Infosys IPS (T) LTD wakanusha kuhusika na LUGUMI katika kashfa ya ubadhirifu

Infosys IPS (T) LTD wakanusha kuhusika na LUGUMI katika kashfa ya ubadhirifu

Thread hii inazungumzia wizi wa pesa za walipa kodi wewe unachanganya mada. Anzisha uzi wako wa kusifia utumbo - watu hatutakaa tusahau jinsi tulivyodhulumiwa, hata JPM mwenyewe anajua hilo ndo maana anafanya kazi kwa kufuata sera za opposition na anazifanya isivyo.
JPM Magufuli alishinda kura ki halali, hakuna kura iliyoibiwa! Ni nyie wapumbavu na malofa ndiyo mnadanganywa na mnakubali upuuzi wa kutumiwa kama toilet paper na mbowe. Nikupe hinti kidogo. Mbowe na genge lake ili waendelee kuwa na wafuasi ktk chaguzi, njia mojawapo ni kuhakikisha wanapinga na kukataa matokeo ili wasiwakatishe tamaa waliowapigia kura, pia ili kutokuwapoteza waliowapigia kura (yaani wajinga kama wewe utakaa kuamini uliibiwa kura maana yake utaishi na hiyo hasira for 5 years) halafu ukija uchaguzi mwingine utakuwa kama mbuzi wa kafara utasema safari iliyopita niliibiwa basi safari hii lazima nipigie tena kwani tumehakikishiwa kuwa hatuwezi kuibiwa (maana hata mamvi naye kajibainisha tena kusema eti next election kura haziibiwi). Kwa kifupi mbowe ni mjaja ktk kucheza na akili za wapumbavu kama wewe, na kawaweza kweli kweli.
 
Kampuni ya INFOSYS IPS (T) LTD imekanusha taarifa zinazoenezwa katika mitandao ya kijamii kwamba kampuni hiyo inahusika na inashirikirikiana na Lugumi Enterprises katika kashfa ya ubadhirifu.

Katika habari zilizosambaaa inasemekana kwamba kampuni ya Infosys ilipokea mabilioni ya shilingi kutoka katika kampuni ya Lugumi, jambo ambalo wao wanadai si la kweli na ni la kupuuzwa na umma.

'Hatujawahi kufanya biashara na kampuni ya Lugumi Enterprises' Amesisitiza Bwana Sweki Donald, Naibu Meneja Mkuu Infosys IPS (T) LTD.

Video:

Kwa hiyo nani alitakiwa kufunga hizo fingerprint na wao Infosys walipewa tenda ipi na hiyo kampuni je waliifanya? Nashauri fika kwa Lugumi maana anatupa headache mitandaoni
 
Mkuu, hakuna usanii, kuna nguvu kubwa inatumika kuhakikisha JPM anatengua uteuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani, kutokana na sababu kadha wa kadha. Magufuri angeweza mpatia jamaa wake wizara nono, ila alijari ulinzi wake mwenyewe. Wajanja wanataka wamcontrol JPM kupitia wizara ya mambo ya ndani. Kitu ambacho sidhani kama JPM atakiridhia any soon, maana hakuna sababu nzito ya kumuondoa jamaa. Kampuni yake ishaweka wazi kuwa walipewa mkataba wa $74,000.00 tu na si vinginevyo, kazi wamefanya na wamemaliza. Ikumbukwe hiyo $74,000.00 ni installation ya vifaa/site 108. Sasa kwanini asikomaliwe Lugumi mwenye mkataba wa 37bilion na Kashalipwa 34bilion, aje akomaliwe Kitwanga??
Je kuna mtu toka Biometrica Marekani aliyelalamikia poor installation services za infosys? Ushaambiwa infosys haina mkataba na Lugumi, ina mkataba wa kufunga vifaa vya Biometrica ambayo ilipewa kazi na Lugumi. Kwa namna hiyo muulizeni Biometrica kama hamuamini details zilizotolewa na Infosys.
Kwa kuwa swali hili lina involve US based company ni rahisi sana kupata ukweli, haya makampuni yakibanwa na mashirika yao ya kijasusi hayanaga namna, hata kama chenji watarudisha tu.

