale kwenye sink la kunawia kuna bilauri tupu.. Naamini wengi ukiwauliza hapa hawajui ni ya nini
 
Kuna kitu kimenifikirisha kwenye reply yake..
1. Ndio asilimia 90 tulivyo.. Hatujiongezi hata kidogo
2. Imagine kawaza watoto 16 wategemee bati moja na dumu moja tena kwa hizi mvua za msimu🥺
Nimejiuliza hao watoto ni wadogo kiasi gani mpaka wamtegemee mtu mmoja tu kufanya hiyo kazi
Kwanini asione ni wazo bora na akawaza kuwakatia watoto kitu kama majani ya migomba au kupachua migomba na kupata makinga maji? Tumelemazwa na akili za kukakiriri. Hatuwezi kujiongeza kamwe


Waliposema akili ni nywele kila mtu ana zake haikuwa lugha ya hizi nywele tunazoziona kwa macho.

Utambuzi/ufahamu/uchambuzi/ujuzi wa mambo ndio hututofautisha kwenye maisha yetu kuwa yule kafanikiwa yule ni hohehahe wa kutupwa...

Ukiacha wanaotumia udanganyifu.
 
Unachokiona na kukiamini/kutokukiamini huwa kinakupa ujasiri/nguvu ya kukifanyia kazi au kukipuuzia.

Kuna mambo mengi ya nadharia na yasiyo nadharia yamefanyika kwa muktadha wa namna hii. Na mengi hayakufanikiwa kwa muktadha wa namna hii.

Uzuri kila mmoja wetu ana utashi wa kuona lipi achukua na kulifanyia kazi lipi aache.
Ila matokeo kila mtu atabaki na yakwake.
9d318b13-b507-454d-b50a-f779dac7a939.jpeg
WillowHavenOutdoor Survival Skills - Learn surviva.jpeg
Summer 2012.jpeg
 
Kwa wenzetu wenye kujua thamani ya maji hutumia kila nyenzo kuhifadhi kila tone la maji
Unaingia hotel zile za kuanzia nyota 2 .. Bafuni kuna maji bwerere lakini pale kwenye sink la kunawia kuna bilauri tupu.. Naamini wengi ukiwauliza hapa hawajui ni ya nini


Karibu hoteli nyingi Cape Town wameandika, save water you can use tissue instead of water. If you pee once you don't have to flush, dining room they are using paper plates/disposable utensils....
Najua Capetown wana shida ya maji ila nimetolea tuu mfano.

Jokes aside, sababu ya tatizo langu la kutoamini zile glass huwa sizitumii nikiamini housekeepers wameacha alama ya midomo yao hapo...!!

Honestly sijui matumizi yake mengine zaidi ya kusukutulia wakati wa kuswaki...

Sababu hainiingii akilini kunywa maji bafuni hata kama kusafi aje...😅😅.
 
Karibu hoteli nyingi Cape Town wameandika, save water you can use tissue instead of water. If you pee once you don't have to flush, dining room they are using paper plates/disposable utensils....
Najua Capetown wana shida ya maji ila nimetolea tuu mfano.

Jokes aside, sababu ya tatizo langu la kutoamini zile glass huwa sizitumii nikiamini housekeepers wameacha alama ya midomo yao hapo...!!

Honestly sijui matumizi yake mengine zaidi ya kusukutulia wakati wa kuswaki...

Sababu hainiingii akilini kunywa maji bafuni hata kama kusafi aje...😅😅.
Sahihi kabisa matumizi yake ni kwa ajili ya kunawia uso kama huna mpango wa kuoga.. Uso hauhitaji hata robo lita
Sasa wengi wafanyacho kwenye sink anafungulia maji yanamwagika bila kutumia huku anapiga mswaki kisha ananawa uso huku maji bado yanatiririka.. Yaani kunawa uso pekee kunaweza kutumia lita nzima wakati glass moja tu ingetosha
 
Bati moja tu maji ya kutosha? Kweli kuna mengi hayajulikani!
Kuweza kuokoa maji na kujiwekea hifadhi ya maji ya mvua huhitaji kuwa na nyumba.. La hasha bati moja tu linaweza kukukusanyia maji ya kutosha kabisaView attachment 3266014

😁😁
Labda ameassume hauna nyumba, unaishi porini na unaishi kibachelor.

