Inga Stone; Jiwe, Mwamba wenye fumbo utata maajabu na maswali yasiyo na majibu kwa Binadamu wa kizazi hiki!

Inga Stone; Jiwe, Mwamba wenye fumbo utata maajabu na maswali yasiyo na majibu kwa Binadamu wa kizazi hiki!

Huko baharini wamefanya kipi cha ajabu, hawakasiriki binadamu kuvamia makazi yao, kurusha makombora huko, kupitisha nyambizi, meli kubwa.
Kero zote hizo hawajitokezi kukemea?
Binadamu anaitumia bahari kwa 2.0,% tu kuna sehemu hata hakuna aliyegusa maana hata kupeleka vyombo huko ni very risk just imagine Mariana trench kunavyotisha vile fa masikhara nini?
 
Mwanzo 6:4
4 Wanefili walikuwako duniani siku hizo, na baadaye, hao wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu na kuzaa nao. Wanefili walikuwa mashujaa na watu waliojulikana wa zamani hizo.



Hesabu 13:33
33 Tuliwaona Wanefili huko (wazao wa Anaki wanatokana na Wanefili.) Tulijiona kama panzi machoni petu wenyewe, nao ndivyo walivyotuona.”
 
Kwema wanajamvi jukwaa la wenye kuumiza vichwa?

Basi powa twende sasa,
Huko Paiba Brazil kuna Mwamba au Jiwe kubwa lenye 250 feet in Length,

Hilo limwamba ligumu lina michoro ya kushangaza sana,
Michoro hiyo inayokadiriwa kua na umri wa miaka 6,0000 kwa makadirio ya kawaida inaacha utata mkuu mno kwa namna ilivyo na ukilinganisha na historia ya Humanoid katika Dunia hii yaani kama babu zetu walikuwepo basi walikua primitive au Nyani kabisa huku misitu ya kongo (joking)

Ila katika hali ya kushangaza michoro ya Inga stone imechorwa kwa ustadi na technology ambayo hata leo na ujanja wetu hatujaufikia bado!

Inga stone limechorwa alama mbali mbali kama wanyama wa ajabu ambao katika kizazi hiki hawaexist,vile vile kuna mimea na viumbe wa ajabu ajabu,

Kubwa kuliko yote ni michoro yenye kuhitaji sayansi kubwa kuitambua yaani mifumo nyota katika Ulimwengu huu namaanisha
Constallations kama Milkiway na Orion
Hapa ndipo penye utata!

Nani miaka zaidi 6,0000 iliyopita alijua mambo hayo?
Je ni Humanoid sisi au kuna viumbe wengine nje yetu yaani Alliens walifanya ujuzi huo wa ajabu?

Mbali na hayo maumbo mbali mbali ya Geometry pia Zoomorphic figure na celestial bodies za kushangaza sana,

Jiwe hili ni Moja ya mamia ya site zenye utata mkubwa hapa Duniani kama Mapyramids,Matemple ya miamba,mapango na Underground tunnel zinazounganisha Dunia katika hali ya kushangaza
Just imagine temple kama Kailasa lililopo huko India ni tech gani iliyotumika kuichonga katika Mwamba mgumu namna ya kushangaza vile?
Nani alijenga Spaceships grounds huko Baalbek?
Yaani miaka 6,0000 huko nyuma watu walienda space?

Wamaya na Aztec wanaacha utata hasa wanapomtaja mungu wao Quetzalcoatl aliyekua na flying machine, au Wamisri na wahindi wakisema miungu yao ilikuja kutoka juu bado ni utata!

Dunia ya kale ilipata kupitia kipindi chenye maendeleo ya kushangaza kiasi kwamba bado ni fumbo na kiza kwa watu wa leo,

Hakuna chanzo maalumu cha kutoa miongozo kwa namna gani Science na teknolojia ya kale ilifika mbali mara elfu kuliko leo kiasi kwamba inaacha utata mkubwa,
Wengi wetu tunahusisha masuala Haya na viumbe ambao ni Extraterrestrial waliodaiwa kuwepo kwenye Dunia yetu miaka Mingi nyuma kabla yetu maana kiuhalisia historia ya Mwanadamu bado changa ila mambo yaliyofanyika yanaonesha ni makongwe kuliko hesabu za uwepo wetu hapa Duniani,
Je kuna baadhi ya secret Society zinajua ukweli huu na sinaficha siri kwa ajenda zao maana hata baadhi ya taasisi kama UNESCO zenye majukumu ya kutunza mambo kale hua na majibu mepesi kwa maswali magumu juu ya baadhi ya sites wanazotunza na ukweli wa historia ya kweli uliofichwa,
Inga stone inawaumbua kwa kutotambua ustaraabu unaohusishwa na viumbe wageni kuwahi wepo hapa Duniani kwa mamilioni ya miaka iliyopita!

Bado najifunza!
Mshana Jr Artificial intelligence Maghayo Da Vinci XV zitto junior LIKUD JamiiForums
Naomba niandike huo mwaka 6,0000 kwa maneno ili tujue unamaanisha miaka mingapi iliyopita.
 
