Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Ok sasa hawa waliumba binadamu pekee yake ana hadi akina sisismizi, tembo, mamba,chatu na mimea yote ? Kama SIO hivyo aliumba nani ? Na kama NDIO mbn hakuna hadithi zakeYes huyo ni mother goddess anampa uhai huyo kiumbe,
Hii ndio prove mojawapo ya kwamba Annunak walifanya
Human creation through Advanced technology!
Kuna nadharia mbili zenye utata kuhusu Anunaki mosi ni ile inayosema waliwakuta viumbe primitive hapa Duniani wakawaongezea DNA,Ok sasa hawa waliumba binadamu pekee yake ana hadi akina sisismizi, tembo, mamba,chatu na mimea yote ? Kama SIO hivyo aliumba nani ? Na kama NDIO mbn hakuna hadithi zake
Sawa sawa nakupata vyema means kuna mwenye uwezo zaidi ya wao ? Annunak ni jamii au kundi fulani hv kutoka huko kwao ?Kuna nadharia mbili zenye utata kuhusu Anunaki mosi ni ile inayosema waliwakuta viumbe primitive hapa Duniani wakawaongezea DNA,
Nyingine ni ile walitumia genetic Manipulation yaani walichukua DNA zao wakafanya kiumbe wa kufanana nao au vyote kwa pamoja,
Wao wanadai Ulimwengu ikiwemo na wao uliumbwa na Father of all,
Ila wao ndio wakamuumba Mwanadamu na kwenye tablets zao inaandikwa ubishani Kati yao namna wanavyopingana kumuumba Mwanadamu Sio jukumu lao ila wanakubaliana hawaumbi ila wanafanya genetic Manipulation!
Sawa sawa nakupata vyema means kuna mwenye uwezo zaidi ya wao ? Annunak ni jamii au kundi fulani hv kutoka huko kwao ?
Hao viumbe waliokuwepo kabla ya binadamu nafikiri ni wale Malaika walioasi na kutupwa dunianiKuna ushuhuda mmoja wa mama mmoja wa kinijeria alilisema kuhusu uwepo wa viumbe vilivyokaa duniani miaka na miaka na wao wanaamini walimilikishwa hii dunia. Ukisoma "Ezekieli 28" wanapoongelea kuhusu Mfalme wa Tiro aliyekuwa kerubi ambaye alitembea kwenye mlima Mtakatifu wa Mungu kwani yeye ndiye alikuwa "mtawala wa nchi" sasa alipopewa mwanadamu nchi aitawale ndipo iliyosababisha "amjaribu na kumuangusha mwanadamu".
Hao wanefeli ni zao la Malaika walioasi na binadamu yaani Hao Malaika waasi walizaa na binadamuMwanzo 6:4
4 Wanefili walikuwako duniani siku hizo, na baadaye, hao wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu na kuzaa nao. Wanefili walikuwa mashujaa na watu waliojulikana wa zamani hizo.
Hesabu 13:33
33 Tuliwaona Wanefili huko (wazao wa Anaki wanatokana na Wanefili.) Tulijiona kama panzi machoni petu wenyewe, nao ndivyo walivyotuona.β
Mkuu hatari sana Haya mambo ngoja kwanza kabla sijakupa maelezo angalia huu kwanza,angalia vizuri uone mwenyewe kama hao walikua ni viumbe wa kawaida!
Ukweli ni kwamba kulikuwa na Malaika waasi na Mungu alipoamua kumuuamba binadamu wenyewe wakaamua kuzaa na binadamu ndo hao Majiants wakazaliwa na wakawa na uwezo na maarifa makubwa na binadamu.na wakati na miili mikubwa wanaanza kuwamaliza binadamu wa kawaida.Malaika wa mbinguni wakaona vita kubwa ikatokea.Dunia iliwahi kaliwa na Race ya Annunak ambao walitoka Sayari Ya Nibiru kwa malaki ya miaka hao ndio waliochimba dhahabu kwa 90%
Na iliyobaki ndio hii tuliyobaki nayo leo na wakaipeleka kwao na hao ndio viumbe walioitwa Miungu katika Dunia ya kale,
Kuna mambo makubwa yatakayo kushangaza ukianza fuatilia Haya mambo na ni very complicated kiasi kwamba itakubidi uingie darasani na kutenga muda kuyajua!
Acha upotoshaji hao sio miungu ni Malaika waasi na mkuu wao shetani.hao Malaika waasi wakazaa na binadamu na hao Majiants wakazaliwa.ndo waliowafundisha binadamu maarifa mbalimbali.Kingine hao walikua magiant sana yaani hapo binadamu kwao ni kama wewe unavyomwangalia nyau π
Kiufupi hao miungu walikua ni waajabu sana just imagine huyu ndio Lord Enki na huo ndio tree of life akichota ma power!
LieKuna nadharia mbili zenye utata kuhusu Anunaki mosi ni ile inayosema waliwakuta viumbe primitive hapa Duniani wakawaongezea DNA,
Nyingine ni ile walitumia genetic Manipulation yaani walichukua DNA zao wakafanya kiumbe wa kufanana nao au vyote kwa pamoja,
Wao wanadai Ulimwengu ikiwemo na wao uliumbwa na Father of all,
Ila wao ndio wakamuumba Mwanadamu na kwenye tablets zao inaandikwa ubishani Kati yao namna wanavyopingana kumuumba Mwanadamu Sio jukumu lao ila wanakubaliana hawaumbi ila wanafanya genetic Manipulation!
Tatizo lako unataka uelezee Annunak Chronicles kirahisi sana kama umesoma history kwenye bible verse na unajifanya mjuaji nakupa pole sana Hao unaowaita Malaika wenzako wasumeria,Kemet,India, Wamaya,Waaztec Wana vitabu vyaoAcha upotoshaji hao sio miungu ni Malaika waasi na mkuu wao shetani.hao Malaika waasi wakazaa na binadamu na hao Majiants wakazaliwa.ndo waliowafundisha binadamu maarifa mbalimbali.
Najua unajua ni Malaika na mimi najua hivyo ila wenzio tumejiongeza kusoma na Maandiko mengine kuwajua Hao kwa kina,,πUkweli ni kwamba kulikuwa na Malaika waasi na Mungu alipoamua kumuuamba binadamu wenyewe wakaamua kuzaa na binadamu ndo hao Majiants wakazaliwa na wakawa na uwezo na maarifa makubwa na binadamu.na wakati na miili mikubwa wanaanza kuwamaliza binadamu wa kawaida.Malaika wa mbinguni wakaona vita kubwa ikatokea.
Hii comment Yako iende kwa passioner255Sii vibaya sana kufikiri nje box, ni hatua nzuri, lakini ingia ndani zaidi Ili kujua chanzo chote cha ustaarabu huu, dini hizi nk. Kiufupi ni kuwa dunia ilianza na dini zilianzia ktk ustaarabu wa jamii, ya Wasumeriani, hawa waliamdika historia ya jinsi dunia ilivyotengenezeka, binadamu alivyo endelezwa, kuuzwa, badilishwa/modified kwa genetic engineering, akapewa teknolojia na kupata maendeleo makubwa sana enzi zile, "golden age" nk.
Shida yetu kubwa WATANGANYIKA ni wavivu wa kusoma, kufutilia historia na kufanyia utafiti.
Tuanze sasa.
Hapana mkuu, kulikuwa na maisha kabla yetu.Hao viumbe waliokuwepo kabla ya binadamu nafikiri ni wale Malaika walioasi na kutupwa duniani