Ni mwendo wa kupiga pass ndefu ya passport size. Yatatosha.
 
😁😁
Labda ameassume hauna nyumba, unaishi porini na unaishi kibachelor.

Ni mwendo wa kupiga pass ndefu ya passport size. Yatatosha.
😁😁😁kuna siku za kuoga lakini ili uende mjini ukashangae mataa (siku hizi ni magorofa) Au hata nikioga mjini siendi;?😂
Wenzetu wanatumia mpaka mashuka kukusanya maji sisi bati tunasema haiwezekani
9d318b13-b507-454d-b50a-f779dac7a939.jpeg
 
Sahihi kabisa matumizi yake ni kwa ajili ya kunawia uso kama huna mpango wa kuoga.. Uso hauhitaji hata robo lita
Sasa wengi wafanyacho kwenye sink anafungulia maji yanamwagika bila kutumia huku anapiga mswaki kisha ananawa uso huku maji bado yanatiririka.. Yaani kunawa uso pekee kunaweza kutumia lita nzima wakati glass moja tu ingetosha

Nilichogundua hawa watu weupe ni wachungu sana kwenye matumizi ya pesa zao, na hicho kinawatofautisha na sisi ambao hatujali namna tunavyotumia kipato chetu hata kama tumekipata kwa shida.

Wao akiba ni kipaumbele kuwawezesha kesho yao na mwezi ujao kiwa na uhakika wa hela, chakula, maji, n.k.

Ushuhuda, kuna dada mmoja aliolewa na hawa watu weupe akaenda kuishi huko kwao weeh kilimramba...!!

Anakwambia kuoga anaambiwa bili ya maji itakuja kubwa kama sio mchafu huna lazima ya kuoga, wakampa wet tissue ajifute maeneo muhimu 😅.
Na akioga pamoja na baridi maji asiweke yamoto sana aweke medium karibu na baridi heater inakula umeme...!
Vyombo wanatumia disposable kusave maji ya kuoshea vyombo, umeme wa dishwasher na muda wa kusimama kupanga vyombo...!!!!

Saa ingine wanaagiza kusave umeme wa kupikapika au wanapika mara moja halafu wanakuwa wanapasha moto viporo alooo!!!

Unaweza kuona ni uwendawazimu, ila wamelelewa hivyo ili wafikie malengo na hatimaye wakijakupanda mlima kilimanjaro na kuogelea bichi za zanzibar tunaamini wanamahela mengi tuwaibie au tuwalipishe bei kubwa.

Kumbe wanajibana matumizi ili wafikie malengo.

Sijui niko nje ya mada....🤪
 
Nilichogundua hawa watu weupe ni wachungu sana kwenye matumizi ya pesa zao, na hicho kinawatofautisha na sisi ambao hatujali namna tunavyotumia kipato chetu hata kama tumekipata kwa shida.

Wao akiba ni kipaumbele kuwawezesha kesho yao na mwezi ujao kiwa na uhakika wa hela, chakula, maji, n.k.

Ushuhuda, kuna dada mmoja aliolewa na hawa watu weupe akaenda kuishi huko kwao weeh kilimramba...!!

Anakwambia kuoga anaambiwa bili ya maji itakuja kubwa kama sio mchafu huna lazima ya kuoga, wakampa wet tissue ajifute maeneo muhimu 😅.
Na akioga pamoja na baridi maji asiweke yamoto sana aweke medium karibu na baridi heater inakula umeme...!
Vyombo wanatumia disposable kusave maji ya kuoshea vyombo, umeme wa dishwasher na muda wa kusimama kupanga vyombo...!!!!

