Ingelikuwaje Kama Tanganyika Ingelipata Uhuru Wake Kwa Kuchelewa Kuliko Majirani Zake, Tuseme 2005?

Ingelikuwaje Kama Tanganyika Ingelipata Uhuru Wake Kwa Kuchelewa Kuliko Majirani Zake, Tuseme 2005?

Nami nahisi hivyo.

Inawezekana tungekuwa na VIWANDA vya magari, simu, tv, n.k.

Tungekuwa na VIWANDA vya silaha nzito nzito, pengine hata za nuklia.

Inawezekana kusingekiwepo na nyumba za nyasi wala kaya zisizo na umeme na maji safi.

Inawezekana raia kutoka nchi nyingi za Kiafrika na nje ya Afrika wangekuwa wanajitahidi kuzamia ili nao waionje "asali" iliyosheheni Tanzania.

Inawezekana wazee na watu wasio na ajira wangelikuwa wanapewa allowance maalum ya kujikimu kimaisha.

Inawezekana Tanzania ingekuwa kama Dubai.

Inawezekana Tanzania ingekuwa ni miongoni mwa donors countries dunianai

Inawezekana, Tanzania ingekuwa ni Ulaya au Marekeni ya Afrika.

Inawezekana...!!!
Kabisa! Uafrika kazi sana mkuu!
 
2005 UN,AU,EAC na watetea haki wote washaamka isingewezekana labda 1999 kushuka chini
By the way
~Tsh ingekuwa kama dollar
~World Cup ingepigwa hapa kabla hata ya bondeni
~Wangetunusuru na mkoloni mweusi(CCM)
~Miundombinu ingekuwa imara tungekua na SGR za kutosha,Subway daraja la Dar-Znz Mza-Busisi
~Viwanda vya kutosha(Complex kabisa)Kama vya kutengeneza Magari,Fridge,Simu,PC na genuine Gadgets nyingine
~Nchi zinazotuzunguka zingekuwa zinathamini/kutamani kusoma Elimu yetu
~Jeshi lingekuwa imara sana kiasi kwamba linaweza kudindiana na nchi za magharibi au kiduku mfano ungesikia ((Tanzania yaionya Korea kusini juu ya milipuko holela inayosababisha mabadiliko ya Tabia nchi))
~Wawekezaji wangetamani kuwekeza TZ
~Our Technology rate would be superb
~Life expectancy rate ingeongezeka to 75+ years

Changamoto:

~Uhalifu kuongezeka kama S.A
~Migration rate kuongezeka kupita kiasi(Watu kutoka nchi jirani wangeingia sana nchini)
~Siasa zisizoeleweka
~ Overpopulation(Dzm hapo kkoo pangekuwa hapapitiki)
~Vurugu na migomo ya mara kwa mara..kwanini(kwasababu kwenye nchi zilizoendelea watu wanajielewa ikitokea hawaelewi kitu na viongozi wanawapiga kamba lazima waandamane tofauti na zinazoendelea illiteracy ni kubwa mamtu yanapelekwa kama Ng'ombe tu hakuna wa kureason wala nini)
~Madawa ya kulevya yangeongezeka

Imperialism complex mkoloni alikuwa anapenda kujenga sehemu anayoishi (Settlement) kwaiyo hapa TZ kwa ufupi tungetoka kwenye mfumo wa (Developing country) ambayo mtoto wa kitanzania anapozaliwa anaambiwa hii ni nchi inayoendelea mpaka anakuwa mzee na Kukata moto anasikia tu ni (Nchi inayoendelea) instead tungekuwa Developed country