Haviendani kivipi?
Kipi hujaelewa hapo ufafanuliwe mkubwa!
Umesifia sana iyo michoro ila mimi nimeizooom sijaona chochote cha maana.. generation hii ni bora kuliko hao waliochora hiyo miamba, kwasababu hatujaishia tu kuchora bali tunafanya vitu vinavo onekana na kuleta matokeo makubwa...
Ukiulizwa hiyo michoro iliwasaidia nini utasasema?
 
Umesifia sana iyo michoro ila mimi nimeizooom sijaona chochote cha maana.. generation hii ni bora kuliko hao waliochora hiyo miamba, kwasababu hatujaishia tu kuchora bali tunafanya vitu vinavo onekana na kuleta matokeo makubwa...
Ukiulizwa hiyo michoro iliwasaidia nini utasasema?
Labda hujajipa muda wa kufuatilia na kudadisi kuhusu accient civilization,
Leo hatuna tech ya kuwafikia hao hata robo ndio safari inaanza tena kwa ku copy hao hao mfano hata huu umeme tunaotumia wa AC Nicola Tesla alicalculate formula alizopata kwenye tablet za Khemet tena anaenda mbali na kusema zile Pyramids za giza zilitumika kama Magnetic wireless Power plant za kuzalisha umeme ulitumika na gods Annunak kuendesha migodi ya dhahabu na kuendesha Spaceships to space,
Kumbuka hiyo michoro hapo inaonesha Constallations kama Orion na Andromeda ambapo huko zinatoka race za reptilian zilizowahi kuexist hapa Duniani mamilioni ya miaka iliyopita kabla binadamu hajakuwepo,

Ndio maana kama unataka kujua hayo mamichoro inatakiwa ujue historia ya Humanoid hapa Duniani na ulinganishe tech iliyotumika kuichonga hapo!
 
Umesifia sana iyo michoro ila mimi nimeizooom sijaona chochote cha maana.. generation hii ni bora kuliko hao waliochora hiyo miamba, kwasababu hatujaishia tu kuchora bali tunafanya vitu vinavo onekana na kuleta matokeo makubwa...
Ukiulizwa hiyo michoro iliwasaidia nini utasasema?
Kingine hiyo michoro ni Symbols na signals kama zilivyo Nazca lines kule Peru au zile Baalbek stone zinazoonesha Spaceship ground!
 
Kwema wanajamvi jukwaa la wenye kuumiza vichwa?

Basi powa twende sasa,
Huko Paiba Brazil kuna Mwamba au Jiwe kubwa lenye 250 feet in Length,

Hilo limwamba ligumu lina michoro ya kushangaza sana,
Michoro hiyo inayokadiriwa kua na umri wa miaka 6,0000 kwa makadirio ya kawaida inaacha utata mkuu mno kwa namna ilivyo na ukilinganisha na historia ya Humanoid katika Dunia hii yaani kama babu zetu walikuwepo basi walikua primitive au Nyani kabisa huku misitu ya kongo (joking)

Ila katika hali ya kushangaza michoro ya Inga stone imechorwa kwa ustadi na technology ambayo hata leo na ujanja wetu hatujaufikia bado!

Inga stone limechorwa alama mbali mbali kama wanyama wa ajabu ambao katika kizazi hiki hawaexist,vile vile kuna mimea na viumbe wa ajabu ajabu,

Kubwa kuliko yote ni michoro yenye kuhitaji sayansi kubwa kuitambua yaani mifumo nyota katika Ulimwengu huu namaanisha
Constallations kama Milkiway na Orion
Hapa ndipo penye utata!

Nani miaka zaidi 6,0000 iliyopita alijua mambo hayo?
Je ni Humanoid sisi au kuna viumbe wengine nje yetu yaani Alliens walifanya ujuzi huo wa ajabu?

Mbali na hayo maumbo mbali mbali ya Geometry pia Zoomorphic figure na celestial bodies za kushangaza sana,

Jiwe hili ni Moja ya mamia ya site zenye utata mkubwa hapa Duniani kama Mapyramids,Matemple ya miamba,mapango na Underground tunnel zinazounganisha Dunia katika hali ya kushangaza
Just imagine temple kama Kailasa lililopo huko India ni tech gani iliyotumika kuichonga katika Mwamba mgumu namna ya kushangaza vile?
Nani alijenga Spaceships grounds huko Baalbek?
Yaani miaka 6,0000 huko nyuma watu walienda space?

Wamaya na Aztec wanaacha utata hasa wanapomtaja mungu wao Quetzalcoatl aliyekua na flying machine, au Wamisri na wahindi wakisema miungu yao ilikuja kutoka juu bado ni utata!

