Ingelikuwaje Kama Tanganyika Ingelipata Uhuru Wake Kwa Kuchelewa Kuliko Majirani Zake, Tuseme 2005?

Ingelikuwaje Kama Tanganyika Ingelipata Uhuru Wake Kwa Kuchelewa Kuliko Majirani Zake, Tuseme 2005?

Honk Kong ilikabidhiwa kwa China mwaka 1997 kutoka kwa UK.
Ni sasa tu China imepanda kiuchumi, lakini miaka ya 90 Hong Kong ilikuwa ina uchumi mkubwa kuliko China yote
Unaona sasa! Hivi ni kiherehere gani kiliwasukuma wazee wetu wawafukuze Wazungu mapema? Si wangewaacha alau kidogo?
 
Mwingereza mpaka 2005s aisee timu zetu zingekuwa nazo zinacheza epl na kina manyuu fc
 
Ngoja sasa tukupe madini
Mkoloni mfano Mjerumani alikuwa anachimba madini chuma hapa bongo mererani huko anapeleka kwao GER anaziprocess zikiwa chuma nyimgine anauza nyingine anazileta kwenye koloni lake zinajenga reli ili isaidie kubeba Mizigo yake

Baada ya Vita ya pili ya dunia WW2 hakuna nchi ya mzungu ilitamani kukaa nchini kwao kutokana na hali ngumu ya uchumi kwaio hapo ndo wakavamia sana Africa kutafta makoloni

Kwahiyo walipathamini sana wanapoishi mfani mjerumani alijijengea reli ya kati ya TAZARA akajenga mji kama Moshi,Mwanza,DzM n.k kwahyo kutokana na kwamba alipathamini alipokaa Mji wake uliendelea sana na alikua anapeleka waafrika anaowakoloni wengi tu kusoma nchini kwake ili wasaidiane kutawala vizuri

Ila Historia shuleni inafundishwa kuwachukia wakoloni wakati kiuhalisia walikuwa wanaupiga mwingi sana...
Mkuu nashukuru nimepata kitu hapa[emoji1363]
 
Ila kwa kiasi kikubwa tungekuwa tumeendelea x10 ya sasa hv
Kuna baadhi ya miundombinu imejengwa miaka hiyo mpaka sasa hv inatumika
Reli ya kati: Dar - Kigoma, ilijengwa na Mjerumani 1905 - 1914 lakini bado inatumika mpaka sasa.

Ikulu ya Dar Es Salaam ilijengwa na nani? Si Wakoloni?
 
wakoloni walileta maendeleo kwenye nchi walizozitawala zaidi hapa Africa kuliko baada ya uhuru. Nchi nyingi waliziacha zikiwa katika mazingira mazuri ya kiuchumi na miaka 10 tu baada ya wao kuondoka zikawa zipo kwenye hali mbaya sana.
Moja ya upuuzi wa nchi nyingi za kiafrika ni kuleta ule ujamaa uchwara baada ya uhuru ambao ulizirejesha nyuma kimaendeleo nchi nyingi sana Africa.
Kwa uhakika kabisa tungeendelea kutawaliwa mpaka 2000's nchi yetu ingelikuwa ina miji ya kibabe, viwanda vya uhakika, elimu yenye ubora, miundo mbinu ya kileo pamoja na mifumo ya maisha inayoeleweka kabisa.
Ubaya wa Wakoloni una overatiwa sana, hao wazee wetu waliokuwa wanalia na wakoloni wangelikutana na huu mziki wa CCM wao wenyewe wangelitia akili. hayo maovu yao tunaojaribu kakaririshwa karibu ya yote tumekuwa tukikutana nayo kwa madikteta wetu wa kiafrika na zaidi ya hayo kabisa.
Ndio akili hizi mlizobaki nazo.

Utegemezi ni akili ya wafuasi wa kitumwa na baadhi ya wajinga wasiopenda uzalendo.