EPUKA MATAPELI WAKOLONI WEUOE RUDINI MTUTAWALE TU *****
 
2005 UN,AU,EAC na watetea haki wote washaamka isingewezekana labda 1999 kushuka chini
By the way
~Tsh ingekuwa kama dollar
~World Cup ingepigwa hapa kabla hata ya bondeni
~Wangetunusuru na mkoloni mweusi(CCM)
~Miundombinu ingekuwa imara tungekua na SGR za kutosha,Subway daraja la Dar-Znz Mza-Busisi
~Viwanda vya kutosha(Complex kabisa)Kama vya kutengeneza Magari,Fridge,Simu,PC na genuine Gadgets nyingine
~Nchi zinazotuzunguka zingekuwa zinathamini/kutamani kusoma Elimu yetu
~Jeshi lingekuwa imara sana kiasi kwamba linaweza kudindiana na nchi za magharibi au kiduku mfano ungesikia ((Tanzania yaionya Korea kusini juu ya milipuko holela inayosababisha mabadiliko ya Tabia nchi))
~Wawekezaji wangetamani kuwekeza TZ
~Our Technology rate would be superb
~Life expectancy rate ingeongezeka to 75+ years

Changamoto:

~Uhalifu kuongezeka kama S.A
~Migration rate kuongezeka kupita kiasi(Watu kutoka nchi jirani wangeingia sana nchini)
~Siasa zisizoeleweka
~ Overpopulation(Dzm hapo kkoo pangekuwa hapapitiki)
~Vurugu na migomo ya mara kwa mara..kwanini(kwasababu kwenye nchi zilizoendelea watu wanajielewa ikitokea hawaelewi kitu na viongozi wanawapiga kamba lazima waandamane tofauti na zinazoendelea illiteracy ni kubwa mamtu yanapelekwa kama Ng'ombe tu hakuna wa kureason wala nini)
~Madawa ya kulevya yangeongezeka

Imperialism complex mkoloni alikuwa anapenda kujenga sehemu anayoishi (Settlement) kwaiyo hapa TZ kwa ufupi tungetoka kwenye mfumo wa (Developing country) ambayo mtoto wa kitanzania anapozaliwa anaambiwa hii ni nchi inayoendelea mpaka anakuwa mzee na Kukata moto anasikia tu ni (Nchi inayoendelea) instead tungekuwa Developed country

EPUKA MATAPELI WAKOLONI WEUOE RUDINI MTUTAWALE TU *****
Duu! Mkuu, umeamua kuwaiata kabisa!!!
 
Ukiacha Msumbiji ambayo ilipata uhuru wake mwaka 1975, nchi zingine zote zinazoizunguka "Tanganyika" zilipewa uhuru miaka ya 1960's.

Sasa chukulia Tanganyika ingeendelea kutawaliwa na Wakoloni hadi mwaka 2005, hali ingekuwaje?

Kwamba, labda Ujerumani ingeitawala tokea mwaka 1891 hadi 1975, na kisha Mwingereza kutoka mwaka 1975 hadi 2005 ndiyo Watanganyika wakakabidhiwa nchi yao, hali ingekuwaje?

Majirani zetu wangekuwa wanatuonaje kwa sasa? Wangekuwa wanatuzodoa au wangekuwa wanatuonea wivu?

Tanganyika ingefanana na South Africa au ingechoka kuzidi nchi iliyo choka mbaya Afrika Mashariki kwa sasa?

Watanganyika wangekuwa wanasemaje, "Wazungu wametuchelewesha sana", au, "Bora Mzungu katucheleweshea uhuru?"

Huu ni mfano tu wenye lengo la kufikirisha! Don't take it seriously, please!!!
Nilikua nataminigi kujua matokeo ya hichi ulichouliza, ngoja nipitie comments naweza kupata kitu.
 
Duu! Mkuu, umeamua kuwaiata kabisa!!!
Tunawahitaji sana mkuu
We got early independence iyo haina umuhimu wowote kwetu inaumuhimu wa kikundi cha watu tu kina JK,Kawawa n.k ambao mpaka leo familia zao zinaishi vizuri due to theit legecy...

lakini kwa group Mkoloni alikuwa anabidi abaki mpaka 1990's nchi zote mkoloni alizochelewa kutoka zinamaendeleo makubwa sana e.g S.A,Nigeria,Algeria,Ghana,Morocco huko juu ndo usiseme(nchi za Sahara)
 