Inthemeantime kelele zote zingeelekezwa kwa Lugumi, aseme yeye basi kama kashirikiana na Infosys au Biometrica!

Kwa maelezo yako na kwa maadili ya uongozi na utumishi wa umma kitendo cha Mh waziri kutajwa kwenye kashifa kama hivyo tayali ni lazima ake pembeni kupisha uchunguzi kwa manufaa ya umma sio ya Mh. Rais. Akithibitika hana hatia itatangazwa kumsafisha. Haya ya kampuni yenu kupewa kazi na kampuni ya marekani yatatumika katika kuchunguza kama ni kweli au la. Pia mnadai waziri si mmoja kati ya wakurugenzi wenu kwa sasa. Ni sashihi kwani hata uchunguzi ukifanyika si utaonyesha hivyo!!!! Kwa nini mnatoka jasho? Hata hivyo kumbukeni kuwa Tanzania ina watu Zaidi ya milioni 46, Kitwanga hata ikiwaje hawezi kubakia kuwa waziri wa mambo ya ndani milele. kwa mujibu wako, urafiki wa JPM na Kitwanga ndio umempa Kitwanga uwaziri wa mambo ya ndani. Kama sio tusi kwa JPM naamini mtaendelea kueneza utetezi kwa lugha hiyo ili asiteuliwe rafiki mwingine kuendeleza nepotism katika utawala wake. Tulieni ili sharia ifuate mkondo wake.
 
JPM Magufuli alishinda kura ki halali, hakuna kura iliyoibiwa! Ni nyie wapumbavu na malofa ndiyo mnadanganywa na mnakubali upuuzi wa kutumiwa kama toilet paper na mbowe. Nikupe hinti kidogo. Mbowe na genge lake ili waendelee kuwa na wafuasi ktk chaguzi, njia mojawapo ni kuhakikisha wanapinga na kukataa matokeo ili wasiwakatishe tamaa waliowapigia kura, pia ili kutokuwapoteza waliowapigia kura (yaani wajinga kama wewe utakaa kuamini uliibiwa kura maana yake utaishi na hiyo hasira for 5 years) halafu ukija uchaguzi mwingine utakuwa kama mbuzi wa kafara utasema safari iliyopita niliibiwa basi safari hii lazima nipigie tena kwani tumehakikishiwa kuwa hatuwezi kuibiwa (maana hata mamvi naye kajibainisha tena kusema eti next election kura haziibiwi). Kwa kifupi mbowe ni mjaja ktk kucheza na akili za wapumbavu kama wewe, na kawaweza kweli kweli.


Hii ndio dalili ya kutojua siasa na kukosa uelewa wa namna ya kupeana mawazo kwa njia ya mjadala. Zaidi ya nusu ya andiko lako unatukana tu. Jazba unaitoa wapi katika kujadiliana mambo kama haya. Pesa za umma zimetumiwa ndivyo sivyo. Unajitahidi kudivert mjadala na kuwajadili watu as if wao pia ni sehemu ya ufujaji huo. Jikite kwenye hoja na mambo ya msingi katika thread. Huamini kuwa kulipwa 90% ya kazi kabla kazi haijafanyika ni kinyume na kanuni na sheria za manunuzi ya umma? Huamini kuwa kazi hiyo kutofanyika kwa muda uliopangwa bila maelezo ya kutosheleza ni ukiukwaji wa sheria zinazosimamia kandarasi katika miradi ya umma? Waache wenye hela zao wapige kelele ili wasikike. Maslahi yenu binafsi hayana nafasi safari hii.
 
