MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kwa ninavyowajua Marehemu wengine ( hasa Kisaikolojia ) walipokuwa Kamili ( Hai na Kinguvu pia ) kuna uwezekano Waombolezaji tungeumbuliwa nao, tungewambwa ( tungezabwa Vibao nao ) na kuna taratibu zingine tunazowafanyia wangezikataa Mubashara tu kwani wangeona ni Unafiki mtupu na Sanifu tu Kwao.
Ni bahati nzuri tu na yawezekana Baba Muumba ( Mwenyezi Mungu ) alikuwa na Makusudi yake kabisa kwamba Ukifa ( Ukifariki ) tu badi huwezi Kujitambua tena na wala huna hata uwezo wa Kufanya lolote sana sana ni kusubiria tu Ukazikwe zako ili uanze Kuoza na kuwa Mbolea kwa Mazao yetu / Ardhi zetu.
Ni bahati nzuri tu na yawezekana Baba Muumba ( Mwenyezi Mungu ) alikuwa na Makusudi yake kabisa kwamba Ukifa ( Ukifariki ) tu badi huwezi Kujitambua tena na wala huna hata uwezo wa Kufanya lolote sana sana ni kusubiria tu Ukazikwe zako ili uanze Kuoza na kuwa Mbolea kwa Mazao yetu / Ardhi zetu.