Nilikua nataminigi kujua matokeo ya hichi ulichouliza, ngoja nipitie comments naweza kupata kitu.
Ngoja sasa tukupe madini
Mkoloni mfano Mjerumani alikuwa anachimba madini chuma hapa bongo mererani huko anapeleka kwao GER anaziprocess zikiwa chuma nyimgine anauza nyingine anazileta kwenye koloni lake zinajenga reli ili isaidie kubeba Mizigo yake

Baada ya Vita ya pili ya dunia WW2 hakuna nchi ya mzungu ilitamani kukaa nchini kwao kutokana na hali ngumu ya uchumi kwaio hapo ndo wakavamia sana Africa kutafta makoloni

Kwahiyo walipathamini sana wanapoishi mfani mjerumani alijijengea reli ya kati ya TAZARA akajenga mji kama Moshi,Mwanza,DzM n.k kwahyo kutokana na kwamba alipathamini alipokaa Mji wake uliendelea sana na alikua anapeleka waafrika anaowakoloni wengi tu kusoma nchini kwake ili wasaidiane kutawala vizuri

Ila Historia shuleni inafundishwa kuwachukia wakoloni wakati kiuhalisia walikuwa wanaupiga mwingi sana...
 
Ngoja sasa tukupe madini
Mkoloni mfano Mjerumani alikuwa anachimba madini chuma hapa bongo mererani huko anapeleka kwao GER anaziprocess zikiwa chuma nyimgine anauza nyingine anazileta kwenye koloni lake zinajenga reli ili isaidie kubeba Mizigo yake
Kama wangechelewa kuondoka, hayo maviwanda wangeyahamishia Tanzania.
 
Ngoja sasa tukupe madini
Mkoloni mfano Mjerumani alikuwa anachimba madini chuma hapa bongo mererani huko anapeleka kwao GER anaziprocess zikiwa chuma nyimgine anauza nyingine anazileta kwenye koloni lake zinajenga reli ili isaidie kubeba Mizigo yake

Baada ya Vita ya pili ya dunia WW2 hakuna nchi ya mzungu ilitamani kukaa nchini kwao kutokana na hali ngumu ya uchumi kwaio hapo ndo wakavamia sana Africa kutafta makoloni

Kwahiyo walipathamini sana wanapoishi mfani mjerumani alijijengea reli ya kati ya TAZARA akajenga mji kama Moshi,Mwanza,DzM n.k kwahyo kutokana na kwamba alipathamini alipokaa Mji wake uliendelea sana na alikua anapeleka waafrika anaowakoloni wengi tu kusoma nchini kwake ili wasaidiane kutawala vizuri

Ila Historia shuleni inafundishwa kuwachukia wakoloni wakati kiuhalisia walikuwa wanaupiga mwingi sana...
Miji waliyowahi kukaa wakoloni nchini Tanganyika, ndiyo miji iliyoendelea zaidi: Dar Es Salaam, Arusha, Moshi, Mwanza.
 
Aisee bora hata tungeendelewa kutaliwa na.mzungu tumeumbwa kutawaliwa ndio asili yetu maana tuna unyani mwingi ambao hautakuja kuisha katu
 
2005 UN,AU,EAC na watetea haki wote washaamka isingewezekana labda 1999 kushuka chini
By the way
~Tsh ingekuwa kama dollar
~World Cup ingepigwa hapa kabla hata ya bondeni
~Wangetunusuru na mkoloni mweusi(CCM)
~Miundombinu ingekuwa imara tungekua na SGR za kutosha,Subway daraja la Dar-Znz Mza-Busisi
~Viwanda vya kutosha(Complex kabisa)Kama vya kutengeneza Magari,Fridge,Simu,PC na genuine Gadgets nyingine
~Nchi zinazotuzunguka zingekuwa zinathamini/kutamani kusoma Elimu yetu
~Jeshi lingekuwa imara sana kiasi kwamba linaweza kudindiana na nchi za magharibi au kiduku mfano ungesikia ((Tanzania yaionya Korea kusini juu ya milipuko holela inayosababisha mabadiliko ya Tabia nchi))
~Wawekezaji wangetamani kuwekeza TZ
~Our Technology rate would be superb
~Life expectancy rate ingeongezeka to 75+ years