Magumashi na figisufigisu zile zile............ hii nchi bana, natamani nihame niende hata sudan kusini
 
Huu ni uhuni. Lugumu ktk hili hakustahili hata kusign mkataba kwasababu si kampuni yake ambayo ilifanya kazi hiyo ya kuvileta na kuvifunga vifaa hivyo kutokana na maelezo ya huyu jamaa. LUGUMI ni DALALI. Na inatisha sana kazi za wizara ya mambo ya ndani ambazo zina husisha usalama wa Taifa na wananchi wake kumpa dalali. Lugumi kapewa fedha. Kaenda nunua kampuni yenye kuuza vifaa vya finger prints na n.k, Nayo hiyo kampuni ikanunua kampuni ingine ya kuvifunga vifaa hivyo. Huu ni uhuni na ufujaji wa pesa za Watanzania. Hapa Serikali imelipa kampuni 3, Kitu ambacho kama ingekuwa ni umakini tungebaki kuilipa kampuni moja ambayo ingefanya kazi zote kwa wakati mmoja. Na vile vile ingekuwa rahisi kuibana kampuni hiyo endapo kutatokea makosa katika undendaji wake. Leo hii ukianza kuzifuata kampuni zote hizo tatu hutofanikiwa kupata majibu ya maana. Kitakacho endelea hapa ni kupigana dana dana na siku zitaenda na " business will be as usual kama asemavyo Rais Magufuli". Magufuli unatakiwa kuwawajibisha walio saini na kuitoa tenda hiyo. Lugumi hahusiki katika hilo. Kupanga ni kuchagua. Hakuna aliye lazimishwa kutoa tenda kwa Lugumi. Wizara na walio husika kumpa Lugumi kazi wanatakiwa kushughulikiwa. Baada ya hapo wizara husika wamtafute Lugumi na wamufungulie mashtaka kwa kushindwa kukamilisha kazi waliyompatia.
 
Ngoja bunge lianze maana hata escrow ilikua na mvutano hivihivi,ila jua likiwaka vizuri kivuli hujitenga na kuonekana vyema
 
Kwa kuwa swali hili lina involve US based company ni rahisi sana kupata ukweli, haya makampuni yakibanwa na mashirika yao ya kijasusi hayanaga namna, hata kama chenji watarudisha tu.

In the meantime kelele zote zingeelekezwa kwa Lugumi, aseme yeye basi kama kashirikiana na Infosys au Biometrica!
Je unakumbuka Richmond Develpment Company LLC. ya Marekani au ulikuwa hujazaliwa?
 
JPM Magufuli alishinda kura ki halali, hakuna kura iliyoibiwa! Ni nyie wapumbavu na malofa ndiyo mnadanganywa na mnakubali upuuzi wa kutumiwa kama toilet paper na mbowe. Nikupe hinti kidogo. Mbowe na genge lake ili waendelee kuwa na wafuasi ktk chaguzi, njia mojawapo ni kuhakikisha wanapinga na kukataa matokeo ili wasiwakatishe tamaa waliowapigia kura, pia ili kutokuwapoteza waliowapigia kura (yaani wajinga kama wewe utakaa kuamini uliibiwa kura maana yake utaishi na hiyo hasira for 5 years) halafu ukija uchaguzi mwingine utakuwa kama mbuzi wa kafara utasema safari iliyopita niliibiwa basi safari hii lazima nipigie tena kwani tumehakikishiwa kuwa hatuwezi kuibiwa (maana hata mamvi naye kajibainisha tena kusema eti next election kura haziibiwi). Kwa kifupi mbowe ni mjaja ktk kucheza na akili za wapumbavu kama wewe, na kawaweza kweli kweli.

Sijui kwa huzuiwi kuwa kwenye jukwaa mpaka sasa hivi, umetumia lugha ya matusi! Pumbavu na na lofa ni hawa wanaotumbuliwa majipu., na nguvu kubwa inatumika kusafisa hilo.... Ritz1 katundika kitu kule fb, ngoja tukifatilie, kinahusu malaria....... hapo kuna home shopping center, Jm, na ruge ,,,,,,, tunanafukunyua
JPM anajijua na anajua kwamba ni rais wa CCM na si wa wa Tz, rais wa wa Tz hata uwaamshe kesho kwenye kura halali na tume huru ya uchachuzi ni Ngoyayi.
Sasa hivi kama Ukawa tungechukuwa nchi kila kitu poa.......
 
