GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Ukiacha Msumbiji ambayo ilipata uhuru wake mwaka 1975, nchi zingine zote zinazoizunguka "Tanganyika" zilipewa uhuru miaka ya 1960's.
Sasa chukulia Tanganyika ingeendelea kutawaliwa na Wakoloni hadi mwaka 2005, hali ingekuwaje?
Kwamba, labda Ujerumani ingeitawala tokea mwaka 1891 hadi 1975, na kisha Mwingereza kutoka mwaka 1975 hadi 2005 ndiyo Watanganyika wakakabidhiwa nchi yao, hali ingekuwaje?
Majirani zetu wangekuwa wanatuonaje kwa sasa? Wangekuwa wanatuzodoa au wangekuwa wanatuonea wivu?
Tanganyika ingefanana na South Africa au ingechoka kuzidi nchi iliyo choka mbaya Afrika Mashariki kwa sasa?
Watanganyika wangekuwa wanasemaje, "Wazungu wametuchelewesha sana", au, "Bora Mzungu katucheleweshea uhuru?"
Huu ni mfano tu wenye lengo la kufikirisha! Don't take it seriously, please!!!
Sasa chukulia Tanganyika ingeendelea kutawaliwa na Wakoloni hadi mwaka 2005, hali ingekuwaje?
Kwamba, labda Ujerumani ingeitawala tokea mwaka 1891 hadi 1975, na kisha Mwingereza kutoka mwaka 1975 hadi 2005 ndiyo Watanganyika wakakabidhiwa nchi yao, hali ingekuwaje?
Majirani zetu wangekuwa wanatuonaje kwa sasa? Wangekuwa wanatuzodoa au wangekuwa wanatuonea wivu?
Tanganyika ingefanana na South Africa au ingechoka kuzidi nchi iliyo choka mbaya Afrika Mashariki kwa sasa?
Watanganyika wangekuwa wanasemaje, "Wazungu wametuchelewesha sana", au, "Bora Mzungu katucheleweshea uhuru?"
Huu ni mfano tu wenye lengo la kufikirisha! Don't take it seriously, please!!!