Saa ingine wanaagiza kusave umeme wa kupikapika au wanapika mara moja halafu wanakuwa wanapasha moto viporo alooo!!!

Unaweza kuona ni uwendawazimu, ila wamelelewa hivyo ili wafikie malengo na hatimaye wakijakupanda mlima kilimanjaro na kuogelea bichi za zanzibar tunaamini wanamahela mengi tuwaibie au tuwalipishe bei kubwa.

Kumbe wanajibana matumizi ili wafikie malengo.

Sijui niko nje ya mada....🤪
Umetembea mulemule na ndio hao wanaotufadhili kila siku mpaka kujenga matundu ya vyoo.. We must be castrated upstairs..
Tulikosea pakubwa sana tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma
 
Umetembea mulemule na ndio hao wanaotufadhili kila siku mpaka kujenga matundu ya vyoo.. We must be castrated upstairs..
Tulikosea pakubwa sana tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma


Kuna mmoja wa weupe nilisoma habari yake, alifikia umri wa miaka 95 bado ana utajiri mkubwa tuu, watoto wake wote na wajukuu wana mali zao na wako vizuri kimaisha bile kutegemea hela za huyo mzee hata tone.

Hizi scholarunazoziona mitandaoni zinatokana na watu kama hawa, pamoja na serikali yao kuweka mifumo ya kuwahudumia wananchi wake ila wako wanaotumia pesa zao hadi izeeni na bado wanabaki na chenchi. Na hapo hata serikali yao hubaki na chenchi ya kuleta huku kwetu za chandarua cha mbu.

Ila hawana maajabu, ni kutafuta pesa, kudhibiti matumizi na kutumia bongo zaidi ya nguvu waendeje endeje kukabiliana na hali ya hewa waliyonayo, mazingira n.k.

Walau tukitumie usemi wa monkey see monkey do. Basi tuanze na kujibana matumizi....

Asubuhi makande yanapikwa ya kula siku nzima kusevu hela ya kuwasha mkaa mara tatu na kuzingatia kushiba.
Kuwawezesha vizazi vyetu tangu wadogo watengeneze pesa zao na si kutegemea na kujiwekea akiba tulizotengeneza sisi.

Wana msemo wao wakiona mtu ni tegemezi sana... "go find a job".
 
Kuna mmoja wa weupe nilisoma habari yake, alifikia umri wa miaka 95 bado ana utajiri mkubwa tuu, watoto wake wote na wajukuu wana mali zao na wako vizuri kimaisha bile kutegemea hela za huyo mzee hata tone.

Hizi scholarunazoziona mitandaoni zinatokana na watu kama hawa, pamoja na serikali yao kuweka mifumo ya kuwahudumia wananchi wake ila wako wanaotumia pesa zao hadi izeeni na bado wanabaki na chenchi. Na hapo hata serikali yao hubaki na chenchi ya kuleta huku kwetu za chandarua cha mbu.

Ila hawana maajabu, ni kutafuta pesa, kudhibiti matumizi na kutumia bongo zaidi ya nguvu waendeje endeje kukabiliana na hali ya hewa waliyonayo, mazingira n.k.

Walau tukitumie usemi wa monkey see monkey do. Basi tuanze na kujibana matumizi....

Asubuhi makande yanapikwa ya kula siku nzima kusevu hela ya kuwasha mkaa mara tatu na kuzingatia kushiba.
Kuwawezesha vizazi vyetu tangu wadogo watengeneze pesa zao na si kutegemea na kujiwekea akiba tulizotengeneza sisi.

Wana msemo wao wakiona mtu ni tegemezi sana... "go find a job".
Hizi scholarunazoziona mitandaoni zinatokana na watu kama hawa, pamoja na serikali yao kuweka mifumo ya kuwahudumia wananchi wake ila wako wanaotumia pesa zao hadi izeeni na bado wanabaki na chenchi. Na hapo hata serikali yao hubaki na chenchi ya kuleta huku kwetu za chandarua cha mbu.👌🏿😢
 
Kuna mmoja wa weupe nilisoma habari yake, alifikia umri wa miaka 95 bado ana utajiri mkubwa tuu, watoto wake wote na wajukuu wana mali zao na wako vizuri kimaisha bile kutegemea hela za huyo mzee hata tone.