Dunia ya kale ilipata kupitia kipindi chenye maendeleo ya kushangaza kiasi kwamba bado ni fumbo na kiza kwa watu wa leo,

Hakuna chanzo maalumu cha kutoa miongozo kwa namna gani Science na teknolojia ya kale ilifika mbali mara elfu kuliko leo kiasi kwamba inaacha utata mkubwa,
Wengi wetu tunahusisha masuala Haya na viumbe ambao ni Extraterrestrial waliodaiwa kuwepo kwenye Dunia yetu miaka Mingi nyuma kabla yetu maana kiuhalisia historia ya Mwanadamu bado changa ila mambo yaliyofanyika yanaonesha ni makongwe kuliko hesabu za uwepo wetu hapa Duniani,
Je kuna baadhi ya secret Society zinajua ukweli huu na sinaficha siri kwa ajenda zao maana hata baadhi ya taasisi kama UNESCO zenye majukumu ya kutunza mambo kale hua na majibu mepesi kwa maswali magumu juu ya baadhi ya sites wanazotunza na ukweli wa historia ya kweli uliofichwa,
Inga stone inawaumbua kwa kutotambua ustaraabu unaohusishwa na viumbe wageni kuwahi wepo hapa Duniani kwa mamilioni ya miaka iliyopita!

Bado najifunza!
Mshana Jr Artificial intelligence Maghayo Da Vinci XV zitto junior LIKUD JamiiForums
Hamna cha ajabu hata chembe.Na miaka 6000 nyumba katika umri wa dunia ni karibuni sana.Sasa sijui umeshangazwa na nini.
Kama kuna cha kujifunza ni kuwa waliojua hayo mambo yanayoonekana ya ajabu walifunzwa na yule yule anayetupatia ujuzi sisi wa sasa.Ambae kuwepo kwake hakuna mwanzso na mwisho wake haupo.
 
Labda hujajipa muda wa kufuatilia na kudadisi kuhusu accient civilization,
Leo hatuna tech ya kuwafikia hao hata robo ndio safari inaanza tena kwa ku copy hao hao mfano hata huu umeme tunaotumia wa AC Nicola Tesla alicalculate formula alizopata kwenye tablet za Khemet tena anaenda mbali na kusema zile Pyramids za giza zilitumika kama Magnetic wireless Power plant za kuzalisha umeme ulitumika na gods Annunak kuendesha migodi ya dhahabu na kuendesha Spaceships to space,
Kumbuka hiyo michoro hapo inaonesha Constallations kama Orion na Andromeda ambapo huko zinatoka race za reptilian zilizowahi kuexist hapa Duniani mamilioni ya miaka iliyopita kabla binadamu hajakuwepo,

Ndio maana kama unataka kujua hayo mamichoro inatakiwa ujue historia ya Humanoid hapa Duniani na ulinganishe tech iliyotumika kuichonga hapo!
Hivo vitu unavo nitajia nivigeni kwangu ntajaribu kuvigugo nione pengine naweza pata elim mpya? Ila yoote unayo sema niyakufikirika watu wa sasa wamefanya makubwa yanayo onekana, mbona hatuoni impact ya hsyo mamichoro?
 
Hivo vitu unavo nitajia nivigeni kwangu ntajaribu kuvigugo nione pengine naweza pata elim mpya? Ila yoote unayo sema niyakufikirika watu wa sasa wamefanya makubwa yanayo onekana, mbona hatuoni impact ya hsyo mamichoro?
Duu aisee mkuu huo ni ustaraabu wa kale mkuu,
Kiufupi hii Dunia iliwahi pitia maendeleo makubwa sana katika Science na Teknolojia mara elfu kuliko tulivyo leo,

Ushahidi wa kimazingira unaonesha hapo kale Dunia ilipata kua na ustaraabu unaohusishwa na viumbe wageni yaani Alliens,
Either ni Humanoid, Reptilian nk ambao waliweza kufanya mambo beyond of limitations kiasi kinachoacha ushihidi wa kushangaza sana!
 
Duu aisee mkuu huo ni ustaraabu wa kale mkuu,
Kiufupi hii Dunia iliwahi pitia maendeleo makubwa sana katika Science na Teknolojia mara elfu kuliko tulivyo leo,

Ushahidi wa kimazingira unaonesha hapo kale Dunia ilipata kua na ustaraabu unaohusishwa na viumbe wageni yaani Alliens,
Either ni Humanoid, Reptilian nk ambao waliweza kufanya mambo beyond of limitations kiasi kinachoacha ushihidi wa kushangaza sana!
Mfano?
 
Hamna cha ajabu hata chembe.Na miaka 6000 nyumba katika umri wa dunia ni karibuni sana.Sasa sijui umeshangazwa na nini.
Kama kuna cha kujifunza ni kuwa waliojua hayo mambo yanayoonekana ya ajabu walifunzwa na yule yule anayetupatia ujuzi sisi wa sasa.Ambae kuwepo kwake hakuna mwanzso na mwisho wake haupo.
Naona kwako hakuna ajabu ok ngoja sisi tunaoshangaa tuendelee kushangaa,
 
Mwanzo 6:4
4 Wanefili walikuwako duniani siku hizo, na baadaye, hao wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu na kuzaa nao. Wanefili walikuwa mashujaa na watu waliojulikana wa zamani hizo.



Hesabu 13:33
33 Tuliwaona Wanefili huko (wazao wa Anaki wanatokana na Wanefili.) Tulijiona kama panzi machoni petu wenyewe, nao ndivyo walivyotuona.”
Dah..hii.mistari inafirikisha sana
 
Back
Top Bottom