Lukoma!nafikiri mtafiti yuko kazini kuja na majibu yote tata,lakini ninachojua polisi iliingia mkataba na Lugumi na Lugumi akatafuta Wamarekani wamarekani nao wakaona hawana haja ya kuja wao wakati kunawazawa wanaweza kuunganisha vifaa hivyo nakufanya installation kwa vituo 108,kunatatizo kubwa Polisi katika vituo vyote vingi vimesimam kwa ukosefu ama wa umeme ama uzembe mwingi,Tumeishi kwa mazoea sana nchi hii hata wenzetu waliopewa dhamana ilikuwa shida kubwa tumsubili mtafiti ashuke na full majibu maana haamini Udaku ama single source
 
Wao kama Infosys hawawezi kukiri kwamba wanauhusiano na Lugumi.Hata hivyo kama nia ya dhati ipo ya kusambaratisha ufisadi nchini na hakuna double standards kama ambavyo imeshadhihirika mpaka sasa,TISS wafanye uchunguzi wa kina kuhusu swala hilo.Ikidhihirika kwamba upo uhusiano wa mashaka,hatua stahiki zichukuliwe dhidi ya Infosys.
Kampuni ya INFOSYS IPS (T) LTD imekanusha taarifa zinazoenezwa katika mitandao ya kijamii kwamba kampuni hiyo inahusika na inashirikirikiana na Lugumi Enterprises katika kashfa ya ubadhirifu.

Katika habari zilizosambaaa inasemekana kwamba kampuni ya Infosys ilipokea mabilioni ya shilingi kutoka katika kampuni ya Lugumi, jambo ambalo wao wanadai si la kweli na ni la kupuuzwa na umma.

'Hatujawahi kufanya biashara na kampuni ya Lugumi Enterprises' Amesisitiza Bwana Sweki Donald, Naibu Meneja Mkuu Infosys IPS (T) LTD.

Video:
 
Wanaomchukia Rais Dr.JPM sio wapinzani ni wanachama wenzetu humu humu, kagusa maslahi ya wakubwa katika CCM. Mungu amlinde huyu Rais, nchi inyoke maana ilikuwa imepinda. Kumbuka alisema nchi ilikuwa inaongozwa hovyo hovyo. Kuirudisha kwenye mstari sahihi kuna hitajika ujasiri wake tu, wengine walishindwa. YEYE HATASHINDWA, HE IS ON THE RIGHT TRUCK NOW
 
Wanaomchukia Rais Dr.JPM sio wapinzani ni wanachama wenzetu humu humu, kagusa maslahi ya wakubwa katika CCM. Mungu amlinde huyu Rais, nchi inyoke maana ilikuwa imepinda. Kumbuka alisema nchi ilikuwa inaongozwa hovyo hovyo. Kuirudisha kwenye mstari sahihi kuna hitajika ujasiri wake tu, wengine walishindwa. YEYE HATASHINDWA, HE IS ON THE RIGHT TRUCK NOW

Nchi hii iko hoi bin taaban kwa sababu ya utawala uliopita, kisiasa na na ki kimajipu ukimuhusisha JPM. Isitoshe yeye ni ni Rais aliyeokota dodo kwenye muarobaini.... naye
anajua ni ni akina nani wamemfanya awe rais
 
Hivi kuna haja ya kutafuta ushahidi mwiingi wakati tunaona kabisa huyo jamaa keshachafuka...

Kuna haja gani Magufuli kuendelea na huyo jamaa anayemtia doa wakati wapo wengi tu wanaoweza kuhudumu kwenye hiyo nafasi?

Tena nashangazwa sana na wanaohusisha mambo ya Kitwanga na serikali ya Magufuli... jamaa ahukumiwe kivyake...
 
Wanaomchukia Rais Dr.JPM sio wapinzani ni wanachama wenzetu humu humu, kagusa maslahi ya wakubwa katika CCM. Mungu amlinde huyu Rais, nchi inyoke maana ilikuwa imepinda. Kumbuka alisema nchi ilikuwa inaongozwa hovyo hovyo. Kuirudisha kwenye mstari sahihi kuna hitajika ujasiri wake tu, wengine walishindwa. YEYE HATASHINDWA, HE IS ON THE RIGHT TRUCK NOW

Acheni kumhusisha Magufuli na madudu ya Kitwanga... Kama amechafuka ni yeye, sio Magufuli.
 