Hizi scholarunazoziona mitandaoni zinatokana na watu kama hawa, pamoja na serikali yao kuweka mifumo ya kuwahudumia wananchi wake ila wako wanaotumia pesa zao hadi izeeni na bado wanabaki na chenchi. Na hapo hata serikali yao hubaki na chenchi ya kuleta huku kwetu za chandarua cha mbu.

Ila hawana maajabu, ni kutafuta pesa, kudhibiti matumizi na kutumia bongo zaidi ya nguvu waendeje endeje kukabiliana na hali ya hewa waliyonayo, mazingira n.k.

Walau tukitumie usemi wa monkey see monkey do. Basi tuanze na kujibana matumizi....

Asubuhi makande yanapikwa ya kula siku nzima kusevu hela ya kuwasha mkaa mara tatu na kuzingatia kushiba.
Kuwawezesha vizazi vyetu tangu wadogo watengeneze pesa zao na si kutegemea na kujiwekea akiba tulizotengeneza sisi.

Wana msemo wao wakiona mtu ni tegemezi sana... "go find a job".
Kuwawezesha vizazi vyetu tangu wadogo watengeneze pesa zao na si kutegemea na kujiwekea akiba tulizotengeneza sisi.❤❤❤❤
 
Kuwawezesha vizazi vyetu tangu wadogo watengeneze pesa zao na si kutegemea na kujiwekea akiba tulizotengeneza sisi.❤❤❤❤

Sawa na sisi kujitafutia mali zetu, na kuacha wazazi wazeeke na mali zao bila kusubiria wafe turithi au tuuze ndo tupate hela ya kutimiza ndoto zetu, ni sawa na uchuro.

Na hata urithi wanaweza wapa wenye uhitaji ambao ni nje ya ndugu sababu ndugu mlishajengewa uwezo wa kutafuta na kutengeneza mali binafsi.
 
Watu wa naoshughulikia kilimo na afya zetu.... Wapo huko maofisini na mashambani hya ndio yanayojiri.... Haya yanafanyika kwa faida ya kizazi chetu kweli??
 

Attachments

  • VID-20250310-WA0020.mp4
    17.5 MB
Kuna mmoja wa weupe nilisoma habari yake, alifikia umri wa miaka 95 bado ana utajiri mkubwa tuu, watoto wake wote na wajukuu wana mali zao na wako vizuri kimaisha bile kutegemea hela za huyo mzee hata tone.

Hizi scholarunazoziona mitandaoni zinatokana na watu kama hawa, pamoja na serikali yao kuweka mifumo ya kuwahudumia wananchi wake ila wako wanaotumia pesa zao hadi izeeni na bado wanabaki na chenchi. Na hapo hata serikali yao hubaki na chenchi ya kuleta huku kwetu za chandarua cha mbu.

Ila hawana maajabu, ni kutafuta pesa, kudhibiti matumizi na kutumia bongo zaidi ya nguvu waendeje endeje kukabiliana na hali ya hewa waliyonayo, mazingira n.k.

Walau tukitumie usemi wa monkey see monkey do. Basi tuanze na kujibana matumizi....

Asubuhi makande yanapikwa ya kula siku nzima kusevu hela ya kuwasha mkaa mara tatu na kuzingatia kushiba.
Kuwawezesha vizazi vyetu tangu wadogo watengeneze pesa zao na si kutegemea na kujiwekea akiba tulizotengeneza sisi.

Wana msemo wao wakiona mtu ni tegemezi sana... "go find a job".
Sister heshima kwako. But Sisi kama waafrica tunafanyaje ili haya uliyo yasimulia tawaambukeze vizazi vyetu tulivyo navyo?
 
Back
Top Bottom