Infosys IPS (T) LTD wakanusha kuhusika na LUGUMI katika kashfa ya ubadhirifu

Infosys IPS (T) LTD wakanusha kuhusika na LUGUMI katika kashfa ya ubadhirifu

Nchi hii iko hoi bin taaban kwa sababu ya utawala uliopita, kisiasa na na ki kimajipu ukimuhusisha JPM. Isitoshe yeye ni ni Rais aliyeokota dodo kwenye muarobaini.... naye
anajua ni ni akina nani wamemfanya awe rais
Asante, ila kazi bado nzito. Maaaaaaanaaa nadhani madudu ni mengi kuliko maelezo
 
Back
Top Bottom