Hao wakolon wangekuwepo kwa muda mrefu basi haya yangetokea[emoji116]
[emoji117] ubaguzi wa rangi,
[emoji117] ukabila
[emoji117] ardhi kumilikiwa na wachache haswa walowezi
[emoji117]nchi kumilikiwa kwa % na jamii za walowezi ambao si wazawa bali wahuni/wana wa wakoloni
[emoji117] mauwaji+ ubaguzi wa raia
[emoji117]tamaduni kudhoofika
[emoji117]idadi ya watu isingekuwa kubwa sababu ya kushinikizwa kufuata sheria za kizungu kuhusu mambo ya uzazi na baadhi ya watu haswa wazawa wangekufa sana ktk kesi za kusingiziwa, ubaguzi, kulinda maslahi, na si ajabu wengi humu msingekuwepo.

Hakuna maendeleo yanayoletwa na mgeni cha msingi jengeni vya kwenu acheni kutegemea misaada ya kijinga, kwan wao nchi zao aliwajengea nani?

Kwa mindset za baadhi ya wajinga humu hawakutakiwa kuwepo JF
 
Wengi mnaoamini ktk kutawaliwa kwanini msihamie huko ktk hizo nchi zenye wakoloni?

Mmekazana kuwakumbatia wakoloni mnayajua madhara ya ukolon lkn? Wengi humu ni vitoto hamujui banu zenu waliathiriwa vip mpaka kuwatimu hao wahuni, ni vile historia zinaficha sana lkn kiukwel UTU+Ubinadamu haukuwepo kwa mtu mweusi zaidi ya kufanywa mnyama asiye na thamani, waliogombea uhuru si wajinga, leo hii wapumbavu wachache mliokulia ktk amani mnakuja kuubeza uhuru sababu ya Tamaa zenu za kijinga.

Waulizeni South afrika nchi yao lkn kuna mahala hawana uhuru napo, maamuzi ya nchi yanaamuliwa na hao washenz waliojimilikisha nchi kwa kificho cha mapandikizi ya viongozi.

Hao kenya wenyewe pamoja na kuwakumbatia wazungu ni nini wamepata?

Amkeni nyie wapumbavu, jengeni nchi yenu mpambane mpate vya kwenu.
 
Ndio akili hizi mlizobaki nazo.

Utegemezi ni akili ya wafuasi wa kitumwa na baadhi ya wajinga wasiopenda uzalendo.

Hao wakolon wangekuwepo kwa muda mrefu basi haya yangetokea[emoji116]
[emoji117] ubaguzi wa rangi,
[emoji117] ukabila
[emoji117] ardhi kumilikiwa na wachache haswa walowezi
[emoji117]nchi kumilikiwa kwa % na jamii za walowezi ambao si wazawa bali wahuni/wana wa wakoloni
[emoji117] mauwaji+ ubaguzi wa raia
[emoji117]tamaduni kudhoofika
[emoji117]idadi ya watu isingekuwa kubwa sababu ya kushinikizwa kufuata sheria za kizungu kuhusu mambo ya uzazi na baadhi ya watu haswa wazawa wangekufa sana ktk kesi za kusingiziwa, ubaguzi, kulinda maslahi, na si ajabu wengi humu msingekuwepo.

Hakuna maendeleo yanayoletwa na mgeni cha msingi jengeni vya kwenu acheni kutegemea misaada ya kijinga, kwan wao nchi zao aliwajengea nani?

Kwa mindset za baadhi ya wajinga humu hawakutakiwa kuwepo JF
Acha nichukue moja tu, idadi ya watu!

Unasema kwamba watu wangelazimishwa kutumia uzazi wa mpango? Kuna mahali wanakofanya hivyo zaidi ya China?

Kwa Sasa Tanzania ina watu milioni 60's na Denmark milioni 5, kipi ambacho Tanzania yenye idadi kubwa ya watu inanufaika kuizidi Denmark yenye watu wachache?

Unajua, ongezeko la watu linapaswa kwenda sambaba na ukuaji wa uchumi?

Kipi Bora, kuwa na watoto wawili unaomudu kuwapatia huduma zote mtoto anazopaswa kupatiwa au kuwa na timu ya watoto, labda watoto kumi, ambao wengine wanatembea peku kwa kushindwa kuwanunulia viatu?