Nani kakwambia alichosema ni ukweli? Kwani hawezi kudanganya? Yaani unaamini maneno ya mshukiwa? Je ulitegemea akubali? Watanzania ni wangese sana ndio maana tunaliwa kila kukicha! Yaani mlalamikiwa akubali shtaka ama kweli Tanzania yangu pongo na nyumbu ni wa kutisha! Ukiona chombo huru kimechukunguza na kusema hayo ndio utoke kwenye shimo Kuja kuchangia utumbo kama huu

Mkubwa, hii ishu ya mkataba wa kampuni hii ni very complicated.

Kwani kumbe nje ya kampuni hii kulipwa 99% ya fedha ya makubaliano ya mkataba sawa na Tshs. 34bn kati ya 37bn, pia mshauri mwelekezi (consultant) wa mradi huu ambao ni kama haujafanyika naye amelipwa Tshs. 46bn nje ya zile zilizopo ktk mktaba!!

Si hivyo tu, bali kampuni hii ilitumia kiasi kingine cha Tshs. 5bn kwa mafunzo ya watu watano nje ya nchi na hizi pia zikiwa nje ya fedha za mkataba wenyewe!!

Kwa hiyo tunapoongelea fedha iliyolipwa kwa kampuni hii tayari na kupotea kifisadi tu ni jumla ya 34bn + 46bn + 5bn = Tshs. 85bn!!

Just imagine, 85bn zinapotea kwa njia ya "mkataba hewa" halafu kuna watu humu wanasema "vijana tuache kuendekeza siasa...", nadhani wakimaanisha tunyamaze kimya,tusihoji!!

Hili haliwezekani kamwe kwa sababu hizi ni fedha zetu kutokana na kodi tunayolipa..... lazima tuendelee kuhoji na tuhakikishe kila anayetajwa kuhusika kwa namna hii au ile awe Kitwanga au Lugumi au Ridhiwan Kikwete anaibuliwa popote alipo na hatua zichukuliwe!!

Kwa kweli tukatae "double standard" ya vita ya kupigana na ufisadi na kutumbua majipu. Popote jibu lilipo likamuliwe tu.

Inasikitisha sana, kwamba jana niliona taarifa ya habari ITV mhandisi wa maji wa wilaya ya Rorya - Mara pamoja kampuni iliyotekeleza mradi wakitiwa pingu (sema wakitumbuliwa) kwa amri ya RC Mulongo kwa kushindwa kusimamia mradi wa maji ktk kijiji kimoja huko wenye thamani kama Tshs 200 milioni na kitu hivi.

Hakukuwa na ushahidi wa kuliwa pesa wala nini wa moja kwa moja wa hawa watu, bali ni kile tu kinachoitwa "kuisaidia polisi" ktk uchunguzi wao.

Leo mkataba wa Polisi na Lugumi una siri gani eti hata tushuhudie sarakasi zenye kila dalili za kulindana!!??
 
Haijalishi nani ni muanzulishi wa uzi, ila kilichomo ni maelezo yaliyonyooka tu, next step kwa wanahabari ni kuitafuta Biometrica na kupata ufafanuzi wao juu ya hii issue, maana maistream ya habari tz haitaki kutafuta ukweli, wao ni kupakua habari jamiiforums na kuziweka kwenye magazeti yao tu.
Jamii forums ambayo watu wanaochangia "wamejificha" ndio chanzo kikuu cha kupata habari kwa vyombo vingi..hawajui za kuambiwa changanya na zakwako
 
Jamii forums ambayo watu wanaochangia "wamejificha" ndio chanzo kikuu cha kupata habari kwa vyombo vingi..hawajui za kuambiwa changanya na zakwako
Yani leo wanaandika hiki, kesho wanakwapua info mitandaoni wanaandika kile, keshokutwa kingine.
Hili swala wala hawakuhitaji mlolongo mrefu, wangeaza kwa Lugumi, wakafuata na Biometrica, wakamaliza na Infosys. Ndio wakatuletea habari.
 
Back
Top Bottom