Changamoto:

~Uhalifu kuongezeka kama S.A
~Migration rate kuongezeka kupita kiasi(Watu kutoka nchi jirani wangeingia sana nchini)
~Siasa zisizoeleweka
~ Overpopulation(Dzm hapo kkoo pangekuwa hapapitiki)
~Vurugu na migomo ya mara kwa mara..kwanini(kwasababu kwenye nchi zilizoendelea watu wanajielewa ikitokea hawaelewi kitu na viongozi wanawapiga kamba lazima waandamane tofauti na zinazoendelea illiteracy ni kubwa mamtu yanapelekwa kama Ng'ombe tu hakuna wa kureason wala nini)
~Madawa ya kulevya yangeongezeka

Imperialism complex mkoloni alikuwa anapenda kujenga sehemu anayoishi (Settlement) kwaiyo hapa TZ kwa ufupi tungetoka kwenye mfumo wa (Developing country) ambayo mtoto wa kitanzania anapozaliwa anaambiwa hii ni nchi inayoendelea mpaka anakuwa mzee na Kukata moto anasikia tu ni (Nchi inayoendelea) instead tungekuwa Developed country

EPUKA MATAPELI WAKOLONI WEUOE RUDINI MTUTAWALE TU *****
Naongezea:

1. Ziwa Victoria lisingekuwa na magugu maji

2. Daraja lingekuwa limeshajengwa Ziwa Victoria

3. Daraja la kutoka Bara hadi Zanzibar lingekuwa limeshajengwa

4. Tanzania ingekuwa inaongoza barani Afrika katika sekta ya utalii

5. Kusingekuwepo na matukio ya vikongwe na maalbino kuuawa kwa sababu ya imani za kishirikina

6. Viongozi wasingekuwa wakipelekwa India kutibiwa

7. Watanzania wengi zaidi wangekuwa na passport za kusafiria

8. Uraia pacha ungekuwa umeshahalalishwa siku nyingi

9. Idd Amin asingethubutu kuichokoza Tanzania

10. Kumiliki gari kusingechukuliwa kuwa jambo la anasa au utajiri

11. Watanzania wengi wangekuwa na tabia ya kuchapa kazi

12. Kungekuwepo na reli na barabara za chini ya ardhi

13. Idadi kubwa ya Watanzania ingekuwa imeshapanda ndege kuliko idadi ya sasa

14. Kasi ya kuzaliana isingekiwa juu kama ilivyo sasa

15. Kungekuwa na idadi kubwa ya Watanzania ambao wameshazitembelea nchi zingine

16. Kusingekiwepo na mbio za mwenge wa uhuru

17. Bandari za Tanzania ndizo ambazo zingekuwa kubwa zaidi na mashuhuri zaidi barani Afrika

18. Kilimo chetu kingeweza kulilisha Bara zima la Afrika

19. Idad ya Watanzania wanaomudu kwa ufasaha lugha za Kimataifa ingekuwa ni kubwa

20. Ugonjwa wa kipindupindu tungekuwa tunausikia kwa mataifa mengine
 
Ukiacha Msumbiji ambayo ilipata uhuru wake mwaka 1975, nchi zingine zote zinazoizunguka "Tanganyika" zilipewa uhuru miaka ya 1960's.

Sasa chukulia Tanganyika ingeendelea kutawaliwa na Wakoloni hadi mwaka 2005, hali ingekuwaje?

Kwamba, labda Ujerumani ingeitawala tokea mwaka 1891 hadi 1975, na kisha Mwingereza kutoka mwaka 1975 hadi 2005 ndiyo Watanganyika wakakabidhiwa nchi yao, hali ingekuwaje?

Majirani zetu wangekuwa wanatuonaje kwa sasa? Wangekuwa wanatuzodoa au wangekuwa wanatuonea wivu?