Kipi bora, nchi kuwa na watu wachache lakini walioelimika au kuwa na idadi kubwa lakini wengi wao ni wajinga mithili ya nyumbu?

Tuliambiwa tufyatue kwa kuwa Elimu ni bure. Ni sawa. Tuliambiwa kama tuna chakula cha kutosha, tufyatue kadri tuwezavyo Ni sawa.

Hata hivyo, chakula si hitaji pekee la mtoto, anahitaji, pamojja na mambo mengine, malezi bora.

Ikiwa utakuwa na timu kubwa ya watoto, unaweza usiweze kuwatimizia wote mahitaji yao, hasa ya Kisaikolojia.

Kuzaa watoto wengi bila maandalizi ya kuwahudumia ni vibaya. Ni kuwasababishia mateso wasiyostahili.

Ingekuwa ni mamlaka yangu, ningepiga marufuku watu kuzaa watoto wasiokuwa na uwezo wa kuwahudumia.
 
Utawala wa mkoloni ulikua bora zaidi, tulipewa uhuru katika kipindi ambacho hatukua tayali kua huru, ndio maana hadi kesho Tutaendelea kutembeza bakuli hadi kwa nchi ambazo tumezishinda rasilimali kupita kiasi
 
Naongezea:

1. Ziwa Victoria lisingekuwa na magugu maji

2. Daraja lingekuwa limeshajengwa Ziwa Victoria

3. Daraja la kutoka Bara hadi Zanzibar lingekuwa limeshajengwa

4. Tanzania ingekuwa inaongoza barani Afrika katika sekta ya utalii

5. Kusingekuwepo na matukio ya vikongwe na maalbino kuuawa kwa sababu ya imani za kishirikina

6. Viongozi wasingekuwa wakipelekwa India kutibiwa

7. Watanzania wengi zaidi wangekuwa na passport za kusafiria

8. Uraia pacha ungekuwa umeshahalalishwa siku nyingi

9. Idd Amin asingethubutu kuichokoza Tanzania

10. Kumiliki gari kusingechukuliwa kuwa jambo la anasa au utajiri

11. Watanzania wengi wangekuwa na tabia ya kuchapa kazi

12. Kungekuwepo na reli na barabara za chini ya ardhi

13. Idadi kubwa ya Watanzania ingekuwa imeshapanda ndege kuliko idadi ya sasa

14. Kasi ya kuzaliana isingekiwa juu kama ilivyo sasa

15. Kungekuwa na idadi kubwa ya Watanzania ambao wameshazitembelea nchi zingine

16. Kusingekiwepo na mbio za mwenge wa uhuru

17. Bandari za Tanzania ndizo ambazo zingekuwa kubwa zaidi na mashuhuri zaidi barani Afrika

18. Kilimo chetu kingeweza kulilisha Bara zima la Afrika

19. Idad ya Watanzania wanaomudu kwa ufasaha lugha za Kimataifa ingekuwa ni kubwa

20. Ugonjwa wa kipindupindu tungekuwa tunausikia kwa mataifa mengine
Naongezea zaidi:

1. Kilimo cha jembe la mkono kungekuwa Historia nchini Tanzania

2. Vyama vya Siasa vingekuwa vinapikezana kuongoza dola

3. Kusingekuwepo na TASAF

4. Pengine, Tanzania nayo ingekuwa miongoni mwa G40

5. Kusingetokea kile kilichojulikana kama vita na wahujumu uchumi.
 
wakoloni walileta maendeleo kwenye nchi walizozitawala zaidi hapa Africa kuliko baada ya uhuru. Nchi nyingi waliziacha zikiwa katika mazingira mazuri ya kiuchumi na miaka 10 tu baada ya wao kuondoka zikawa zipo kwenye hali mbaya sana.
Moja ya upuuzi wa nchi nyingi za kiafrika ni kuleta ule ujamaa uchwara baada ya uhuru ambao ulizirejesha nyuma kimaendeleo nchi nyingi sana Africa.
