Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Mambo mengine bana ya kijinga sana, Saido Ntibazonkiza amelalamika kwenye kurasa yake ya insta, akisema mbona mapema sana. Kauli hiyo inaashiria kuwa ametafutwa na jamaa zetu wa utopolo ili acheze chini ya kiwango au ajivunje, ndio maana mnaishia raundi ya kwanza ligi ya mabingwa, shenz kabisa
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app