Tanganyika ingefanana na South Africa au ingechoka kuzidi nchi iliyo choka mbaya Afrika Mashariki kwa sasa?

Watanganyika wangekuwa wanasemaje, "Wazungu wametuchelewesha sana", au, "Bora Mzungu katucheleweshea uhuru?"

Huu ni mfano tu wenye lengo la kufikirisha! Don't take it seriously, please!!!
Labda tuseme haya (Unaweza Google) wakati tunatawaliwa na Mjerumani elimu, ajira, mpangilio wa miji na mazao muhimu walileta hao na tulikuwa Bora kuliko nchi zote Africa Mashariki na Kati.
Tulipaswa kula viboko vya Majerumani miaka mingine ishirini kuondoa ujinga na kutokujituma kwetu.
Angalia reli ya Kati ilichukua muda ganj kufiks Kigoma na SGR ya sasa ikitafuta Morogoro.
 
Ukiacha Msumbiji ambayo ilipata uhuru wake mwaka 1975, nchi zingine zote zinazoizunguka "Tanganyika" zilipewa uhuru miaka ya 1960's.

Sasa chukulia Tanganyika ingeendelea kutawaliwa na Wakoloni hadi mwaka 2005, hali ingekuwaje?

Kwamba, labda Ujerumani ingeitawala tokea mwaka 1891 hadi 1975, na kisha Mwingereza kutoka mwaka 1975 hadi 2005 ndiyo Watanganyika wakakabidhiwa nchi yao, hali ingekuwaje?

Majirani zetu wangekuwa wanatuonaje kwa sasa? Wangekuwa wanatuzodoa au wangekuwa wanatuonea wivu?

Tanganyika ingefanana na South Africa au ingechoka kuzidi nchi iliyo choka mbaya Afrika Mashariki kwa sasa?

Watanganyika wangekuwa wanasemaje, "Wazungu wametuchelewesha sana", au, "Bora Mzungu katucheleweshea uhuru?"

Huu ni mfano tu wenye lengo la kufikirisha! Don't take it seriously, please!!!
Golddhahabu! Wewe ungekuwa ni nyau!
 
Labda tuseme haya (Unaweza Google) wakati tunatawaliwa na Mjerumani elimu, ajira, mpangilio wa miji na mazao muhimu walileta hao na tulikuwa Bora kuliko nchi zote Africa Mashariki na Kati.
Tulipaswa kula viboko vya Majerumani miaka mingine ishirini kuondoa ujinga na kutokujituma kwetu.
Angalia reli ya Kati ilichukua muda ganj kufiks Kigoma na SGR ya sasa ikitafuta Morogoro.
Mkuu ninakulaumu, uliniambaia ni google, ona sasa nilichokutana nacho! Aibu!!!

Mjerumani aliijenga Reli ya kati kutoka Dar hadi Kigoma, kilomita 1245.4 kwa miaka 9, yaani 1905 - 1914.

Sgr ilianza kujengwa, nafikiri 2017 lakini mpaka sasa hata nusu yake haijakamilika.

Mjerumani aliwezaje, hasa ikizingatiwa kuwa teknolojia kwa sasa iko juu kuzidi kipindi cha mkoloni? Unajua, hii ni aibu sana kwa mtu anayefikiria ee!!!!!

Ndiyo kusema Waafrika wengi ni wavivu?

Wakati wa maandalizi ya kombe la yaliyofanyika barani Afrika, nafikiri mwaka 2010, kampuni ya china iliyopewa tenda ya kujenga/kukarabati uwanja wa mpira, iliomba kibali cha kwenda kuchukua vibarua toka China kwa madai kuwa hao ndiyo wanaweza kufanya kazi kwa speed itakayowezesha kumaliza hiyo kazi kwa muda iliyopangiwa. Kwa maneno mengine, Waafrika hawakuwa na kasi ya kumridhisha.

Siyo wote, lakini Waafrika wengi wana tabia ya uvivu.
 
Back
Top Bottom