Kwa uhakika kabisa tungeendelea kutawaliwa mpaka 2000's nchi yetu ingelikuwa ina miji ya kibabe, viwanda vya uhakika, elimu yenye ubora, miundo mbinu ya kileo pamoja na mifumo ya maisha inayoeleweka kabisa.
Ubaya wa Wakoloni una overatiwa sana, hao wazee wetu waliokuwa wanalia na wakoloni wangelikutana na huu mziki wa CCM wao wenyewe wangelitia akili. hayo maovu yao tunaojaribu kakaririshwa karibu ya yote tumekuwa tukikutana nayo kwa madikteta wetu wa kiafrika na zaidi ya hayo kabisa.
Hadi muda huu ungekuwa mke wa mkoloni. Acha kutetea upumbavu kijana.
 
Ukiacha Msumbiji ambayo ilipata uhuru wake mwaka 1975, nchi zingine zote zinazoizunguka "Tanganyika" zilipewa uhuru miaka ya 1960's.

Sasa chukulia Tanganyika ingeendelea kutawaliwa na Wakoloni hadi mwaka 2005, hali ingekuwaje?

Kwamba, labda Ujerumani ingeitawala tokea mwaka 1891 hadi 1975, na kisha Mwingereza kutoka mwaka 1975 hadi 2005 ndiyo Watanganyika wakakabidhiwa nchi yao, hali ingekuwaje?

Majirani zetu wangekuwa wanatuonaje kwa sasa? Wangekuwa wanatuzodoa au wangekuwa wanatuonea wivu?

Tanganyika ingefanana na South Africa au ingechoka kuzidi nchi iliyo choka mbaya Afrika Mashariki kwa sasa?

Watanganyika wangekuwa wanasemaje, "Wazungu wametuchelewesha sana", au, "Bora Mzungu katucheleweshea uhuru?"

Huu ni mfano tu wenye lengo la kufikirisha! Don't take it seriously, please!!!
Tungekuwa wale wale. Muda usingetubalisha kitu. Sisi ni wale wale na mambo yetu ni yale yale. Afrika Kusini waliopata uhuru juzi wana nini zaidi ya mateso? Sudan ya Kusini walipata uhuru jana. Wana nini zaidi ya matatizo matupu?
 
Ngoja sasa tukupe madini
Mkoloni mfano Mjerumani alikuwa anachimba madini chuma hapa bongo mererani huko anapeleka kwao GER anaziprocess zikiwa chuma nyimgine anauza nyingine anazileta kwenye koloni lake zinajenga reli ili isaidie kubeba Mizigo yake

Baada ya Vita ya pili ya dunia WW2 hakuna nchi ya mzungu ilitamani kukaa nchini kwao kutokana na hali ngumu ya uchumi kwaio hapo ndo wakavamia sana Africa kutafta makoloni

Kwahiyo walipathamini sana wanapoishi mfani mjerumani alijijengea reli ya kati ya TAZARA akajenga mji kama Moshi,Mwanza,DzM n.k kwahyo kutokana na kwamba alipathamini alipokaa Mji wake uliendelea sana na alikua anapeleka waafrika anaowakoloni wengi tu kusoma nchini kwake ili wasaidiane kutawala vizuri

Ila Historia shuleni inafundishwa kuwachukia wakoloni wakati kiuhalisia walikuwa wanaupiga mwingi sana...
Baada ya WW2 mjerumani alikuja kutawala Tanzania na akajenga TAZARA? Aisee huu uzi umejaa wapumbavu wengi sana.
 
Ukisoma huu uzi ndo utagundua kwamba vita dhidi ya ushoga ni ngumu sana. Hakuna namna unayoweza kukataa kwamba vijana wanaosema bora tungeendelea kutawaliwa na mkoloni hawana chembechembe za ushoga. Afrika Kusini waliotawaliwa hadi miaka ya 90 wana nini kwa sasa? Namanisha maisha ya weusi wa SA na sio majengo wala barabara zao. Inasikitisha kuona watu wengi hapa ni madebe matupu na hawajui historia ya nchi yao wala madhara ya ukoloni.
 
Back
Top Bottom